Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
una iPhone gani mkuu maana imekutauchi sana madaMwanaume mzima unafuatilia mambo ya watu. Huyu avae vile, anatakiwa amiliki kile.
Huo muda wa kufuatilia mambo ya watu unaupata wapi?
Mimi hata tukisalimiana na mtu halafu baada ya dakika 10 ukiniuliza umevaaje hata sikumbuki maana nina vitu vingi sana natakiwa kufanya.
Bado una mambo ya kiswahili sana mtoa uzi. Acha kufuatilia maisha ya watu, utaishi kwa amani na furaha sana. Unajaza hasira na uso kukakamaa kwasbb ya mambo ya watu.
Amiliki asimiliki iPhone. Imekusaidia nini katika maisha yako
Nina Tecno W3. Najua unavyopenda kufuatilia maisha ya watu utajiuliza anatumia Tecno W3?una iPhone gani mkuu maana imekutauchi sana mada
acha panicNina Tecno W3. Najua unavyopenda kufuatilia maisha ya watu utajiuliza anatumia Tecno W3?
Nyie ndiyo wale marafiki umepotezena naye miaka 4 au 10. Mnakutana anakuuliza
1. Unafanya kazi gani? Kazi yangu itakusaidia nini?
2. Umeoa? Subiri mpk mtu akuambie km ameoa na siyo kumuuliza.
Umeuliza kama nina iPhone. Nikiwa nayo au sina itakusaidia nini?acha panic
tulia umeshajibu kwamba una W3 hayo mengine ya ninUmeuliza kama nina iPhone. Nikiwa nayo au sina itakusaidia nini?
Hapo kwenye biashara nipo Samsung lakini naenda iPhone camera kali sana japo wengi wanaisifia Google pixel najiuliza haichuji baada ya muda fulani kweli?Mi mwenyewe nikiona mwanaume ana iphone
Hasa Eleven sijui 13 daah namuonaga kama namna gani vipi[emoji23][emoji23]...
Mwanaume tumia samsung labda kama unapigiaga picha za biashara
Sijajua (G- pixel)Hapo kwenye biashara nipo Samsung lakini naenda iPhone camera kali sana japo wengi wanaisifia Google pixel najiuliza haichuji baada ya muda fulani kweli?
Tabia za wanaume walolelewa na kulala mama zao toka miaka 0 hadi baleheHi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa saloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Marinda hamnaDah! Yaani sahivi kwenye daladala 80% wanatumia iphone😁 anyway acha tuone mwisho.
Ulitongoza kiutu uzima.Hi gentlemen!
Hii kasi ya wadada wauza bar almaarufu barmaid, wadada wanaofanya kazi kwa Wahindi, wadada wanaofanya kazi za uwakala wa mitandao ya fedha, wadada wa saloon n k kumiliki simu za Iphone imekuwa kubwa sana.
Hizi simu za Iphone hapa Tanzania ni za wadada, hasa wale wanaopenda maisha ya kuigiza au kuiga.
Binti mmoja alikuwa field kazini kwetu, yaani kale kaposho kake kabana ili tu anunue iphone. Nilimuhurumia sana maana kwa hali ile akitokea mkaka amemwonyesha surprise hata ya Iphone 5, 6 au 7 atampa mpaka kwa mparange. Nikaamua nimpe free of charge 150000 aongezee atimize maono yake.
Kuna mwingine kashindwa kununua au kuimudu gharama ya iPhone anapondaHuu uzi sio wa kistaarabu kabisa
Kila mtu ana haki ya kununua kitu roho yake inapenda. Usifikiri kuwa kwa kuwa wewe unachukia iPhone basi kila mtu atazichukia. iPhone na ushoga vinahusiana vipi?
Mimi sio iPhone user, ila naona kinachoendelea kwetu Android users ni wivu na majungu juu ya iPhone users maana simu zao ni unique. Kuna watu wanatumia Samsung na ni mashoga. Kama umezipenda iPhone na unajiona huna hela ya kununua, kaa kimya tu na sio kuanza kuziponda na kujikosha mbele za watu ili wakuone eti hauzitamani. Mnataka kuforce iPhone users wajutie kununua simu zao ila mnashindwa.
Anyway, haya ni maneno ya mkosaji tu.
Iphone ulimwengu mwingine ni sawa na mtu anakwambia ukiwa marekani na aliye lindi kitohori wapo sawaKuna mwingine kashindwa kununua au kuimudu gharama ya iPhone anaponda
Kizuri watumiaji wa iPhone wapo kimyaaaa
Kizuri ni kizuri tu