Kwa gari hii niliyonunua jinsi watu wanavyonipa heshima, sasa sijui ingekuaje ningenunua BIMA!

Hivi kwani watu wote wanaopenda hivyo vitu viwili ulivyovisema "Pombe na Ngono".. Huwa ni vigumu kufanikiwa???

Na kwani kufanikiwa kwa wapambanaji ni Kununua gari??.
Kwani kati ya kwenye pombe na misikitini na makanisani ni wapi panaongoza parking zake kupaki magari makali?

Kama ulidhani pombe inatia umaskini, amka toka usingizini, wewe ni maskini unayependa pombe, hakuna pombe inampa mtu umaskini, umaskini unaweza kupata hata kanisani kwa kukamuliwa sadaka zisizo kichwa wala miguu kwa kutishiwa tu maisha ya mbinguni wakati huyo anayekutisha hajawahi kufika na wala hajui hatma yake.
 
Mkuu umenunua kigoda watu wamekupa heshima kama zote?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hongera, but to be honest kuendesha gari kama hii, spacio, Bora niendeshe boda,
 
Yaani unaanzisha Uzi kwa haka ka mkebe? Kweli illiteracy is a very bad desease but poverty is a deadly desease.
 
BIMA ni nini?..kuhamasisha watu wasinywe pombe ni kuikosesha Serikali mapato, unaweza kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi..
Mhujumu uchumi huyu, tumshtaki kwa Economic sabotage and organized crimes Act 1984.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…