Hii adequacy pia ndo husababisha watu wanene kula kila mda. Sio kwamba wana njaa no, but they are trying to fill the emptiness in their soul.
Thank you nimeongea kisayansi naona na wewe umelileta kwa mtizamo wa ki spiritual Ila zote Ni sawa Ni just another way of perception of the context.
Sasa iyo empty soul wanayojisikia kuijaza huwa haijai mielele hata wafanyeje Mana hawawezi. Yaani kujitosheleza kwako kukiwa Ni nje ya wewe Basi utateseka na utakuwa mtumwa smt utakuwa unafanya vitu ili ukubalike kutafuta ku draw attention.
Sasa twende kazi baada ya muhtasari.
Moyo or soul huwezi ijaza na ndio Mana ukishanunia gari la mjapan itakuambia gari la mjerumani litakufanye uwe adequate na value yako itaongezeka kwa jamii na mademu na your peers watajigonga kwako kirahisi unazidi kuteseka ama kuhangaikia kujaza shimo ambalo halijai milele. Nakuhakikishia ukishaimiliki iyo utaanza kuwaona wanaomiliki private jet,cruise ships za ma Hooligans na ma Oligarchs wa kirashia utajiona wewe Ni mjinga mno na sio mwanaume hujakamilika. Hii chains Ni endelevu na Ni infinity Mana baada ya kuwa na private jet itataka ziwe mbili,tatu ............... Mpka Mia ili ujulikane dunia nzima na uheshimike. Yaani hapa unakuwa uko driven by ego and greedy. Mpaka siku usipoweza kunyanyua mguu ndio utaamka utaona kuwa ulikuwa unahangaika tu na dunia na anasa zake ambazo hazina faida kwa faida ya kiroho.
Wote hapa tumeshawahi kula mbususu jamani hata mie Nimekula za kirusi kabisa huko kwenye kivatra zao. Sasa baada ya kula Kuna Nini ten, yaani what then,what for,hata mwili umeshawahi kuwa nishawahi kula hizo mbususu na hazijaweka mark or scar yoyote kwangu. Hata ukienda viwanja vyote unavyojua hata Kama Ni Bahamas or Maldives ukafanyiwe masaje kwa kwa makalio ya watt wa kufiliipino ama Latino America nothing you'll gain yaani Ni pleasure na euphoria inayozalishwa na DOPAMINE sawa na mla cocaine,heroin,bangi ama whatever.
Iyo soul or moyo hautosheki mielele na hauchoki kutamani Kama vile;
Jicho halichoki kutazama ama kuona
Mdomo haijawahi choka kuongea.
Sikio halijawahi choka kusikiliza.
hasahasa umbeya ama story za mbususu linapenda mno.
Miguu never tired to walk.
Hands never tired to touch and handle things.
Moyo hujawahi choka sukuma damu.
Pua haijawahi vuta hewa ama nusa harufu,ngozi haijawahi choka kuhisi.
Hujawahi choka kuchakata mbususu.
Na Sasa shida ilivyo unavyozidi kuchakata mbususu kutembea,kuongea ,kusikiliza,kuwaza,kula, ama kutamani ndivyo hizo Mambo zinazidi yaani tamaa ya mbususu,food,umbeya,kutembea yaani unakomaa mno inazidi kuota mizizi na unakuwa kwenye ulevi fulani ama kuwa na addiction ambayo Ni endlessly.
Ukitoka tu kula mbususu unakutana na titi limechongoka ubongo inakuambia kuwa na hili linaishia mdomoni hebu sema nalo unaweza ukalinyonya.
Na ndio Mana inatakiwa elimu ya self actualization kuliko self image.
Ukiwa na iPhone 14max pro utaishi nayo baada ya mwaka utaiona ya kaiwada na ndio Mana unaambiwa Kuna nyingine Mana watu wapo gerezanj bila sisi kujitambua kuwa tupo gerezani jamani.
Maandiko yanaongea hichi kitu sema bana brain ya binadamu vi very peculiar.
Ukimiliki dola bilioni moja leo kesho ukiamka utajisikia mtupu kinafsi so utatamani uwe nazo Mia Kama buffet.
Tumeambiwa tuiishi leo ambayo inaitwa present Mana ndio tunayo na ndio Mana kesho hata mzungu anasema I will ama inshallah anything can happen out of our will. Kuna kitabu fulani Cha power of now Cha Williams Eckhart Tolle.
Thank you kwa kugusa hili suala.