Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
CCM Tupo makini kweli na enemies from within na ndio utaona reshuffle haziishi, and very soon ccm itajivua gamba,wale wote ambao wapo kinyume na itikadi ya chama chetu tutawaondoa,una dukuduku lilete ndani ya vibao vyetu vya kichama, na si kuropoka maredioni,kwani chama chetu ni chama chenye mifumo yake na ipo wazi ndani ya katiba ya chama chetu.No, ni ENEMIES from WITHIN ndo wataiua CCM, ni kanuni ya Uasi ilivyo.
Usisahau chama chakavu kina LAANA ya muasisi wake.