Kwa haya Malengo yetu Yanga 2022-2023. Simba mtavurugana sana. Kuanzia tarehe 13/08/22 ni kilio mpaka tarehe x/08/23.Natoa tamko Rasmi

Kwa haya Malengo yetu Yanga 2022-2023. Simba mtavurugana sana. Kuanzia tarehe 13/08/22 ni kilio mpaka tarehe x/08/23.Natoa tamko Rasmi

Nonsense watu wanawazia kimataifa ratiba imetoka leo we unaleta story zako za August 13 kweli Morrison aliposema mrudi shule hakukosea.
 
ilikua bonanza tu..subirini na hata 13/8 bado...chochote chaweza tokea ila mchezo mzuri utakua kuanzia ule wa octoba 23...kiukweli bado fitness na kuzoeana bado kwa timu zote ila yanga hii aisee tutawasumbua saaaaana!

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mtawasumbua kina nani? Yaani huyo Joyce asiyeweza kupiga mpira mbele!?
 
Simba mtalia sana mwaka huu.. Mtalia kinyama .. Mtalia ndani mtalia nje. Mtalia ofisini mtalia nyumbani. Kifupi mwaka huu hadi ujao mtakuwa wakiwa sana. Mtakuwa wanyonge shambani mtakuwa wanyonge sokoni.. Mtakuwa wanyonge nyumbani mtakuwa wanyonge kazini.. Mtakuwa wanyonge barabarani mtakuwa wanyonge vichochoroni. Yaani mtanyongeka kinyama. Siyo kidogo.

Yanga tunaanza kwa mbwembwe. Tunachukua ngao ya jamii. Then tunaanza kukaa pale juu kileleni kwenye ligi. Kwa kushinda match ya kwanza bao za kutosha tu. Hapo ndo msahau. Simba na azam mtagombea nafasi ya pili.... Hamna chenu tena mwaka huu. Hii team ina mikakati ya hali ya juu sana . Nasema nyie acheni tu mtanyongeka kinyama... Ndo mjue hili ni bonge la team. Na mtaumia kinyama maana tunapiga mguu ndani tunapiga mguu nje. Yaani ni mwendo wa kusambaza vipigo tu.

Nasema hivi kama tarehe 13/08 tusipomfunga simba nipewe ban ya siku 7.

Upumbavu nao ni kipaji
 
Simba mtalia sana mwaka huu.. Mtalia kinyama .. Mtalia ndani mtalia nje. Mtalia ofisini mtalia nyumbani. Kifupi mwaka huu hadi ujao mtakuwa wakiwa sana. Mtakuwa wanyonge shambani mtakuwa wanyonge sokoni.. Mtakuwa wanyonge nyumbani mtakuwa wanyonge kazini.. Mtakuwa wanyonge barabarani mtakuwa wanyonge vichochoroni. Yaani mtanyongeka kinyama. Siyo kidogo.

Yanga tunaanza kwa mbwembwe. Tunachukua ngao ya jamii. Then tunaanza kukaa pale juu kileleni kwenye ligi. Kwa kushinda match ya kwanza bao za kutosha tu. Hapo ndo msahau. Simba na azam mtagombea nafasi ya pili.... Hamna chenu tena mwaka huu. Hii team ina mikakati ya hali ya juu sana . Nasema nyie acheni tu mtanyongeka kinyama... Ndo mjue hili ni bonge la team. Na mtaumia kinyama maana tunapiga mguu ndani tunapiga mguu nje. Yaani ni mwendo wa kusambaza vipigo tu.

Nasema hivi kama tarehe 13/08 tusipomfunga simba nipewe ban ya siku 7.
Wewe mkuu tulia tuliii,,,acha waendelee kujimwambafai kuwa wao ni bora baada ya kuwafunga wale wahabeshi,,tutawaonyesha kuwa wanayo kazi ya kufanya kuufikia ubora wa yanga
 
Mawazo ya utopolo muda wote wao kumfunga Simba wakati mawazo ya Simba now days ni kufanya vizuri kimataifa kucheza group stage caf champions na kuendelea yaan mtu unapoteza muda wako kumuwaza na kumfikiria mtu lakini mwenzako hakuwazi yeye anafikiria mtu mwingine tukisema mashabiki wa Yanga hamna uwezo wa kufikiri tunakosea?
Kweli mzungu pori hakukosea kusema kuwa ukimtoa kikwete na baba yake mashabiki wa Yanga wote waliobaki hawana akili
 
Yani malengo yenu yatulize sisi!?????mkuu una akili timamu kweli au kichwani kuna shida??KILA MTU AFANYE MAMBO YAKE
 
Simba mtalia sana mwaka huu.. Mtalia kinyama .. Mtalia ndani mtalia nje. Mtalia ofisini mtalia nyumbani. Kifupi mwaka huu hadi ujao mtakuwa wakiwa sana. Mtakuwa wanyonge shambani mtakuwa wanyonge sokoni.. Mtakuwa wanyonge nyumbani mtakuwa wanyonge kazini.. Mtakuwa wanyonge barabarani mtakuwa wanyonge vichochoroni. Yaani mtanyongeka kinyama. Siyo kidogo.

Yanga tunaanza kwa mbwembwe. Tunachukua ngao ya jamii. Then tunaanza kukaa pale juu kileleni kwenye ligi. Kwa kushinda match ya kwanza bao za kutosha tu. Hapo ndo msahau. Simba na azam mtagombea nafasi ya pili.... Hamna chenu tena mwaka huu. Hii team ina mikakati ya hali ya juu sana . Nasema nyie acheni tu mtanyongeka kinyama... Ndo mjue hili ni bonge la team. Na mtaumia kinyama maana tunapiga mguu ndani tunapiga mguu nje. Yaani ni mwendo wa kusambaza vipigo tu.

Nasema hivi kama tarehe 13/08 tusipomfunga simba nipewe ban ya siku 7.
Nayafuta maneno yako kwa damu ya Yesu michezo ni furaha kwa wote
 
Back
Top Bottom