Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Wapiga usiku kwa usiku Mana akajua asubuhi wakati tayari ameshaondolewa atafanyaje au atagoma kutoka!!!Mama si analivunja mapema tu Bunge kabla ya kupiga kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapiga usiku kwa usiku Mana akajua asubuhi wakati tayari ameshaondolewa atafanyaje au atagoma kutoka!!!Mama si analivunja mapema tu Bunge kabla ya kupiga kura
Mama lazima apiteKazi ipo...muhimu mama 2025 apite
Hiyo kipengele F ndicho kitakachomuondoa NDUGAI. Aondoke tu kwa sababu ni muongo na mchochezi, aliwaonea sana wapinzani halafu akamgeuza nyoka amwangalie miguu, akapewa za usoCcm wakimvua uanachama tu Ndugai anabaki kuwa raia na mkulima Kama watu wengineView attachment 2068811
aaha wapi? tukimsema Raisi ana nguvu muelewe, kabla hajaitisha wasiojulikana tayari watakuwa wamemchukua, alafu naibu spika anabutua chini ya mtutuHali si shwari kwa wanaofuatilia siasa za nchi hii toka camarada Legendary Pombe alipotoweka dunia.
Pamoja na kuwa katika wakati mgumu kufuatia kushusha siraha nchini na kuonyesha udhaifu kwenye mhimili mwingine.
Kwa nafasi aliyonayo dhidi ya ule muhimili anaousimamia japo tayari yupo under control, je anaweza kutumia ile kura ya veto na kusema liwalo na liwe akapindua meza kwenye kikao kijacho cha bunge?.
Na ukapigwa 🎶wimbo hatuna imani naye?.🎵
UKilivunja bunge manake mnaenda kwenye uchaguzi sasa zama zenyewe tia maji tia maji izi itakula kwao maana ata mama kurudi ngumuMama si analivunja mapema tu Bunge kabla ya kupiga kura
Ndugai ni mdogo sana kwa mama,Hali si shwari kwa wanaofuatilia siasa za nchi hii toka camarada Legendary Pombe alipotoweka dunia.
Pamoja na kuwa katika wakati mgumu kufuatia kushusha siraha nchini na kuonyesha udhaifu kwenye mhimili mwingine.
Kwa nafasi aliyonayo dhidi ya ule muhimili anaousimamia japo tayari yupo under control, je anaweza kutumia ile kura ya veto na kusema liwalo na liwe akapindua meza kwenye kikao kijacho cha bunge?.
Na ukapigwa [emoji445]wimbo hatuna imani naye?.[emoji444]
Naona umecover kila kitu.Job na kundi lake wako chini ya uangalizi mkali sana wa vyombo vya dola, hakuna mawasiliano atafanya wasijue, hakuna mtu ataongea naye wasijue, hakuna kikao atafanya wasijue, yaani atafungiwa GPS katika magari yake, vinasa sauti katika magari, ofisini, nyumbani, pia Katibu wa Bunge, ambaye ndiye huandaa ratiba ya vikao ni mteule wa MAMA, hii sio kwa bahati mbaya, akiona ratiba hiyo, mara moja atawasiliana na ikulu, hii ni pamoja na makarani wa Bunge , nusu ni waserekali, anaanza tu mambo ya hovyo, hatatoka getini pale nyumbani kwake, hata akitoka, patazimwa umeme pale Bungeni na majenereta kuharibiwa, na hatawaona wale askari wa Bunge kuja kumsaidia, hao askari watatii amri ya Amiri Jeshi aliyewapeleka pale, na haohao ndio wanaweza kuwa wa kwanza kumkamata Job na kumweka chini ya ulinzi, Pia hata walinzi wake ni wale anaopewa na Samia, watabadilishwa analetewa vichwa maji
Katiba imeka kimitegoUKilivunja bunge manake mnaenda kwenye uchaguzi sasa zama zenyewe tia maji tia maji izi itakula kwao maana ata mama kurudi ngumu
Au kwa usahihi kabisa caucus ya wabunge ndani ya Bunge la chama kimoja tuone hiyo demokrasia ya chama kimoja inawezekana kutendeka kama wanaLumumba wanavyodai.Tz bado sana bunge kumtoa rais madarakani
Katiba la zamani ili sasa tukifinyanga mpya tutakuwa na uzoefu na vifungu vyenye ukakasiKatiba imeka kimitego
Kuvunja bunge sio kazi rahisi kama unavyoandikaTupo pamoja.
Nani wa kumuwahi mwenzake hapo?.
Course BiM hata kesho anaweza kwenda live na kuvunja bunge wkt Job akiwa anakula dinner na family yake, ile kushituka anamuona BiM akitangaza 😁.
Hoja ya dharura siyo lazima iwe na ratiba,inaweza kuibuka kat kat ya mijadala mingine.Job na kundi lake wako chini ya uangalizi mkali sana wa vyombo vya dola, hakuna mawasiliano atafanya wasijue, hakuna mtu ataongea naye wasijue, hakuna kikao atafanya wasijue, yaani atafungiwa GPS katika magari yake, vinasa sauti katika magari, ofisini, nyumbani, pia Katibu wa Bunge, ambaye ndiye huandaa ratiba ya vikao ni mteule wa MAMA, hii sio kwa bahati mbaya, akiona ratiba hiyo, mara moja atawasiliana na ikulu, hii ni pamoja na makarani wa Bunge , nusu ni waserekali, anaanza tu mambo ya hovyo, hatatoka getini pale nyumbani kwake, hata akitoka, patazimwa umeme pale Bungeni na majenereta kuharibiwa, na hatawaona wale askari wa Bunge kuja kumsaidia, hao askari watatii amri ya Amiri Jeshi aliyewapeleka pale, na haohao ndio wanaweza kuwa wa kwanza kumkamata Job na kumweka chini ya ulinzi, Pia hata walinzi wake ni wale anaopewa na Samia, watabadilishwa analetewa vichwa maji
Acheni kupotosha, katiba inasomeka hivi;Nadhani watafanyiana timing, maana mama hata akishinikiza Jamaa kufutwa uwanachama, hawez kumtoa kwenye usipika maana spika silazima awe mwanachama wa chama chochote.
Na ikipigwa kura bungeni mama hataamini macho yake!
Mwambieni aliwashe basi tuone, atapelekwa kuishi Kigamboni kama JumbeHoja ya dharura siyo lazima iwe na ratiba,inaweza kuibuka kat kat ya mijadala mingine.
Ata miongoni mwa walinzi na TISS wapo wanaomuunga sana mkono Ndugai,ni vita isiyo na hati miliki anaweza kushinda Samia au Ndugai na siyo ajabu.