Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha..mie nitalipa ukumbini same same kabsa inabdi bwana mtemi deo kisandu akipatikana tu apewe huyu mke mahari mm nitalipa kwa niaba ya wana jf😂😂View attachment 2925953
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha..mie nitalipa ukumbini same same kabsa inabdi bwana mtemi deo kisandu akipatikana tu apewe huyu mke mahari mm nitalipa kwa niaba ya wana jf😂😂View attachment 2925953
UshindweHahahahaha..mie nitalipa ukumbi
shalioom shalooom tunataka mtu mmoja ajitolee kumlipa mc nawatu wa mamisosiHahahahaha..mie nitalipa ukumbi
Mc pia nitalipa na mziki ..kifupi ukumbi ,mziki ,dj na mc , nitasimamia mwenyeweshalioom shalooom tunataka mtu mmoja ajitolee kumlipa mc nawatu wa mamisosi
Hahahahaha...kwann sasaUshindwe
🤣🤣🤣🤣 Da mau hebu wataje tuwajueWapo sana tena wa 4g
shaloom shaloom wanakamati ndoa tunayo hatunaaa..?Mc pia nitalipa na mziki ..kifupi ukumbi ,mziki ,dj na mc , nitasimamia mwenyewe
Kwa nini wanakufatilia adi kutaka kukutoa kafara kipenzi?JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.
Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.
Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .
nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .
Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
yesu ndiyo nani! Nimjuaye anaitwaHuna mamlaka na mimi kwa jina la yesu nakukemea kwa damu yayesu huna mamlaka na mimi
Jibu zuri kamanda. Wakenya wanasemaga "tuko na shida zetu, tuskize zako kwanini"?Hapana mie hupenda tu kufurahi iwe shida au raha...nimepitia shida nyingi sana mpk nafika hapa ..acha nifurahi ..
Hahahahaha..Mkuu sie wengine tukiandika majanga na history zetu utajiuliza nilifikaje hapa au ukahisi ni uongo..maana wengine wanaona ktk movie tu sasa sie tumeyapitia na ku experience..hapa tupo kufurahi mwanzo mwishoJibu zuri kamanda. Wakenya wanasemaga "tuko na shida zetu, tuskize zako kwanini"?
Mungu anasimama upande wako daimaMie simjui alicomment hapa kidogo nikaona isiwe shida nikaenda pm kuongea naye akadai picha nikaogopa kumpa humu kidogo nikamshauri namba ya wtsupp ila sijampa picha akawa haongei namimi nikaanz akuugua nilipoona hali sio nzuri nikawa naokba nakushirikisha watu wanisaidie kimaombi ndio mida ya jana akanitext kuwa nabahati angenitoa kafara niliogopa sana napia kweli nikaona namavitu yake kweli yalikuwa home naada yakufuta mawasiliano naye nikapona nikapata nafuu