Nadhani watafanyiana timing, maana mama hata akishinikiza Jamaa kufutwa uwanachama, hawez kumtoa kwenye usipika maana spika silazima awe mwanachama wa chama chochote.
Na ikipigwa kura bungeni mama hataamini macho yake!
Ccm wakimvua uanachama tu Ndugai anabaki kuwa raia na mkulima Kama watu wengineHali si shwari kwa wanaofuatilia siasa za nchi hii toka camarada Legendary Pombe alipotoweka dunia.
Pamoja na kuwa katika wakati mgumu kufuatia kushusha siraha nchini na kuonyesha udhaifu kwenye mhimili mwingine.
Kwa nafasi aliyonayo dhidi ya ule muhimili anaousimamia japo tayari yupo under control, je anaweza kutumia ile kura ya veto na kusema liwalo na liwe akapindua meza kwenye kikao kijacho cha bunge?.
Na ukapigwa 🎶wimbo hatuna imani naye?.🎵
Tupo pamoja.Nadhani watafanyiana timing, maana mama hata akishinikiza Jamaa kufutwa uwanachama, hawez kumtoa kwenye usipika maana spika silazima awe mwanachama wa chama chochote.
Na ikipigwa kura bungeni mama hataamini macho yake!
Pole, Soma katiba vizuri.ili uwe spika lazima udhaminiwe na chama Cha siasaNadhani watafanyiana timing, maana mama hata akishinikiza Jamaa kufutwa uwanachama, hawez kumtoa kwenye usipika maana spika silazima awe mwanachama wa chama chochote.
Na ikipigwa kura bungeni mama hataamini macho yake!
hawezi!!kwa nini?? ni hvi, wabunge wengi karibia 90% bungeni waliingia kwa msaada wa JPM na sio kuchanguliwa na wananchi!so wakipiga kura ya kutokua na imani na Rais it means tunaenda ktk uchaguzi, nani ana uhakika wa kurudi tena Bungeni???so watagoma ili kulinda ugali at least mpk 2025 uchaguzi mkuuu!!hence, watamtosa Job tu hakuna namna!!Hali si shwari kwa wanaofuatilia siasa za nchi hii toka camarada Legendary Pombe alipotoweka dunia.
Pamoja na kuwa katika wakati mgumu kufuatia kushusha siraha nchini na kuonyesha udhaifu kwenye mhimili mwingine.
Kwa nafasi aliyonayo dhidi ya ule muhimili anaousimamia japo tayari yupo under control, je anaweza kutumia ile kura ya veto na kusema liwalo na liwe akapindua meza kwenye kikao kijacho cha bunge?.
Na ukapigwa 🎶wimbo hatuna imani naye?.🎵
Naungana na wewe 100%. Yani zoa zoa kina Babu Tale akapige kura kutokuwa na imani na mama, hilo halipohawezi!!kwa nini?? ni hvi, wabunge wengi karibia 90% bungeni waliingia kwa msaada wa JPM na sio kuchanguliwa na wananchi!so wakipiga kura ya kutokua na imani na Rais it means tunaenda ktk uchaguzi, nani ana uhakika wa kurudi tena Bungeni???so watagoma ili kulinda ugali at least mpk 2025 uchaguzi mkuuu!!hence, watamtosa Job tu hakuna namna!!
Kwa hiyo 7(a) inamhusu kwani akifukuzwa uanachama atakosa sifa ya kuwa mbunge na hivyo kupoteza nafasi ya u spikaCcm wakimvua uanachama tu Ndugai anabaki kuwa raia na mkulima Kama watu wengineView attachment 2068811
Hawezi fanya lolote lile jinga la Dodoma, alidekezwa sana, Ebu mwambie ajaribu kutumia kura ya veto? Kwani anayo? Rais anaweza kuvunja bunge wakati wowote, mbili bunge haliwezi kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais, bali waziri mkuu. Hivi wewe unajua wabunge wapo upande gani? Ebu kasome katiba acha uvivu.Hali si shwari kwa wanaofuatilia siasa za nchi hii toka camarada Legendary Pombe alipotoweka dunia.
Pamoja na kuwa katika wakati mgumu kufuatia kushusha siraha nchini na kuonyesha udhaifu kwenye mhimili mwingine.
Kwa nafasi aliyonayo dhidi ya ule muhimili anaousimamia japo tayari yupo under control, je anaweza kutumia ile kura ya veto na kusema liwalo na liwe akapindua meza kwenye kikao kijacho cha bunge?.
Na ukapigwa 🎶wimbo hatuna imani naye?.🎵
Nyie ndo mnafanya Jf siku hizi iwe kama facebook. Soma katiba kwanza ndo uandike, tunataka elimu sio hisia na ushabiki.Nadhani watafanyiana timing, maana mama hata akishinikiza Jamaa kufutwa uwanachama, hawez kumtoa kwenye usipika maana spika silazima awe mwanachama wa chama chochote.
Na ikipigwa kura bungeni mama hataamini macho yake!