Mle jichoHabari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Ina maana kashindwa hata kushukuru kwa ujumbe wa maana uliomo ndani yake.
Sitaki mazoea na huyu mchaga kabisa.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Hadi huku kolokoroni nimeskia kicheko chakoNimecheka hadi basi[emoji1787]
Kingine yeye ndo ana mzuka zaidi na mimi ingawa ni kisu hasa so ni rahisi tu kuamuaDaah!
Dah.. anyway Manka yeyote ukitaka asilete dharau hapo angeona meseji ya TIGOPESA.hapo hata miguu yako angekuosha .....Ila Kama vipi endelea na mpango wa kumpiga chini
Ye ndo anaonesha ukaribu wa kunihitaji zaidi wala sio mimi.Mdada mwenyewe Manka alafu unamtumia nyimbo ya mapenzi... wapi na wapi heri ungemtumia -Hela aliimbaga Madee.
NimemchanaYe ndo anaonesha ukaribu wa kunihitaji zaidi wala sio mimi.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Jirani nikinogewa je?🤣Kwa kichwa Changu,nitakupa afu nitasepa sitoweka malengo nawe coz huna malengo nami😉
Unaoa JiraniJirani nikinogewa je?
Tembea na kalamu na karatadi kabisa.Kabisa mkuu me niko makini sana kwenye kupigia mstari points muhimu nnapoanzisha mahusiano yeyote.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Asikudanganye mtu mkuu..zama hizi za kizazi cha nyoka kuna mwanamke anaweza kujifanya anakupenda ila anakuja akiwa na missions maalumu mojawapo ni kukuharibu kisaikorojia au kukuharibia mambo yako..kuwa makini sana.....ukihitaji ushauri kuhusu mwanamke muulize mwanamke mwenzie sababu huwa wanajuanaKama wanawake wote ndio watakua hivi ntabaki mseja
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Ila kaonesha rangi yake halisi alivo na mazarau
Kiukweli mimi ni last bornMtoa mada sio last born kweli[emoji848][emoji848]