Kwa dunia ya leo, sishauri mwanaume aoe mwanamke asiyekua na elimu ya walau diploma

Kwa dunia ya leo, sishauri mwanaume aoe mwanamke asiyekua na elimu ya walau diploma

Kwa kifupi Elimu ya ndoa haielezeki na haihitaji mbwembwe za vyeti kila unacho kifikiria kuwa kinaweza kuwa kizuri katika ndoa kinaweza kugeuka Moto kama utapata mwanamke ambae hana heshima, uvumilivu, na upendo.

Hata uoe mwanamke mwenye elimu kiasi gani nakuhakikishia hautaweza kuishi na mwanamke ambae hana misingi ya ndoa ambayo ni heshima, uvumilivu au upendo kwako.
 
Ndoa ya kweli haihitaji usomi, vinginevyo maprofesa wangekuwa ni nguli kwenye suala Zima la mahusiano lakini wao ndio Cha moto wanakiona kwenye sekta ya mahusiano.

Omba Mungu uoe / uolewe na mtu sahihi.
 
Unaanzaje kuoa mwanamqe mwny degree?? Unajua jins wanavogawa uchi kwa malecturer huko vyuoni?? Mnadhan hzo degree wanazipata kwa kusoma tu??? Ahahahaahhaah

Afu wengi wao wana mambo ya u feminist, yani anataka 50 kwa 50
!!!!
 
Tatzo la wasomi wanapenda haki sawa

Ni kwambie tu hawa wadada wasasa awe msomi au hajasoma wengi wao inshu za maendeleo hawapo kabisa wengi vichwa maji

Hii inasababishwa na kuzoea kupewa hela toka akiwa mdogo mpaka anakuwa mtu mzima,mtu kama huyu usitegemee anaweza kukushauri chochote kwenye maendeleo,yeye anachosubir ni wew umpe hela basi
 
kulea tu watoto wako ni mchango tosha sana na kukufanya wewe kuishi kwa amani ni mchango mkubwa sana kwenye maisha yako mana ili uweze kufanikiwa unahitaji nyumba yenye amani tu inatosha.

Kulea Watoto hata kuku analea vifaranga.
Sasa itategemea mtoa post anataka Watoto wake wakuzwe vipi.
Malezi sio tuu kumpa mtoto chakula na kumvalisha, kuna ishu ya mtizamo/attitude, falsafa, maarifa n.k.
Kama Mama hana Elimu na uelewa mzuri atawakuzaje Watoto katika mtazamo anaoutaka Mtoa Post?

Mama akiwa poyoyo kuna uwezekano wa asilimia 90% Watoto wakawa vivyohivyo.
Kwa sababu malezi yanatoka Kwa Mama.
 
Back
Top Bottom