Prof mbarawa kapotezwa sasa hao watatu wataweza labda mwinyi arudi bara kule zanzibar amuachie mwingine kama alivyofanya baba yakeZamu ya rais muislam kama ilivyo akitoka mkristu ni muislam hivyo hizo ni ndoto
unashangaa clinical officer kuwa waziri full?? How about ummy mwalim?Clinical officer awe waziri full?
Mbebaji wake Vasco Dagama amepotelea Msoga anafuga Tausi!Alikuwa presidential material mara kayeyuka ghafla
Ummy ni mtupu, hana kitu!!Huyu mama yupo vizuri....kamuacha mbali sana best wako Ummy
Waislam ndio wakutafuta kwa tochi katika mawaziri 23 sidhani kama waislam wanafika wa5Kwani Dorothy ni Msukuma? Aweso, Byabato, Nchemba,Lukuvi, Mkuchika,Ndumbaro, Mkande, Ummmy, Jaffo, Kitila , Bashungwa, Pinda just to mentioned the few
Huaga mna maneno mengi yasiyo na matokeo sahihi..kila tukio mnasema na havitimii,sijui hua mnajifurahisha na niniSiku CCM imeweka mgombea wa kike ndo siku watajifunga na bao la mkono.
Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Wakati wa muislam JK ulifaidi Nini?Akitoka mkristo ni zamu ya muislamu Ili nasi wa chini tufaidi keki. Huyo dada yake na rashid labda awe rais wa wanawake
Watanzania ,watanganyika na wazanzibar wanakatishwa tamaa na baadhi ya wanasiasa na maamuzi yao, hivyo wanaamua kuachana na mambo ya kufatilia Siasa!Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Ulizia wengi watakuambia.Wakati wa muislam JK ulifaidi Nini?
Wana sheria ni Clinical Officers?unashangaa clinical officer kuwa waziri full?? How about ummy mwalim?
Na alivifanya vyote hivi kwa sababu ni muislamu?Ulizia wengi watakuambia.
.Ajira tele
. Biashara zilitoka
. Nyumba za nyasi zilikuwa zikifutika kwa Kasi ya 4 G nchi nzima mng'ao wa mabati ulishamiri.
.kilimo kililipa
.
.
.
.
acha hizo habari huu utendaji unaujua wewe peke yako.Binafsi ndio ninamfahamu sasa hivi.Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
umeandika nini hikiWana sheria ni Clinical Officers?
Amandla...
Na alivifanya vyote hivi kwa sababu ni muislamu?
Amandla...
Lakini nchi yetu ni secularist state, hii mitazamo ya kibiblia inachomekwaje hapa? Au ndio mfumo kristo! By the way huko nyuma wametajwa kina Bikra Maria ndani ya bible au chambilecho mama rwakatale hivi kipi bora kuwa na kiongozi shupavu na uanamke wake au kuwa na jianaume goigoi na udume wake 'Mwanamke for President!I am sorry,mwananke hapaswi kumuongoza mwanamna.That is Biblical.Nipigeni madongo na mawe,lakini huo utabaki kuwa ukweli,sitapepesa macho ng'o.We man were created to be leaders,not women.Hii dhana ya wanawake kuongoza wanaume imetoka kuzimu jamani,tuwe makini.
Kwa bahati mbaya sisi bila kujua tumeikumbatia.Halafu mianaume mingine nayo,noma sana, bila aibu inaipigia chapuo.Sijui imelambishwa nini na Wazungu.Shameful indeed.
NGOs hizi zinatuletea vitu vya ajabu sana,mara mfumo dume,mara tohara kwa wanaume,aibu tupu.Mfume dume ndio mnyama gani?
Ummy Mwalimu ni mwana sheria. Hoja iikuwa ni clinical officers hawawezi kuwa mawaziri kamili. Ummy Mwalimu akatolewa kama mfano wa kupinga hoja hiyo.umeandika nini hiki