Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Eti Mungu anatulinda sana wakati Biblia na Quran zote zinakiri mvua,upepo, n.k vinatoka kwa Mungu!! So ina maana Mungu anatulinda dhidi ya kitu alichoumba mwenyewe? So anafaham kuwa ni kibaya?
...ndugu,nimekubali kutokukubaliana na wewe.

Mchana mwema.
 
Mibalaa inaondoka na mwendazake.
 
Wewe ni pinga pinga mtu wa kuangalia makalio ya akinamama. Angalia mwenyewe
 

Attachments

  • Chura.mp4
    15.3 MB
Stuka wewe, hiyo stori inaweza kuwa ilikuzwa kutengeneza njia ya kupitisha mzigo ilipobumba ndio zinakuja taarifa kimeyeyuka kwa nguvu za maombi.chezea tani mbili nini ?
Mzigo wa tani moja ule
 
Kwahiyo nchi zingine ambazo wametupita sana kimaendeleo wao wanalindwa na shetani? Akili zenu hazina akili
 
Pale yanapodhihirika matendo makuu na ya maajabu, sifa na heshima na hata utukufu unapaswa kurudi kwa Mungu na Muumba wetu. Wacha Mungu huomba kila siku kwa bidii naye Mungu wao huwasikia na kujibu maombi yao.

Tatizo lipo kwa wale wasio amini uwepo wa Mungu na ukuu wa matendo na kazi zake. Hiyo kwa hakika ni kwa hasara yao wao wenyewe. Lipo jina moja lipitalo majina yote mbinguni na dunia ambalo hakuna kitu ambacho kinashindikana endapo watu wa Mungu wataomba kwa dhati kupitia kwalo.
 
Hapana utabiri au hata ukifuatilia mwenyewe kuna site inaonesha kimbunga live, sasa wanatoa hali halisi pale kinapokuwa live kuwa speed ni hii na kinaelekea wapi na hapo utakuta kiko mbali sana kwa hiyo inatembea 24 Hrs lakini wakiona speed inapungua wana kishusha grade na wakati mwingine unadhani kita land Mtwara halafu kinabadili labda kinaelekea Tanga au kinaweza kuchukuwa njia nyingine ndio maana kuna utabiri wa masaa. Mnajiandaa na ile hali inavyokuwa wakati ule huwezi kusema sasa hivi speed 200 lakini msiwe na wasiwasi speed itashuka hapana kinaweza kuongeza speed au hapana ni mambo mengi yanatokea hata hao watabiri wa Tanzania wanatumia site hizo hizo za nje maana ndio wana satelite zao angani sisi hatuna chochote, satelite za nje ndio zinanasa hii hali vinginevyo tungekuwa tunashtukizwa tu na vimbunga.
 
Halafu ukishaanza kuona hii hali ya vimbunga vinaanza haya ndio mabadiliko ya hali ya hewa ujuwe kuna siku kitakuja yalianza huko sijui Msumbiji na haya mambo hayakuwa issue kwetu ila slowly tunaanza kuyaona na Mungu atuepushe tusiombe kabisa maana na hizi nyumba zetu za bati misumari yenyewe fan tu inatingisha halafu kije kitu speed 200 tutalala paa wazi.
 
Kwa hiyo kwa mfano kama kuna kimbunga kimetokea baharini kilomita 5000 kutoka Dar es salaam kikiwa na speed ya 200KM/H wanasayansi hawana uwezo wa kujua kwa wakati huo hatima ya hicho kimbunga?Yaani hawana mbinu ya kujua kuwa kwa wakati huo kuwa kitafika Dar au la na kama kitafika je kitafika na speed gani na kitasababisha athari gani?
 
Ahsante kwa maelezo yako . Ushahidi wa picha huu->
 
Kwani nchi gani ya Afrika(weusi) wamekufa wengi Kama Wazungu
 
Ningeweza kukutumia site ya hivi vimbunga satelite, wana level kama 5 na hii inakuwa kwa speed level 1 mpaka km 153, 2 mpaka 177 muhimu ikifika sasa 5 huko 252 kwenda juu huko sasa majanga. Satelite inachukuwa live speed na muelekeo speed ikipungua wanashusha category na mara nyingi kikifika ardhini speed inakuwa inapungua lakini inategemea na huko kimeanza na speed gani. wao wanaweza kukisia lakini kwa tahadhari wanachukuwa tahadhari zote ila wakiona kila baada ya masaa kina drop speed kiasi gani hapo wanatabiri mpaka kifike speed itakuwa hii wana kisia ila sababu sisi Tanzania hatujawahi kupata issue hizi sana hata kikija na speed 90 KMH kwa sisi ni kubwa sababu sidhani kama tumewahi kupata ila kwa USA mfano hiyo sio lolote maana huwa wanapata mpaka category 5 na inakuwa majanga.
 
Hatupo katika ukanda wa vimbunga.
Huko carrebean Mungu hayupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…