Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmama mmoja last year alikuwa anasumbuliwa na nguvu za giza sana, huko alikokuwa anasali walitaka wamuunganishe na hayo madude, aseee acha tu mkuu.Umewaza kama mimi mkuu,, Unique Flower umefunga PM why?
Duuh 🤔🤔.. So akafanyaje?? Si anaendlea vizuri saizi lakiniKuna mmama mmoja last year alikuwa anasumbuliwa na nguvu za giza sana, huko alikokuwa anasali walitaka wamuunganishe na hayo madude, aseee acha tu mkuu.
Mama mtu mzima akawa halali, usingizi hauji. Haamini kama alipokuwa akisali ndo yanatokea yote haya. Hali ilikuwa ngumu sana sana kwa mhusika.
😂😂😂😂 hapo chachaKasema walikuwa wanahang tu😁
Amen....🙏Huna mamlaka na mimi kwa jina la yesu nakukemea kwa damu yayesu huna mamlaka na mimi
[emoji38][emoji38][emoji38]Huyu mtu anaishi kwa hofu sana.
Kila post ni malalamiko fc.
Ukute kuna mwamba naye anadai ana demu kama huyu, huruma sana
Dahhhhh....🤣Dishi lako linayumba kwa kasi sana
Hahahahahaha..nadhani pia LNB haijakazwa vzr na inapitisha maji..so signal zinakua poor...bila fundi kurekebisha hili tatizo litadumu sana
Kwani huko Kwa Biden nyota inatumika?Usione nimekushindwa lazima nikutoe tu hata ukilala na ndoo iliyo jaa damu ya yesu, nyota yako ni kali sna kibiashara.
Mambo sinyorita...😊 teamo teamor...😋Wapo sana tena wa 4g
Siogopi 🥺Unogopa kufa 🤣 🤣
Sana mkuu hauoni wanavaa mapete makubwa makubwa !! Ule sio urembo mkuu.Kwani huko Kwa Biden nyota inatumika?
🤣 🤣 Ngoja tukuangalie nyota kama utafaaSiogopi 🥺
Kabarikiwe sasa kanisani wakutoe na rindaJAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.
Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.
Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .
nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .
Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
Mungu akubariki Sana Mungu akutie Nguvu....JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.
Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.
Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .
nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .
Hii damu na roho ni ya bwana yesu.