Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

Umewaza kama mimi mkuu,, Unique Flower umefunga PM why?
Kuna mmama mmoja last year alikuwa anasumbuliwa na nguvu za giza sana, huko alikokuwa anasali walitaka wamuunganishe na hayo madude, aseee acha tu mkuu.

Mama mtu mzima akawa halali, usingizi hauji. Haamini kama alipokuwa akisali ndo yanatokea yote haya. Hali ilikuwa ngumu sana sana kwa mhusika.
 
Kuna mmama mmoja last year alikuwa anasumbuliwa na nguvu za giza sana, huko alikokuwa anasali walitaka wamuunganishe na hayo madude, aseee acha tu mkuu.

Mama mtu mzima akawa halali, usingizi hauji. Haamini kama alipokuwa akisali ndo yanatokea yote haya. Hali ilikuwa ngumu sana sana kwa mhusika.
Duuh 🤔🤔.. So akafanyaje?? Si anaendlea vizuri saizi lakini
 
Hahahahahaha..nadhani pia LNB haijakazwa vzr na inapitisha maji..so signal zinakua poor...bila fundi kurekebisha hili tatizo litadumu sana
images (8) (1).jpeg
 
JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.

Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.

Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .

nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .

Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
Kabarikiwe sasa kanisani wakutoe na rinda
 
JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.

Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.

Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .

nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .

Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
Mungu akubariki Sana Mungu akutie Nguvu....

Nami nakuombea,
Neema na Baraka za Mungu ziandamane na kuambatana nawe katika majukumu, mahangaiko na kazi zako njema, sasa, daima na milele..Amina..

Kwa Jina La Baba, Mwana na Roho Mtakatifu....
 
Back
Top Bottom