Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,956
Nani kwakwambia Dorothni Msukuma? Hivi unafahamu kama kuna kina Mgaya Iringa na Tanga? Unafahamu kama kuna kuna Nyerere Kenya? Kimaro Mpanda na si mchaga? Chunguza kabla hujahukumu mkuu unatia aibu. Offcourse hata kama ingekuwa hivyo ni sawa tu maana unatakiwa ufanye kazi na watu unaowaamini japo kwa kesi yako siyo kweli na Dorothsi Msukuma.Baraza la wasukuma watupu
We uoni wamejaa kwenye teuziNi msukuma wa wapi?
Kuongoza ni kusimamia mkuu. Supervise!Gwajima Ni msimamizi nzuri,Wala sio kiongozi nzuri....subirini mtaona!
Zamu ya rais muislam kama ilivyo akitoka mkristu ni muislam hivyo hizo ni ndoto
Sio udini ni maelewano.Acha udini wewe...
Ni Mnyiramba. Usiangalie majina tu, utapotea. Utasema Angela Kairuki nae ni Mhaya sababu ya jina!Baraza la wasukuma watupu
Uzuri wake uko wapi .mkuu mtu kubweka vile ndo mzuri naona huyo mama ataleta taharuki bure pale wwizarani.Maana huyo mama mpaka umefika hapo umepotea ngazi mbali mbali dmo rmo swali je alikopita ameacha nini cha tujifunze. Au ni yale ya kudeal na matatizo abdala ya chanzo chemyew cha matatizo
+Wakiristo watupu! Tunaita Baraza la MaaskofuBaraza la wasukuma watupu
Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Hakuna waziri mkuu,aliwahi kuwa raisi hapa Tz ukiondoa first presidentSio udini ni maelewano.
Nyerere mwinyi
Mkapa jk
Magu kasim
Hahahahahaaaaaa umefanya usiku uwe mzuri Hadi wife anashangaa kulikoni+Wakiristo watupu! Tunaita Baraza la Maaskofu
Naunga mkono hoja, kwa kuzingatia, ni kutoka mule mule...Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Ukivaa miwani yenye rangi ya dini kila kitu kinakuwa na rangi ya dini!H
Hahahahahaaaaaa umefanya usiku uwe mzuri Hadi wife anashangaa kulikoni
Eti Baraza la Maaskofu hahaaaaaa
Usomi wake unaweza ujawa hasara kwa taifa, imagine tuna PhD holder halafu mpaka sasa hatuelewi kama nchi inaenda mbele au inarudi nyuma, yani tumepoteza diraNampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Ni nyapara mzuri sana,kitu kinachomfanya akose sifa ta kuwa mwanasiasa boraGwajima Ni msimamizi nzuri,Wala sio kiongozi nzuri....subirini mtaona!
Ni nyapara mzuri sana,kitu kinachomfanya akose sifa ta kuwa mwanasiasa bora