Kwa Dhamira yao Ovu ya kutaka Kuivamia Israel ya Afrika (Rwanda) naona Tshisekedi na Ndayishimiye wamechoka Kuishi

Kinachokusumbua weww ni kutokujua,ujinga ndio tatizo lako kubwa wewe,unasema eti timeshindwa kuendelea!,unaongelea maendeleo gn wewe?,
Kwa hiyo wewe ndio mwerevu???
Tatizo ulilonalo wewe ni kukosa exposure na highest degree of illiteracy plus uchawa. Kwa bahati mbaya sana kwako, Mimi sifa hizi zote sina.
"No research no right to speak."(Mao Zedong).
All in all, Mimi binafsi sina elimu ya " Kayumba" ya " tia maji tia maji" ambayo wa-Tanzania wengi wanayo, kwa bahati njema Mungu ameniepusha na balaa hili ambalo limewakumba wa-Tanzania wengi zaidi, naamini kwa dhati kwamba hata wewe pia limekukumba.
 
Kama hizi tetesi zitakuja dhihirika ni kweli, hapo ndipo ombwe la uongozi litakuja julikana Tanzania.
Huko nyuma Tanzania ndio ilikuwa mstari wa mbele kusuluhisha migogoro kati ya majirani zetu lakini mama Abdul kazi hiyo imemzidi kimo! Nchi yetu haina tena heshima kama zamanı hata katika majukwaa ya kimataifa hatutajwi tajwi tena!
 
Vita ya Congo, inawadau wengi, kuna matajiri waazungu wa Afrika kusini, wanamakampuni yanachimba huko madini,hawa hawatski Vita iishe kabisa, ili waendelee kuiba
 
Kagame alisema ana snipers Kama 100 kariakoo, sikujua kama mwingime yupo humu JF
Pombe sio chai ndicho nimegundua Kwa ulichoandika say no to alcohol
Mleta mada hupenda saa kuandika habari za kichonganishi za au kuponda majeshi ya Tanzania au kuchochea migogoro na majirani isiyokuwepo akilewa bapa la konyagi nk
 
Vita sio nzuri Kwa sababu ziwazo zozote ziwe halali au la
 
Tapeli kama tapeli
 
Vita ya Congo, inawadau wengi, kuna matajiri waazungu wa Afrika kusini, wanamakampuni yanachimba huko madini,hawa hawatski Vita iishe kabisa, ili waendelee kuiba
Putin anakuja Burundi,mwambieni Kagame ajiandae
 
Yaani Rwanda muda wote wabadhani wanaweza kuisumbua Tanzania hicho kitu hakipo atawasumbua DRC kwa kuwa majeshi yao wanauza taarifa kwa Tanzania hicho kitu hakipo Rwanda kwenye medani za kivita sidhani kama wapo kwenye List yetu wao waendelee kutengeneza vita DRC na kuiba madini na hao Sokwe basi..
 
Hahahaha
 
Sukhoi ya Congo ilishawahi kuruka kwenye anga la muintelligencia wenu na alibaki hajui lolote. Huyo muitelligencia amejitengenezea maadui wakubwa wa ndani na nje ya nchi yake na wengi wakiwa ni raia aliotaka kuwamaliza hii itakuwa nafasi adhimu ya kumng'atisha barafu.
 
Operation Kimbunga haikuwamaliza wote shenzi kabisa nyie, mkiwa spotted hizo korodani zitafyekwa.
 
Sukhoi inaruka daily huko ...
 
Huu mzigo mlipitisha wapi ? ...Bonge anawabana chochoro zote...Drones Fardc zinawasembua mmeagiza hii sio ..je ishafika ?
 

Attachments

  • 1704777223996.jpg
    26.1 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…