Kwa gari hii niliyonunua jinsi watu wanavyonipa heshima, sasa sijui ingekuaje ningenunua BIMA!

Kwa gari hii niliyonunua jinsi watu wanavyonipa heshima, sasa sijui ingekuaje ningenunua BIMA!

Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.

Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu.
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?

Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022

View attachment 2427237
Nikiwa JamiiForums huwa nasikia RAHA sana, utafikiri sijui nipo wapi yaani..😂😂😂
 
Safi Sana lakini mimi mwenyewe ni mpenzi wa gari simple simple tu
 
Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.

Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu.
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?

Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022

View attachment 2427237
Kwa hiyo gari haina bima, au bima ina maana tofauti? Hongera kwa hatua hii!!
 
Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.

Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu.
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?

Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022

View attachment 2427237
Spacial sio😄
 
4.5m used.. Kuna jamaa yangu alinunua hiyo, angejua angetanua biashara yake TU...kilomita 3 inakula lita 10😂😂
4.5M huwezi kupata spacio, hiyo bei ya Passo tena ya kawaida sio kali
Ukipata Spacio kwa hiyo bei omba na namba ya fundi garage kabisa....
 
Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.

Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu.
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?

Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022

View attachment 2427237
Yani Beamer ni Beamer bwana weeeh😊😊😊
 
Umasikini ni kitu hatari Sana yaani nimenunua gari ya-kawaida lakini huku mtaani watu wananipa heshima kubwa Sana.

Hii Chuma ni normal kwa kijana yoyote Mpambanaji asiyeendekeza Ngono na Pombe anaweza nunua tu.
Sasa Kama mnashangaa hivi je ningenunua BIMA ingekuaje?

Watoto wa kike mtapewa Ngoma bure, acheni shobo na watu Kama sisi ambao tupo 2040 na sio 2022

View attachment 2427237
Hivi kwani watu wote wanaopenda hivyo vitu viwili ulivyovisema "Pombe na Ngono".. Huwa ni vigumu kufanikiwa???

Na kwani kufanikiwa kwa wapambanaji ni Kununua gari??.
 
Hongera ila usivimbe sana, maana mpaka kufungua uzi unaonyesha ni jinsi gani unatambia watu wasiokuwa na magari.
 
Back
Top Bottom