Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Hadi wamama?..maana asilimia 80 ni nyingime ninaowaona wengi ni 8 na x
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi wamama?..maana asilimia 80 ni nyingime ninaowaona wengi ni 8 na x
Hapo kwa uhuru tupo Pa1.Iphone mbona sio sim ya gharama kwa sasa laki3 4 au 5 unazipata used madukani. Pia kuna iphone feki siku hizi
Binafsi siwezi kabisa kutumia iphone sababu nahitaji uhuru
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakujiwekezaaaa?Kuna demu ana iphone kali kichizi halafu mimi nnakiswaswandu eti analia anadaiwa elfu 30 nimsaidie ajabu hata vocha iana anategemea nimpe nkatemana nae kumbe ndo katoka chuo siku si nyingi hayajui maisha ya kitaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Genetics inakata mawimbiiiIla kizazi cha kiume kinateketea Jamani
Sijui tumekosea wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mindset tyuuh.Mi mwenyewe nikiona mwanaume ana iphone
Hasa Eleven sijui 13 daah namuonaga kama namna gani vipi[emoji23][emoji23]...
Mwanaume tumia samsung labda kama unapigiaga picha za biashara
Ndyoooooh.Mawazo yako tu machafu wengine tunapewa zawadi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua na jamaa yangu ana Samsung nikakuta ameweka ring tone ya iPhone nilimshangaa sana
Yaani mim ninampango wa kumiliki simu ya battaniHi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa soloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Yaani sasa nikimwona mkaka ana iphone namwona kama shoga fulani hivi. Samahani.
Ibilisi Mambo vipiWaiter leta konyagi kubwa hapa npo hadi saa nane wapi maji makubwa!!
Ila we jamaa😂😂😂Hi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa soloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Yaani sasa nikimwona mkaka ana iphone namwona kama shoga fulani hivi. Samahani.
Hii adequacy pia ndo husababisha watu wanene kula kila mda. Sio kwamba wana njaa no, but they are trying to fill the emptiness in their soul.Umeelezea Ila miw nazama ndani kabisa ya mizizi ya ubongo ama asili ya ubongo wetu binadamu,najua we're always see outerface decision but there's always behind why reasons.
1-Adequacy (I’m not competent)
2-Mattering (Value as a human being=material things)
3-Worth (I have to work hard or Idon’t deserve to own it).
Tukianza na 1 binadamu huwa anaji feel inadequacy ndani yake na ndio hapo huwa anatafuta kitu naye kimfanye aonekane Kama amekamilika ndani yake kinafsi ama kwa nje muonekano kwa wanyama wenzake.
Hapa ndio Mana mwenye nacho anaishi Kama Hana na asiye nacho anaishi Kama anacho.
Enzi zetu huko shuleni jamaa wanaofaulu wanaongea pumba ili wadharaulike mana wanajua Wanayo Ile external validation/value kuwa Yuko njema class. Ila kilaza atapangalia points kukiwa na mjadala fulani Ila bado watu watam crush mbaya.
Tajiri anavaa simple Mana hahitaji aonekane ama akubalike kwa muonekano yeye ndani yake anajua kuwa anakubalika ama ananikubali Mana goal lake kubwa lishatimia.
Kuna wamaza fulani ambao walikuwa ma Dr and professors pale udsm walikuwa wanavaa Kama mama zeetu wa kijijini nb remember professor salary is around 4M monthly. Unakuta ananyoa kawaida tu Kama mwanafunzi wa olevo,hahitaji kuvaa ama kujiweka ili ku draw big image kwa our mind Mana Tayari watu wanayo big image.
Na ndio Mana wahenga walisema debe tupu huvuma. Mtu anayejua kitu haongei Sana Ila aliyejaza kichwani social networks,Simba and yanga,ccm vs chadema ,namna ya kuchakata mbususu mpaka I vibrate anachonga mno huku Hana maarifa yyte. Na pia kiingereza alisema kuwa "going outside and buying expensive/rich cigarettes doesn't make me rich person.
2 na 3 ngoja niziache mwenye kujiongeza atajiongeza. Knowledge isn't for everybody.
...Kupanga ni Kuchagua...!Hi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa saloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Kwahiyo wengi wanspumuliwa?Mkuu hiyo samahani ifute, uko sahihi 100%
Thank you nimeongea kisayansi naona na wewe umelileta kwa mtizamo wa ki spiritual Ila zote Ni sawa Ni just another way of perception of the context.Hii adequacy pia ndo husababisha watu wanene kula kila mda. Sio kwamba wana njaa no, but they are trying to fill the emptiness in their soul.
Kwahiyo umekuja kutupa taarifa kuwa umempa work mate wako laki unusu, wewe jamaa hatari sanaHi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa saloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Alijisikia inadequacy katika shimo la moyo ama nafsi yake. Mie na kitochi changu Ila Niko comfortable. Happiness is state of mindNilikua na jamaa yangu ana Samsung nikakuta ameweka ring tone ya iPhone nilimshangaa sana