Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Katika upumbavu ambao sijawahi kuukubali ni ile kauli ya marehemu pale Sheikh Amri Abeid Stadium, Arusha kwamba yeye na Kikwete walishaongea kuwa akitoka JK ni zamu yake kuwa Rais kama vile walikuwa na hatimiliki ya hii nchi. Wewe Bams umeandika ushuzi mtupu. Tanzania ni ya watu wote. Kama una vigezo vilivyowekwa kikatiba ruksa kuutaka urais. Hakuna dhuluma yoyote aliyofanyiwa marehemu Lowassa. Na hata kama alidhulumiwa basi ilikuwa sahihi kabisa kwasababu alishakufuru kwa kudhani yeye tu ndo anastahili kuwa Rais. Hayo mambo ya laana hakunaga kwenye siasa.
 
Kikwete ana damu mikononi mwake ya watu wengi sio Edward Lowassa tu bali hata yule mwandishi wa Habari MWANGOSI aliyeuawa huko Iringa na polisi kwa amri ya Kikwete! He will have to pay for all his evils kama sio hapa duniani basi huko kungine!😭😭
 
Mbona unaingiza kitu ambacho hakuandika? Amesema Lowassa alichaguliwa lakini Kikwete akamdhulumu! Je, Mungu ndiye aliyemwambia Kikwete azuie Lowassa asiwe rais?
 
Wewe mzenj mambo ya huku Tanganyika huwezi kuyajua! Bila Lowassa Kikwete asingepata Urais; mipango yote ya kampeni iliratibiwa na Lowassa!
Nyie wazenj pambaneni na hali yenu kuamua kama Rais wenu Hussein Mwinyi ni Mzanzibari au sio!
 
Wewe mzenj mambo ya huku Tanganyika huwezi kuyajua! Bila Lowassa Kikwete asingepata Urais; mipango yote ya kampeni iliratibiwa na Lowassa!
Nyie wazenj pambaneni na hali yeni kuamua kama Rais wenu Hussein Mwinyi ni Mzanzibari au sio!

Sasa yeye EL aliweza kumfanya JK akawa Rais,yeye alishindwaje kujipa Urais? au hata kuusimika mfumo wake mpaka Leo?
 
CCM imebeba dhambi nyongi sana kupitia viongozi wake

Huyu mzee ni kinara wa dhambi hizo
 
umeandika mawazo yangu matupu niliyokua nataka niyaandike pia.
EL alibugi hapo.
 
Laana ya Lowassa na JPM Kwa JK itampeleka Kwa haraka sana.

Hahaha, wewe umejuaje kama laana zao na sio laana za JK ndio zimewaondoa?

Mnayemuona ni mshenzi inawezekana wala sio mshenzi ila ndio vile tena " akuanzaye mmalize" yeye akimaliza anaonekana mkorofi.

Yapo mengi Kitaa huku ambayo nayo yanaonyesha huyo huyo JK ametafutwa akalipa kisasi Kwa hao wote kama defensive na wahusika wakakaa wao.
 
Nakumbuka Ridhiwani akaibuka na ile kauli yake Rais hatoki kaskazini, ili kuthibitisha baba yake ameshamchinjia baharini Lowassa.

Bahati nzuri umma wa watanzania ukaja kuwathibitishia vinginevyo, pale ndio walipotambua maamuzi yao sebuleni kwao, sio kitu mbele ya umma wa watanzania ukiamua kwenda na mtu wao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Upumbavu mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…