Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itapunguza excess injection ya mafuta na kupunguza ulaji wa mafutaNdiyo itaacha kula Mafuta na kuaanza kula Maji!!?
Usimwage kuku kwenye mchele mwingi 😀😀😀!Daladala pia nayo ina rahaa yake usisau hilo!!
BentaygaBeemer Benz Bentley
Bajaj inauzwa million 7.5. Kuna vitu muwe mnajitafakari.M7 unapata spacio nzima sana.
Kwani kati ya kwenye pombe na misikitini na makanisani ni wapi panaongoza parking zake kupaki magari makali?Hivi kwani watu wote wanaopenda hivyo vitu viwili ulivyovisema "Pombe na Ngono".. Huwa ni vigumu kufanikiwa???
Na kwani kufanikiwa kwa wapambanaji ni Kununua gari??.
Kwani airbags ndio inazuia kifo au ajali?Nasikia hivyo bihari havina airbags
Unashangaa nini? Hiyo gari haiko insuredBIMA?
South Africa BMW ndio gari za bei rahisi, maana zipo series nyingi sana.Huyo mjerumani sijui nitamnunuaje
❌❌Sio bima ni beamer
Huo tayari ni WADHIFA. Jamaa ameshapata WADHIFA mjini hapo..😂😂😂Unavimba sana mkuu!
Mkuu umenunua kigoda watu wamekupa heshima kama zote?😂😂😂😂😂Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu. Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
Hongera, but to be honest kuendesha gari kama hii, spacio, Bora niendeshe boda,Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu. Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
Yah. Ni muhimu sana..airbags zinaokoa maisha ya wengi...ndo maana vx zinaairbags mpaka kwenye buti.Kwani airbags ndio inazuia kifo au ajari?
Yaani unaanzisha Uzi kwa haka ka mkebe? Kweli illiteracy is a very bad desease but poverty is a deadly desease.Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.
Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu. Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?
Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022
View attachment 2427237
Mhujumu uchumi huyu, tumshtaki kwa Economic sabotage and organized crimes Act 1984.BIMA ni nini?..kuhamasisha watu wasinywe pombe ni kuikosesha Serikali mapato, unaweza kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi..
Kizuri kula na wasafirii wenzio!![emoji38][emoji3][emoji1787][emoji1787]Usimwage kuku kwenye mchele mwingi [emoji3][emoji3][emoji3]!