Kwa dunia ya leo, sishauri mwanaume aoe mwanamke asiyekua na elimu ya walau diploma

Muombe Mungu akujaalie m.ke mwema

Kazi ya kuchagua mke mwachie Mungu ww omba dua tu Mungu atakujulisha kwa njia usiyoitarajia
Usisahau, Mungu ampe wa kufanana nae πŸ˜‚πŸ˜‚
Sio mtu aombe mke mwema ilhali yeye sio mwema.
 
Huyo aliyesoma wengi wako wakiwa chuo wanaingia Kwenye ndoa isiyo rasmi, hivyo Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa mume mdogo.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya elimu na akili. Wapo wengi wenye akili kubwa walioishia la saba kuliko wenye PhD. Mtu akiwa na akili hata kama hajaenda darasani ni rahisi sana kuweka misingi mizuri ya kulea familia katika namna unavyopenda
 
Utopolo mtupu. Kwanini? Ukishindwa wewe usidhani wote ni kama wewe. Kila mmoja anapaswa kuoa mwanamke amtakaye na siyo wa kushauriwa nawe. Hakuna mpumbavu atakayekubaliana na himitimisho mjumuisho kama hili lisilo na ushahidi wala mashiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…