Kwa dunia ya leo, sishauri mwanaume aoe mwanamke asiyekua na elimu ya walau diploma

Kwa dunia ya leo, sishauri mwanaume aoe mwanamke asiyekua na elimu ya walau diploma

Uko sahihi mkuu
Mama zetu wa zamani hawakua na elimu ila mfumo wao wa maisha uliwashape wakawa wamama wazuri.
Haya mangumbaru ya zama hizi ni very hopeless.jitu hata jambo dogo tu la kutumia akili yake haliwezi..we angalia hivi vijisanii vyetu tu hapa bongo kuanzia wema,uwoya na wengine wa jamii hiyo waangalie akili zao zilivyo halafu linganisha na aliyeenda shule kama Jokate kuna tofauti kubwa.
 
Yaani angejua hamna mwanamke mtamu mtiifu mwenye mapenzi kama wa darasa la 7 au f4, ila ukiwa unaweza kumudu maisha yako vizuri kiuchumi, jaribu huyu wa degree wako utakosa amani na ujuaji wake
Wa kwangu alikuwa analea mtoto na Google walioambiwa huko chuo Cha pharmacy sijui humwambii kitu , mtoto analia usiku kucha Yani hashibi anaambiwa apewe maziwa mtoto au uji mwepes hataki anasema atanyonya ziwa lake bila kitu chchte miezi Tisa sijui

Ujuaji mwngi Yani , Kuna siku kakosa blueband kelele Nyingi Mara blueband Ina umuhimu chakula Cha mzazi ..nikamuuliza mama yako uji wake aliekewa blueband ukiwa mdogo? Acha kujidai mjuaji sikununua siku kadhaa
 
Uko sahihi mkuu
Mama zetu wa zamani hawakua na elimu ila mfumo wao wa maisha uliwashape wakawa wamama wazuri.
Haya mangumbaru ya zama hizi ni very hopeless.jitu hata jambo dogo tu la kutumia akili yake haliwezi..we angalia hivi vijisanii vyetu tu hapa bongo kuanzia wema,uwoya na wengine wa jamii hiyo waangalie akili zao zilivyo halafu linganisha na aliyeenda shule kama Jokate kuna tofauti kubwa.
Mbona mwijaku anayo degree na ngumbaru pro max?
 
Ili uweze kuwa na maisha yenye furaha na amani lazima upate mwanamke ambae atakae kuvumilia
1.wapo wengi wameoa wanawake waliosoma na wanafurahia maisha yao
2.wapo wallops wasio na elim Japo diploma na wanafurahia maisha
mwanaume ndio mpambanaji na mshauri mkuu katika familia
Kama mwanaume ukilegea katika familia yako mwanamke yeyote awe amesoma au hajasoma utamuona hafai na utaanza kumchukia
 
Kuna watu wameoa wenye masters na sasa wanalaani Ile siku wamekutana na huyo kiumbe.

Kuna waliooa la 3b na wanakula mema ya nchi no stress.

Omba Mungu upate mke mwema, mtakayependana na kuchukuliana madhaifu hayo mengine ni mapambo tu ya dunia.
JF Raha Sana.Siku yangu imeanza vyema😂😂😂😂😂😂
 
Kuna watu wameoa wenye masters na sasa wanalaani Ile siku wamekutana na huyo kiumbe.

Kuna waliooa la 3b na wanakula mema ya nchi no stress.

Omba Mungu upate mke mwema, mtakayependana na kuchukuliana madhaifu hayo mengine ni mapambo tu ya dunia.
Kweli kabisa suala la kuoa linahitaji mke mwema kwanza hicho ndo kitu cha awali kuliko vyote, diploma yake haitakusaidia kitu kama siyo mwanamke anae jitambua
 
Wewe bwana mdogo nakusubiri kwenye Dunia ya wakubwa siku moja ukioa. Mwanamke ambae atazidiwa elimu na kipato na Mume wake huwa mtiifu na mwenye heshima Kwa mumewe na jamii inayomzunguka, atalelea watoto na kufanya kazi za nyumbani na ikitokea Mume akamuanzishia mradi wowote iwe biashara au shughuli ya kiuchumi(ufugaji/kilimo) huifanya vema. Mwanamke asiesoma Mara nyingi huwa vigumu kwao kuwa walevi wamitandao yakijamii ukimuwekea sinema zetu tu kwake maisha safi.

Wanawake wenye elimu ni wazuri katika kufanya mipango na kukupunguzia ghalama za maisha iwapo atajitambua lakini;
1: Si wazazi wazuri Kwa watoto wako. Wanawake hawa hata mtoto akijisaidia care yake ni mbovu na hukimbilia kutafuta house girl ambae atalea watoto kwaniaba yake.

2: Wanakiburi na dharau, hii inatokana na kuwa sawa kielimu na kipato. Na iwapo atakuzidi elimu au kipato hakuna rangi utaacha kuiona katika Dunia hii.

3: Wanaulevi na mitandao yakijamii. Hapa nisiongee Sana.

4: Ni wanaharakati wa 50/50, hii itafanya ndoa iwe tamu maana utafanya hata kazi zake kwakigezo kachoka na wote mna haki sawa.

Nisiseme mengi lakini mke wangu ni darasa la Saba na tuna watoto ambao kawalea mwenyewe na wale tuliomaliza wote chuo wakaoa wachuo wenzao wameshashindwana maana kipato wanaingiza wote lakini hela ya chumvi na nyanya anaombwa mwanaume
 
Inategemea Ni wa wapi..me kwa Sasa wa kwangu Yuko tanga Wana mpika
Wa degree zao hata ukinipa bila mahare sichukui, mwanamke maomi wa Tanzania wana usumbufu akiingia kwenye ndoa huwezi kupata amani piece of mind nyumbani ni kama kujitisha gunia la misumali kichwani tena kichwa kikiwa hakina nywele kipara kabisa
 
Wanaopinga wameshaoa vilaza, ila ukweli utabakia pale pale, knowledge is the power.

Yupo mdau wangu kaoa mke kilaza akampiga msasa wa English course na mapishi,

Sio unaangalia documentary yeye anataka muvi za dj afro
Kwani wewe unaoa mwanamke kwa ajili ya kazi gani?...wengine tumeoa wasiosoma ili waendeshe miradi tuliyofungua.
 
Achana na mama zetu wale wa miaka ile ya zamani ambao wengine hawakusoma kabisa ila maisha yalikua poa tu kwa upande wao.

Nazungumzia hawa wanawake wa kizazi hiki wasiokua na elimu ya walau Diploma, yani wana reasoning capacity ndogo sana kiasi kwamba huwezi kukaa nao ukajadili core issues za maendeleo.

Nimejaribu kudate nao kama watatu hivi ila nilichoambulia ni kero tu, uelewa wao wa Mambo uko chini kiasi kwamba unajiuliza huyu ukimuoa ukaishi nae ndani atakua na mchango gani katika maisha yako ya kila siku zaid ya kuwa mzigo tu?

Wanaume wenzangu siwashauri muoe mtu ambae hana shule kichwani aisee.

He he he, utakuwa below 30 yrs
 
Mwanamke anatakiwa asiwe mtu wa reasoning Sana , nakuapia ukiwa na mwanamke wa hvyo utalia na kusaga Meno , mwanamke siku zote akili yake ni mbovu , na akisoma Sana anakuwa mbovu zaidi , kunakuwa na conflict of interest , mpaka sasa wanawake wasio na elimu kubwa means mwenye Cheti kushuka Hadi la Saba ndo wenye uwezo mkubwa wa kulea familia na kutunza Mme tofauti na hawa wa diploma kwenda juu , hawa wasomi Sana tena akiwa na kazi utajuta, utajikuta unaoa mchepuko mwingine bila kupenda...japo unaweza bahatisha pia wanaojielewa Ila ni kama kubet tuu , akili zao zinaharibiwa Sana na utandawazi na hawanaga reverse mpak awe single mother ndo akili zinamkaa, hapo tayar ashakuwa reject
 
Back
Top Bottom