tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,931
- 15,849
Uko sahihi mkuu
Mama zetu wa zamani hawakua na elimu ila mfumo wao wa maisha uliwashape wakawa wamama wazuri.
Haya mangumbaru ya zama hizi ni very hopeless.jitu hata jambo dogo tu la kutumia akili yake haliwezi..we angalia hivi vijisanii vyetu tu hapa bongo kuanzia wema,uwoya na wengine wa jamii hiyo waangalie akili zao zilivyo halafu linganisha na aliyeenda shule kama Jokate kuna tofauti kubwa.
Mama zetu wa zamani hawakua na elimu ila mfumo wao wa maisha uliwashape wakawa wamama wazuri.
Haya mangumbaru ya zama hizi ni very hopeless.jitu hata jambo dogo tu la kutumia akili yake haliwezi..we angalia hivi vijisanii vyetu tu hapa bongo kuanzia wema,uwoya na wengine wa jamii hiyo waangalie akili zao zilivyo halafu linganisha na aliyeenda shule kama Jokate kuna tofauti kubwa.