John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Unafikiri ni majeshi ya nchi gani yaliyopigana na kuuondoa madarakani utawala wa Dikteta Mobutu Sesseseko aliyekuwepo nchini Zaire (Congo DRC)??Vita gn kagame amewahi kupigana na kulishinda?!, toa hata mfano kidogo tu.
Kwa hiyo wewe ndio mwerevu???Kinachokusumbua weww ni kutokujua,ujinga ndio tatizo lako kubwa wewe,unasema eti timeshindwa kuendelea!,unaongelea maendeleo gn wewe?,
Kama hizi tetesi zitakuja dhihirika ni kweli, hapo ndipo ombwe la uongozi litakuja julikana Tanzania.Nasikia kuna Rafiki yao Mwingine 'Taifa Nafiki Nafiki' la Afrika Mashariki nao Kisirisiri watakuwa Wanawasaidia Congo DR na Burundi katika Kuipiga Israel ya Afrika ( Rwanda ) ya Military and Intelligence Genius Rais Paul Kagame hivyo GENTAMYCINE nachukua nafasi hii Kuwaonya kwani hawatoamini kwa kile ambacho kitaenda Kuwapata.
Soma hiyoo 👇Nasikia kuna Rafiki yao Mwingine 'Taifa Nafiki Nafiki' la Afrika Mashariki nao Kisirisiri watakuwa Wanawasaidia Congo DR na Burundi katika Kuipiga Israel ya Afrika ( Rwanda ) ya Military and Intelligence Genius Rais Paul Kagame hivyo GENTAMYCINE nachukua nafasi hii Kuwaonya kwani hawatoamini kwa kile ambacho kitaenda Kuwapata.
Vita ya Congo, inawadau wengi, kuna matajiri waazungu wa Afrika kusini, wanamakampuni yanachimba huko madini,hawa hawatski Vita iishe kabisa, ili waendelee kuibaCongo ni nchi kubwa ya hovyo sana upande wa mashariki waasi wanaichezea watakavyo. Mshenzi yeyote asijaribu kuichezea mipaka ya nchi kubwa ya Tanzania atapigika mpaka kwake amalizwe kama hataikimbia nchi yake akafie uhamishoni. Hii nchi ingekuwa ya kijinga kule karagwe, ngara na misenyi washenzi wangevamia na kufanya ushenzi wao ila wanachua kuna moto mkali muhuni atapelekewa mpaka kitandani kwake ndio maana washenzi hawathubutu kuingia Tanzania kama Congo mashariki
Pombe sio chai ndicho nimegundua Kwa ulichoandika say no to alcoholKagame alisema ana snipers Kama 100 kariakoo, sikujua kama mwingime yupo humu JF
Vita sio nzuri Kwa sababu ziwazo zozote ziwe halali au laNaona watu wengi mnamshambulia mleta mada, ukweli ni kwamba Paul Kagame na Timu zake (Majeshi) wako vizuri ktk masuala ya vita na ujasusi. Endapo kama kweli hao majirani zake wanapanga au wanataka kuanzisha vita dhidi yake, basi wanatakiwa Wajipange sawasawa kabla ya kuanzisha mtiti dhidi ya Paul Kagame. La sivyo wanaweza wakajikuta wapo matatani sana huku Kagame akiendelea kuneemeka kutokana na uchokozi wa majirani zake.
Kumbuka: Kushinda vita kunachangiwa na sababu nyingi, ikiwamo na Intelijensia kali, ari ya wapiganaji, ubora wa zana/silaha za vita, etc. In short Majeshi ya Bw. Paul Kagame yana Intelijensia kali sana, pia wako vizuri ktk suala zima la Manpower & Logistics ukilinganisha na hao wapinzani wake. Wingi wa Wapiganaji au wingi wa silaha siyo vigezo vizuri sana vya kuweza kushinda vita katika dunia hii ya leo ya Sayansi na Teknolojia ya hali ya juu, hoja ya msingi ni Ubora walionao hao wapiganaji, ubora wa silaha wa silaha za kupigania vita, ari au morali ya wapiganaji pamoja na suala zima la Logistics. Kwa hiyo msiidharau Rwanda licha ya udogo wake wa eneo la kijiografia iliyo nayo, "Ukubwa wa Pua siyo wingi wa kamasi."
Tapeli kama tapeliNasikia kuna Rafiki yao Mwingine 'Taifa Nafiki Nafiki' la Afrika Mashariki nao Kisirisiri watakuwa Wanawasaidia Congo DR na Burundi katika Kuipiga Israel ya Afrika ( Rwanda ) ya Military and Intelligence Genius Rais Paul Kagame hivyo GENTAMYCINE nachukua nafasi hii Kuwaonya kwani hawatoamini kwa kile ambacho kitaenda Kuwapata.
Putin anakuja Burundi,mwambieni Kagame ajiandaeVita ya Congo, inawadau wengi, kuna matajiri waazungu wa Afrika kusini, wanamakampuni yanachimba huko madini,hawa hawatski Vita iishe kabisa, ili waendelee kuiba
Akikupa huo mfano, ni tagVita gn kagame amewahi kupigana na kulishinda?!, toa hata mfano kidogo tu.
HahahahaNaona watu wengi mnamshambulia mleta mada, ukweli ni kwamba Paul Kagame na Timu zake (Majeshi) wako vizuri ktk masuala ya vita na ujasusi. Endapo kama kweli hao majirani zake wanapanga au wanataka kuanzisha vita dhidi yake, basi wanatakiwa Wajipange sawasawa kabla ya kuanzisha mtiti dhidi ya Paul Kagame. La sivyo wanaweza wakajikuta wapo matatani sana huku Kagame akiendelea kuneemeka kutokana na uchokozi wa majirani zake.
Kumbuka: Kushinda vita kunachangiwa na sababu nyingi, ikiwamo na Intelijensia kali, ari ya wapiganaji, ubora wa zana/silaha za vita, etc. In short Majeshi ya Bw. Paul Kagame yana Intelijensia kali sana, pia wako vizuri ktk suala zima la Manpower & Logistics ukilinganisha na hao wapinzani wake. Wingi wa Wapiganaji au wingi wa silaha siyo vigezo vizuri sana vya kuweza kushinda vita katika dunia hii ya leo ya Sayansi na Teknolojia ya hali ya juu, hoja ya msingi ni Ubora walionao hao wapiganaji, ubora wa silaha wa silaha za kupigania vita, ari au morali ya wapiganaji pamoja na suala zima la Logistics. Kwa hiyo msiidharau Rwanda licha ya udogo wake wa eneo la kijiografia iliyo nayo, "Ukubwa wa Pua siyo wingi wa kamasi."
Sukhoi ya Congo ilishawahi kuruka kwenye anga la muintelligencia wenu na alibaki hajui lolote. Huyo muitelligencia amejitengenezea maadui wakubwa wa ndani na nje ya nchi yake na wengi wakiwa ni raia aliotaka kuwamaliza hii itakuwa nafasi adhimu ya kumng'atisha barafu.Naona watu wengi mnamshambulia mleta mada, ukweli ni kwamba Paul Kagame na Timu zake (Majeshi) wako vizuri ktk masuala ya vita na ujasusi. Endapo kama kweli hao majirani zake wanapanga au wanataka kuanzisha vita dhidi yake, basi wanatakiwa Wajipange sawasawa kabla ya kuanzisha mtiti dhidi ya Paul Kagame. La sivyo wanaweza wakajikuta wapo matatani sana huku Kagame akiendelea kuneemeka kutokana na uchokozi wa majirani zake.
Kumbuka: Kushinda vita kunachangiwa na sababu nyingi, ikiwamo na Intelijensia kali, ari ya wapiganaji, ubora wa zana/silaha za vita, etc. In short Majeshi ya Bw. Paul Kagame yana Intelijensia kali sana, pia wako vizuri ktk suala zima la Manpower & Logistics ukilinganisha na hao wapinzani wake. Wingi wa Wapiganaji au wingi wa silaha siyo vigezo vizuri sana vya kuweza kushinda vita katika dunia hii ya leo ya Sayansi na Teknolojia ya hali ya juu, hoja ya msingi ni Ubora walionao hao wapiganaji, ubora wa silaha wa silaha za kupigania vita, ari au morali ya wapiganaji pamoja na suala zima la Logistics. Kwa hiyo msiidharau Rwanda licha ya udogo wake wa eneo la kijiografia iliyo nayo, "Ukubwa wa Pua siyo wingi wa kamasi."
Operation Kimbunga haikuwamaliza wote shenzi kabisa nyie, mkiwa spotted hizo korodani zitafyekwa.Israel ni nchi ndogo sana kwa ukubwa wa eneo la kijiografia, na imezungukwa pande zote na nchi maadui wakubwa ambao ni majirani zake. Licha ya udogo wake wa eneo, Israel imewahi kupigana vita na kuwashinda karibia majirani zake wote wanaomzunguka. Na mpaka leo, majirani zake karibia wote hawataki tena kujiingiza kwenye ugomvi wa vita vya muda mrefu ilivyopo kati ya Israel na Gaza kwa kuogopa kipigo kutoka kwa Israel.
Ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi.
Sukhoi inaruka daily huko ...Sukhoi ya Congo ilishawahi kuruka kwenye anga la muintelligencia wenu na alibaki hajui lolote. Huyo muitelligencia amejitengenezea maadui wakubwa wa ndani na nje ya nchi yake na wengi wakiwa ni raia aliotaka kuwamaliza hii itakuwa nafasi adhimu ya kumng'atisha barafu.
Israel ya mchongo haina precision katika kuhit target.Sukhoi inaruka daily huko ...
Israel ya mchongo haina precision katika kuhit target.Sukhoi inaruka daily huko ...