Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

Oh ndo nmekaa sasa eheeee kumbe humu watu wengi mnapata wapenzi sijui wachumba na wanawatoa kafara mhhhh sijui lina ukweli hili...

Ohoooo lord wewe bint flower uko serious kweli?
 
JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.

Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.

Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .

nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .

Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
Yesu anatabasamu baada ya kuona pisi kali imetubu.

Mkuu naomba tuzungumze
 
JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.

Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.

Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .

nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .

Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
Ni ujinga wa kiwango Cha juu kutegemea miujiza.
Nikuulize swali ?
Hivi ukiwa porini ukakutana na Simba utakaa na kutulia kumuomba Mungu akusaidie ili Simba asikurarue ?
Tumia Akili na maarifa kama binadamu wengine wanavyotumia Akili zao kupambana na Changamoto za huu ulimwengu. Mungu hakuleta Chapati na maandazi Ila Yeye alituletea mfano lakini kwa sababu na sisi Binadamu ni Waumba wenza tukatafuta maarifa tukawa tunatumia ngano kutengeneza Chapati, maandazi, mikate, keki nk 😂😂😂
 
Trupachaaaaa haimbergeeee leta leta damu binti mizimu inakutaka puff pufu pargimiti omboloooshwaaai
 
JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.

Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.

Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .

nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .

Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
I don't judge, but maoni yangu ungetuliza kichwa hauko sawa. Alafu sio kila kitu uandike huku unafanya watu waone una shida sehem.
 
JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.

Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana kifo yesu alishakufa msalabani ni yeye tu ndio anauwezo na umiliki wa hii roho.

Sina haja yakukutaja ila ujue hilo kwa Yesu ndio kila kitu kwangu .

nipo serious sana sio utani na namba yako nimeifuta na sina shida na walio kubaliana na shetani kunimaliza mmeanza kwenye emails mkaja directly .

Hii damu na roho ni ya bwana yesu.
Mungu akulinde
 
Ni kweli hata jana walikuja
Nikushauri kitu mdogo/dada angu hunu jf kama ni msaada kupata ni 0.01% inayobaki yote log out go and figure out your self
The more unavyopost ndo the more unazidi kupata damage
Some years baki nilishapataga msongo mkali wa mawazo na sikua najua namna ya kutatua na wala wa kumwambia
Naam nikaja jf ndo niliambulia maumivu kuliko ya awali…. In here no body gives the f… about you or anything
Unapopitia matatizo hata unachoandika muda mwingine kina kua na ukakasi kwa sababu unatamani watu waelewe how you feel lakin unashindwa
Nilitoka jf nikajiuliza hivi source kubwa ya matatizo yangu ni ipi nikaanza kushuhulikia tatizo
Nililog out kama 2yrs hivi
Now nikirud kusoma zile nyuzi natamani kujizaba vibao
Now nipo strong na nimejua jf sio sehem salama kwa matatizo ya mtu yoyote yule
CHUKUA MUDA SOMA NYUZI ZA WATU WANAOHITAJI MSAAADA utaona jinsi watu wanavyocoment,
Just log out,katatue shida yako nje ya hapa
 
Back
Top Bottom