Kwa Fedha hizi ambazo Simba SC amezikusanya sioni sababu ya Yanga SC Kuushangilia Ubingwa wakati Pesa waipatayo ni Kiduchu tu

Kwa Fedha hizi ambazo Simba SC amezikusanya sioni sababu ya Yanga SC Kuushangilia Ubingwa wakati Pesa waipatayo ni Kiduchu tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Pesa za Yanga SC Mambwiga ( Washamba ) wa Kudumu FC....

Tsh Milioni 500 za Azam
Tsh Milioni 100 za NBC

Jumla Tsh Milioni 600 ( na hapa bado Mama Samia hajakomba Kodi yake na akiikomba watabakiwa na Tsh Milioni 74 tu na sijui watagawanaje ) vinginevyo watapigana mno Bakora kama Kawaida yao.

Fedha ambazo Simba SC ( Timu ya iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu ) hadi Kupendwa na Malaika wake wote....

Tsh Milioni 814 za CAF
Tsh Milioni 250 za Azam kama Mshindi wa Pili
Tsh Milioni 50 kutoka NBC

Jumla Tsh Bilioni 1 kama na Milioni 200 hivi.

Yanga SC kwa huu mtiririko wa Kimapato kutoka Kwangu Mathematician GENTAMYCINE hata msingeufurahia Ubingwa wenu kwani hauna Faida yoyote Kwenu sana sana labda kama ni Ubingwa mnaotakiwa Kuushangilia ni ule tu wa Mshambuliaji wenu Mayele kuwapeni Style ya Kizuzu ya Kushangilia ila kwa Fedha ( Mtonyo ) mmeachwa mbali mno na Mnyama ( Simba SC ) na huu ndiyo ukweli.

Imeisha hiyo............
 
Hv we Mzee huu mda wa kuandika haya Mashudu ya nguruwe Huwa unautoa wapi..? Huna kazi eeh.
Ila hongereni kwa kupata pesa nyingi
 
Nimewachokoza kusudi na kuwapa huu Ukweli Mchungu na ninawaona ulivyowachoma hadi wanaogopa Kunijibu hapa.
Kwa hiyo rafiki yangu Popoma, unataka kuniambia baada ya miaka kadhaa mbele, Yanga itakumbukwa kwa kupewa hizo milioni 600 kama zawadi ya fedha! Au itakumbukwa kwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu kwa msimu huu wa 2021-2022?

Hivi uliwaona Real Madrid wiki kadhaa zilizopita namna walivyokuwa na furaha kwa kuchukua tu ule ubingwa wa UEFA Champions League, na kunyanyua makwapa yao? Yaani kwa taarifa yako; ubingwa ndiyo kila kitu! Maana unakuwa umeandika rekodi ambayo itakumbukwa vizazi na vizazi! Hizo fedha ni mbwembwe tu.

Halafu mkiendelea kuzingua, tutakuja kuhoji zile bilioni zetu 20! Mpaka leo mnaleta tu sound.
 
Pesa za Yanga SC Mambwiga ( Washamba ) wa Kudumu FC....

Tsh Milioni 500 za Azam
Tsh Milioni 100 za NBC

Jumla Tsh Milioni 600 ( na hapa bado Mama Samia hajakomba Kodi yake na akiikomba watabakiwa na Tsh Milioni 74 tu na sijui watagawanaje ) vinginevyo watapigana mno Bakora kama Kawaida yao.

Fedha ambazo Simba SC ( Timu ya iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu ) hadi Kupendwa na Malaika wake wote....

Tsh Milioni 814 za CAF
Tsh Milioni 250 za Azam kama Mshindi wa Pili
Tsh Milioni 50 kutoka NBC

Jumla Tsh Bilioni 1 kama na Milioni 200 hivi.

Yanga SC kwa huu mtiririko wa Kimapato kutoka Kwangu Mathematician GENTAMYCINE hata msingeufurahia Ubingwa wenu kwani hauna Faida yoyote Kwenu sana sana labda kama ni Ubingwa mnaotakiwa Kuushangilia ni ule tu wa Mshambuliaji wenu Mayele kuwapeni Style ya Kizuzu ya Kushangilia ila kwa Fedha ( Mtonyo ) mmeachwa mbali mno na Mnyama ( Simba SC ) na huu ndiyo ukweli.

Imeisha hiyo............
Hivi unaujua mkataba wa yanga na azam ukoje?
 
Kuingia makundi bei gani na kufika robo bei gani au inaunganishwa yote kwa pamoja ndo inafika 800
 
Back
Top Bottom