Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Kwa namna ambavyo ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 ilivyotekelezwa kikamilifu na kwa ufanisi wa zaidi ya 98%,
Ni wazi imani na kuaminika kwa serikali sikivu ya CCM kwa wananchi inaweza kua ni zaidi ya 100%, na hiyo itamaanisha na kuashiria kwamba, CCM inaweza kushinda uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 katika majimbo yote ya uchaguzi nchini.
Una maoni na mtazamo gani juu ya hili 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Ni wazi imani na kuaminika kwa serikali sikivu ya CCM kwa wananchi inaweza kua ni zaidi ya 100%, na hiyo itamaanisha na kuashiria kwamba, CCM inaweza kushinda uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025 katika majimbo yote ya uchaguzi nchini.
Una maoni na mtazamo gani juu ya hili 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
