Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Usisahau, Mungu ampe wa kufanana nae ππMuombe Mungu akujaalie m.ke mwema
Kazi ya kuchagua mke mwachie Mungu ww omba dua tu Mungu atakujulisha kwa njia usiyoitarajia
π€£π€£π€£ fom foo felia au sio?!! TehHapo unakuta mtu anasema usioe mwanamke ambae hana hata diploma halaf unakuta ye mwenyewe ni form 4 na alifeli..dah[emoji28]
Kuna tofauti kubwa kati ya elimu na akili. Wapo wengi wenye akili kubwa walioishia la saba kuliko wenye PhD. Mtu akiwa na akili hata kama hajaenda darasani ni rahisi sana kuweka misingi mizuri ya kulea familia katika namna unavyopendaKulea Watoto hata kuku analea vifaranga.
Sasa itategemea mtoa post anataka Watoto wake wakuzwe vipi.
Malezi sio tuu kumpa mtoto chakula na kumvalisha, kuna ishu ya mtizamo/attitude, falsafa, maarifa n.k.
Kama Mama hana Elimu na uelewa mzuri atawakuzaje Watoto katika mtazamo anaoutaka Mtoa Post?
Mama akiwa poyoyo kuna uwezekano wa asilimia 90% Watoto wakawa vivyohivyo.
Kwa sababu malezi yanatoka Kwa Mama.
Kusoma ni shuleni akirudi nyumbani ni kufanya kazi mdogo ndogoNi kitu cha kuzingatia pia
Sio mwanao kapewa homework ya multiplication anakimbia[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa asante mkuuPole sana Mrembo kwa kujijazia wazee wa fursa PM, pia hongera sana kwa kushusha hoja nzito [emoji4]
Utopolo mtupu. Kwanini? Ukishindwa wewe usidhani wote ni kama wewe. Kila mmoja anapaswa kuoa mwanamke amtakaye na siyo wa kushauriwa nawe. Hakuna mpumbavu atakayekubaliana na himitimisho mjumuisho kama hili lisilo na ushahidi wala mashikoAchana na mama zetu wale wa miaka ile ya zamani ambao wengine hawakusoma kabisa ila maisha yalikua poa tu kwa upande wao.
Nazungumzia hawa wanawake wa kizazi hiki wasiokua na elimu ya walau Diploma, yani wana reasoning capacity ndogo sana kiasi kwamba huwezi kukaa nao ukajadili core issues za maendeleo.
Nimejaribu kudate nao kama watatu hivi ila nilichoambulia ni kero tu, uelewa wao wa Mambo uko chini kiasi kwamba unajiuliza huyu ukimuoa ukaishi nae ndani atakua na mchango gani katika maisha yako ya kila siku zaid ya kuwa mzigo tu?
Wanaume wenzangu siwashauri muoe mtu ambae hana shule kichwani aisee.