Kwa hapa Tanzania simu za Iphone ni za wasichana, tena waliotoka familia maskini

Kwa hapa Tanzania simu za Iphone ni za wasichana, tena waliotoka familia maskini

Mtoa mada ni mshamba sana![emoji276]brand ya simu inahusiana nini na tabia za mtu binafsi?,kwahiyo ukitumia infinix ndio unakuwa tajiri?
 
Hi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa soloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Yaani sasa nikimwona mkaka ana iphone namwona kama shoga fulani hivi. Samahani.
Sent from tecno pop 2
 
Kuna demu ana iphone kali kichizi halafu mimi nnakiswaswandu eti analia anadaiwa elfu 30 nimsaidie ajabu hata vocha iana anategemea nimpe nkatemana nae kumbe ndo katoka chuo siku si nyingi hayajui maisha ya kitaa
Atauza anunue infinix
 
Mawazo yako tu machafu wengine tunapewa zawadi
 
Hi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa soloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Yaani sasa nikimwona mkaka ana iphone namwona kama shoga fulani hivi. Samahani.
Nunua simu acha Roho ya wivu na umaskini
 
Umeelezea Ila miw nazama ndani kabisa ya mizizi ya ubongo ama asili ya ubongo wetu binadamu,najua we're always see outerface decision but there's always behind why reasons.

1-Adequacy (I’m not competent)
2-Mattering (Value as a human being=material things)
3-Worth (I have to work hard or Idon’t deserve to own it).
Tukianza na 1 binadamu huwa anaji feel inadequacy ndani yake na ndio hapo huwa anatafuta kitu naye kimfanye aonekane Kama amekamilika ndani yake kinafsi ama kwa nje muonekano kwa wanyama wenzake.
Hapa ndio Mana mwenye nacho anaishi Kama Hana na asiye nacho anaishi Kama anacho.
Enzi zetu huko shuleni jamaa wanaofaulu wanaongea pumba ili wadharaulike mana wanajua Wanayo Ile external validation/value kuwa Yuko njema class. Ila kilaza atapangalia points kukiwa na mjadala fulani Ila bado watu watam crush mbaya.
Tajiri anavaa simple Mana hahitaji aonekane ama akubalike kwa muonekano yeye ndani yake anajua kuwa anakubalika ama ananikubali Mana goal lake kubwa lishatimia.
Kuna wamaza fulani ambao walikuwa ma Dr and professors pale udsm walikuwa wanavaa Kama mama zeetu wa kijijini nb remember professor salary is around 4M monthly. Unakuta ananyoa kawaida tu Kama mwanafunzi wa olevo,hahitaji kuvaa ama kujiweka ili ku draw big image kwa our mind Mana Tayari watu wanayo big image.
Na ndio Mana wahenga walisema debe tupu huvuma. Mtu anayejua kitu haongei Sana Ila aliyejaza kichwani social networks,Simba and yanga,ccm vs chadema ,namna ya kuchakata mbususu mpaka I vibrate anachonga mno huku Hana maarifa yyte. Na pia kiingereza alisema kuwa "going outside and buying expensive/rich cigarettes doesn't make me rich person.


2 na 3 ngoja niziache mwenye kujiongeza atajiongeza. Knowledge isn't for everybody.
 
Hi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa soloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Yaani sasa nikimwona mkaka ana iphone namwona kama shoga fulani hivi. Samahani.
Sasa we una tofauti gani na hao wanawake, maana unamfuatilia dada wa watu mpaka umekuja kumsema humu
 
Hi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa soloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Yaani sasa nikimwona mkaka ana iphone namwona kama shoga fulani hivi. Samahani.
Mkuu hiyo samahani ifute, uko sahihi 100%
 
Back
Top Bottom