Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapo kibao kigamboni, vikindu, bunjuDar kuna mapori afsa?
Agiza kutoka huko simiyu na shinyanga. Wakutumie kipindi hiki yapo mengi tuWakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
Wadake wale wamama wauza mboga mwambie unataka hiyo mboga atakuletea.Wakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
Watu wamekumbuka kwao,muwe mnabeba na mbegu mkija mjini, ohooYapo kibao kigamboni, vikindu, bunju
Mabwe pande aende ila ajiandae na chatu 😹😹Yapo kibao kigamboni, vikindu, bunju
Nikupikie? Nenda shishi foodUnaweza kuja kunipikia afsa?
Zipo bossWakuu
Nimemiss kula mboga za asili,kuna anaejua wapi kwa hapa Dar naweza kupata hii mboga ya majani inayoitwa mgagani?
Ni mboga maarufu zaidi huko kanda ya ziwa.View attachment 3265940
Bwawa gani?Mgagani tafuta bwawa, mto au bahari utayapata..!!
Naunga mkono hoja kakaWatu wamekumbuka kwao,muwe mnabeba na mbegu mkija mjini, ohoo