Kwa dharau hizi, nimeahirisha kumuoa

Hakika mkuu

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Hayo mapenzi ya kutumiana nyimbo yalikuwa ya mwaka 1947 huko ndio Maana amekushangaa
 
Mambo ya zilipendwa hayo kakuona mshamba
 
Kwa mimi binafsi sijaona shida yoyote wala kosa lolote hapo
 
ulichofeli kutambua ni kwamba mziki ni hisia kwahyo kwako unaweza ukawa mzuri ila kwa mwingine sio mzuri kwahyo acha utoto huna uwezo wa kuoa ndo maana unaahirisha we endelea na nyeto inayokupa kiburi siku ukishindwa hata nyeto utarudi kuomba ushauri.
 
Aaf skuhzi hatudedicate nyimbo tunatuma miamala minono kwan yy hawez kudownload nyimbo apendazo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana msiojua mapenz yanaendaje upendo ni kujali na kujali ni kutimiza ndoto zake kwa kumpa pesa sio nyimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…