Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Hukusikia hotuba ya rais siku anawaapisha nawaziri kabudi na mpango, alimsifia sumaye kuvunja rekodi ya miaka 10 ktk uwaziri mkuu!! Hii ilikuwa meseji sent kuwa kasim majariwa nae atavunja rekodi ya waziri mkuu kuwa rais.Hakuna waziri mkuu,aliwahi kuwa raisi hapa Tz ukiondoa first president
Kitu gani kinakufanya uwe na wazo hili mkuu?Mimi nimesema kwamba wazo la mwanamke kumuongoza mwanamme origin yake ni kuzimu,kwa kuwa linakwenda kinyume na maagizo ya Mungu,and Satan always goes against Gods principles.Kwahiyo mama yako ni kiumbe wa kuzimu?
Alivyoanza kwa kusema "ni mnyiramba kamilifu" nimemuelewa, anajaribu kukwepesha hoja ya usukuma. Idindili ni msukuma.ANAANDIKA PROFESA IDINDILI(CLINICAL EPIDEMIOLOGY AND PUBLIC HEALTH)
Dr. Dorothy,Waziri Mpya wa Afya ni mnyiramba kamilifu. Ni mchapa kazi sana. Alianzia kazi Wilaya ya Bagamoyo, kama ilivyo ada ya wabongo. Juhudi zake zilimponza hakupendwa kabisaa na watumishi wazembe. Akiwemo Daktari wa Wilaya wa wakati huo ( jina kapuni). Ili kupumuzika majungu allikwenda Denmark kusoma masters.
Huku nyuma wauwaji wa maono wakampiga danadana akapelekwa wilaya ya Iramba kama DMO. Kwa kifupi alitupwa porini. Mungu wa Yusuf alikwenda naye huko. Clinton foundation wakaanzisha project ya Solar powering health facilities zisizo na umeme na Wilaya yake ya Iramba ikachaguliwa. Aliusimamia mradi kama mali ya baba yake.
Huku akiikataa rushwa kama ukoma. Enzi za kutesa kwa zamu hizo, yeye alisimama ktk imani yake. Ili kuponya kipato chake. Alijiongeza kwa kilimo cha alizeti. Msimu mmoja alivuna gunia 500. Akfurahia maisha ya Gerezani ( according to Bagamoyo tyrants). Indicators za child survival ambazo zilikuwa kipao mbele kwenye millennium Development Goals zilipaaa kuliko Wilaya yoyote Tanzania,
Viongozi wakampandisha cheo na akawa RMO singida. Akiwa RMO aliendelea kujituma. Alishawishi kuanzishwa ujenzi wa hospital ya mkoa yenye hadhi ya mkoa. Na ikaanza kujengwa law awamu. Wakati hayo yakiendelea alilima ekari 100 za alizeti. Kwa bidii hii viongozi wakampandisha cheo akaletwa wizarani kama associate Director health services.
Kazi ambayo hakuipenda maana haina maamuzi na watu wizarani ni goigo. Halafu Dar hakuwa na shamba. Kwa kifupi alisoteshwa kwa miaka kadhaa. Ashukuliwe Mungu serikali kuhamia Dodoma. Ikamsogeza shambani kwake. Alifufuka kiutendaji na ndipo alipoteuliwa kuwa naibu katibu mkuu baada ya mabadiriko yaliyo mpeleka Dr.Mpoki ubalozi.
Kwa haki bin haki Dorothy amepata uwaziri kwa performance.
Mungu amubariki na kumufanikisha kutuongoza. Naami wizara anaifahamu sana.
-By Prof.Idindili..professor of Clinical Epidemiology and Public Health.
Huyo mama kwa wasio mwelewa huwa anaongea vitu ambayo hata yeye usimwambia avitekeleze hawezi .kuna siku aliwaambia madmo wao wananunua computer kila mwezi ili hali anajua kuna bajet na mpango wa Manunuzi ambao hauruhusu huo ujingaWaja wanaikuza kuliko uhalisia wake, tumpe mda, ummy naye did well KWA hyo wizara hasa kipindi kigumu Cha corona
Huyo mama kufanya nini cha maana zaidi ya kumsifia raisi kila anapoenda na ndio maana pia ya huu uteuzi .yeye badala kuwa mifumo ya uwajibika anahimiza watu wajaze makaratasiUsimfanannishe Dr Dorothy Gwajima na vitu vya hovyo hovyo kama UMMY Mwalimu. Dr Gwajima ni professional, ni mbunifu wa mifumo na ni mfuatiliaji mzuri kwenye malengo. Ni mchapa kazi na mwaminifu.
Huyo UMMY Mwalimu ndiye alikuwa msimamizi Mkuu wa MSD. Jiulize mpaka yule Mkurugenzi Bwanakunu anatakatisha fedha, je Waziri alikuwa hajui?
UMMY na Bwanakunu anatakatisha fedha kupitia Bahari Pharmacy ambaye walimpa zabuni nyingi za dawa ikiwapo delivery kits.
Najuwa kuwa Rais anajuwa kuwa UMMY ni fisadi ndiyo maana kampeleka kwenye Wizara ambayo siyo nyeti.
Sasa yeye alikuwa dmo sijui rmo anaweza kuonyesha hata auditing aliyowahi kuifanyaUsipinge tu in three minutes za hiyo video mama kawafundisha hospital inventory management ya dawa, kawapa tips za kufanya audits wakurugeni vitu vingine ni commonsense ata kama wao sio medics, kazungumzia succession planning; halafu yeye ni daktari wa binadamu.
Alichoonyesha sio kwamba yeye ni M.D tu but she is well aware on the management side of things, very very broad anaonekana kwenye health management pia..
Uwezi kumfananisha Ummy Mwalimu na huyo mama wala katibu Mkuu wizara ya afya ambae nae ni M.D by trade, mama anaonekana ni level nyingine.
But then inabidi uwe na ufahamu wa health management ili uone how broad she is.
kazi ya waziri katika wizara ni kusimamia wizara na kuhakikisha inatekeleza yale yote yaliyopangwa kutekelezwa kwa mujibu wa kanuni, sheria na taratibu, mtendaji katika wizara ni katibu, hivyo basi kama unajaribu kupotosha watu ukidhani gwajima atafeli kwenye uwaziri umebugi kwani tayari majibu unayo kua yeye ni msimamizi mzuri na sio mtendajiGwajima Ni msimamizi nzuri,Wala sio kiongozi nzuri....subirini mtaona!
Ndio ujinga mwingine huo yeye alikuwa analima alizeti ekari 100 sijui huo muda wa kusimamia indicator ilitoa wapi .huku yeye anataka watumishi wafanye kazi kwa masaa 18 ili potelea mbali kwa mishahara ile ileWewe kweli ni Profesa? Unatuambia kuwa huyu unaemsifia alipandishwa cheo kuwa associate Director kwa sababu alilima ekari 100 za alizeti? Seriously. Kwa jinsi ulivyoandika mhusika alistahili zaidi kuwa waziri wa kilimo.
Amandla...
Nyakati hizo alikuwa ni M.D tu ukisoma CV yake utaona kuna miaka alichukua break ya kazi na kwenda kufanya masters ya ‘public health’ much to do with managerial side of things na chances ukute ata Phd yake ni ya mambo hayo hayo ya health management.Sasa yeye alikuwa dmo sijui rmo anaweza kuonyesha hata auditing aliyowahi kuifanya
Dah hajui hata procurement procedures zilivoHuyo mama kwa wasio mwelewa huwa anaongea vitu ambayo hata yeye usimwambia avitekeleze hawezi .kuna siku aliwaambia madmo wao wananunua computer kila mwezi ili hali anajua kuna bajet na mpango wa Manunuzi ambao hauruhusu huo ujinga
Zamu ya rais muislam kama ilivyo akitoka mkristu ni muislam hivyo hizo ni ndoto
Hahaha watapindua meza kama kawaida yao, ccm haiwezi uchaguzi inasubiria tususe.Siku CCM imeweka mgombea wa kike ndo siku watajifunga na bao la mkono.
Mkuu, hivi Kitila ni kabila gani? Natafuta wenye asili ya majina hayo wanatokea mkoa gani lakini sijapata elewaKwani Dorothy ni Msukuma? Aweso, Byabato, Nchemba,Lukuvi, Mkuchika,Ndumbaro, Mkande, Ummmy, Jaffo, Kitila , Bashungwa, Pinda just to mentioned the few
Huyu si wa Singida lakini Mkumbo itakuwa ya TangaMkuu, hivi Kitila ni kabila gani? Natafuta wenye asili ya majina hayo wanatokea mkoa gani lakini sijapata elewa
Hakuna msomi atakayetumia elimu yake katika utawala huu ,kuna wasomi walijaribu wakaishia kutumbuliwa....Hao walioteuliwa ni kwa ajili ya kupokea maelekezo kutoka kwa jeshi la mtu mmoja.Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Mnataka kufanya nchi ya WASUKUMA peke yao, bila haya kabisa, !!!Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Sio Vema kumuangalia kwa jinsia yake ..., anaweza kuangaliwa kwa kigezo kingine ...mfano rais wa sasa anatoka "Chato" sio lazima rais anayekuja bado atoke Chato kwani hii ni nchi kubwa ...Mbona ni jike!