Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, CCM imelamba Dume. 2025 Rais awe yeye kulingana na usomi alio nao

Hakuna waziri mkuu,aliwahi kuwa raisi hapa Tz ukiondoa first president
Hukusikia hotuba ya rais siku anawaapisha nawaziri kabudi na mpango, alimsifia sumaye kuvunja rekodi ya miaka 10 ktk uwaziri mkuu!! Hii ilikuwa meseji sent kuwa kasim majariwa nae atavunja rekodi ya waziri mkuu kuwa rais.

Over.
 
Kwahiyo mama yako ni kiumbe wa kuzimu?
Kitu gani kinakufanya uwe na wazo hili mkuu?Mimi nimesema kwamba wazo la mwanamke kumuongoza mwanamme origin yake ni kuzimu,kwa kuwa linakwenda kinyume na maagizo ya Mungu,and Satan always goes against Gods principles.

Unajua Mungu hakumuweka mwanamke hata kuongoza familia,alimuweka mwanamme.So kama Mungu aliona mwanamke hawezi kuongoza hata the smallest unit,a family,how can she lead a nation of more than 56million!Msifanye utani katika mambo muhimu.
 
Alivyoanza kwa kusema "ni mnyiramba kamilifu" nimemuelewa, anajaribu kukwepesha hoja ya usukuma. Idindili ni msukuma.
Hayo mengine ni mchanganyiko wa majungu na sifa zisizohusika, mfano kuwa mkulima wa alizetiinahesabiwaje kwenye uchapakazi ndani ya wizara ya afya? kilimo cha alizeti ni mojawapo ya core businesses za wizara ya afya?
 
Waja wanaikuza kuliko uhalisia wake, tumpe mda, ummy naye did well KWA hyo wizara hasa kipindi kigumu Cha corona
Huyo mama kwa wasio mwelewa huwa anaongea vitu ambayo hata yeye usimwambia avitekeleze hawezi .kuna siku aliwaambia madmo wao wananunua computer kila mwezi ili hali anajua kuna bajet na mpango wa Manunuzi ambao hauruhusu huo ujinga
 
Huyo mama kufanya nini cha maana zaidi ya kumsifia raisi kila anapoenda na ndio maana pia ya huu uteuzi .yeye badala kuwa mifumo ya uwajibika anahimiza watu wajaze makaratasi
 
Sasa yeye alikuwa dmo sijui rmo anaweza kuonyesha hata auditing aliyowahi kuifanya
 
Gwajima Ni msimamizi nzuri,Wala sio kiongozi nzuri....subirini mtaona!
kazi ya waziri katika wizara ni kusimamia wizara na kuhakikisha inatekeleza yale yote yaliyopangwa kutekelezwa kwa mujibu wa kanuni, sheria na taratibu, mtendaji katika wizara ni katibu, hivyo basi kama unajaribu kupotosha watu ukidhani gwajima atafeli kwenye uwaziri umebugi kwani tayari majibu unayo kua yeye ni msimamizi mzuri na sio mtendaji
 
Wewe kweli ni Profesa? Unatuambia kuwa huyu unaemsifia alipandishwa cheo kuwa associate Director kwa sababu alilima ekari 100 za alizeti? Seriously. Kwa jinsi ulivyoandika mhusika alistahili zaidi kuwa waziri wa kilimo.

Amandla...
Ndio ujinga mwingine huo yeye alikuwa analima alizeti ekari 100 sijui huo muda wa kusimamia indicator ilitoa wapi .huku yeye anataka watumishi wafanye kazi kwa masaa 18 ili potelea mbali kwa mishahara ile ile
 
Sasa yeye alikuwa dmo sijui rmo anaweza kuonyesha hata auditing aliyowahi kuifanya
Nyakati hizo alikuwa ni M.D tu ukisoma CV yake utaona kuna miaka alichukua break ya kazi na kwenda kufanya masters ya ‘public health’ much to do with managerial side of things na chances ukute ata Phd yake ni ya mambo hayo hayo ya health management.

Kwa ivyo huo uelewa wake inaonekana umekuja baada ya kutoka kwenye operation levels alipoenda kujiongeza (hizi ndio sababu baadhi ya watu for some time tumekua tukipiga kelele kuendesha afya inabidi Kiongozi awe walau na managerial skills).

Sitegemei atatue kila kitu besides mambo mengine yanataka investment in human capital. Ila sina shaka with full control powers kutakuwa na mabadiliko however training is required to add skills at floor level, implementation of systems anazozinadi with control na regular performances appraisals. But huyu mama ni knowledgable hilo halina ubishi.
 
Huyu ndio atakuwa Waziri wa Kwanza Kutumbuliwa.

Wizara ya Afya haitaki Waziri alie Somea mambo ya Afyaa Lazima Atapishana na Muheshimiwa
 
Huyo mama kwa wasio mwelewa huwa anaongea vitu ambayo hata yeye usimwambia avitekeleze hawezi .kuna siku aliwaambia madmo wao wananunua computer kila mwezi ili hali anajua kuna bajet na mpango wa Manunuzi ambao hauruhusu huo ujinga
Dah hajui hata procurement procedures zilivo
 
Kwani Dorothy ni Msukuma? Aweso, Byabato, Nchemba,Lukuvi, Mkuchika,Ndumbaro, Mkande, Ummmy, Jaffo, Kitila , Bashungwa, Pinda just to mentioned the few
Mkuu, hivi Kitila ni kabila gani? Natafuta wenye asili ya majina hayo wanatokea mkoa gani lakini sijapata elewa
 
Hakuna msomi atakayetumia elimu yake katika utawala huu ,kuna wasomi walijaribu wakaishia kutumbuliwa....Hao walioteuliwa ni kwa ajili ya kupokea maelekezo kutoka kwa jeshi la mtu mmoja.
 
Mnataka kufanya nchi ya WASUKUMA peke yao, bila haya kabisa, !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…