Kwa hali hii; Je, Job anaweza kumuwahi boss wake kwa ile kura ya veto?

Hana ushujaa huo alitakiwa asiombe msamaha ila kashachelewa
Ila kachambwa aseee as like watu wa uswahilini na mzee baba Kassim kadhalilishwa sana kuitwa as it jamaa wa mtaani hivi 🙁!.
 
aaha wapi? tukimsema Raisi ana nguvu muelewe, kabla hajaitisha wasiojulikana tayari watakuwa wamemchukua, alafu naibu spika anabutua chini ya mtutu
Naibu spika namuona bado sana hata hivyo hawezi fanya lolote labda kwa muongozo wa watu fulani.
 
Mkuu ulivyo andika nikadhani unafahamu kipengele chochote cha katiba kinachosema bunge haliwezi kupiga kura kutokuwa na imani na presida, kumbe nothing!.
 
Unadhani veto wanairukia tu ? Ninekosa Mimi nimekosana Sana .
 
Msitukane kwasababu ya ugogo wangu.. mimi ni mshauri wa askofu na hata kapernaun nimewahi fika kwa mke wa ....
 
Hawezi, he is finished!, kwishney finito!.
P
 
Kura ya veto ipi? Speaker hana kura ya veto.
 
Kwanza hana hiyo kura ya turufu (veto). Najua unajua kwamba kwa mujibu wa Ibara ya 46A ya Katiba ya JMT, 1977 Bunge linaweza tu kumshitaki Rais ambapo mlolongo wake ni mreeefu ambao naona kuwezekana kwake ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano! Sijaona Speaker akiwa na kura ya turufu kwenye huo mchakato.
 
Kura ya veto ipi? Speaker hana kura ya veto.
Kura ya kutokuwa na imani na rais, pamoja na kuwa na mlolongo mrefu but ndiyo hiyo tunayosema kura ya veto ambayo inampa spika jeuri endapo tu itafanyika.
 
Kura ya kutokuwa na imani na rais, pamoja na kuwa na mlolongo mrefu but ndiyo hiyo tunayosema kura ya veto ambayo inampa spika jeuri endapo tu itafanyika.
Nadhani mkuu hufahamu maana ya kura ya veto! Jishughulishe kusoma mkataba wa UN uone jinsi kura ya turufu/veto inavyofanya kazi kwenye Baraza la Usalama na Umoja wa Mataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…