Kwa hapa Dar wapi naweza kupata hii mboga inayoitwa mgagani?

Kwa hapa Dar wapi naweza kupata hii mboga inayoitwa mgagani?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Wakuu

Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?

Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.
Screenshot_20250310_195754_Opera Mini.jpg
 
Back
Top Bottom