Nyerere alijua kabisa na alisema hadharani kuwa katiba hii ni mbovu, akiingia RAIS mpumbavu anaweza kuwa dikteita wa kufa mtu! Na bado akaiacha hivyo hivyo na sasa inazalisha madikiteita!
Rais-Mfalme
quotes
Tangu angalau tuwe Jamhuri mwaka 1962, Rais wa nchi yetu amekuwa na mamlaka makubwa sana kikatiba, kisheria na kisiasa.
Kwenye hili, Mwalimu Nyerere mwenyewe aliwahi kusema, mwaka 1967 na akarudia tena mwaka 1978, kwamba alikuwa na mamlaka, kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi yetu za wakati huo, ya kuwa dikteta.
.......... Katiba hii ya mwaka 1977 pia ina tatizo kubwa ........ si jingine bali ni lile linalohusika na kumpa Rais wa nchi mamlaka ya kifalme.
. Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliwahi kusema kuwa angetaka, angeweza kuwa dikteta kwa Katiba hii.
Rais-Mfalme
quotes
Tangu angalau tuwe Jamhuri mwaka 1962, Rais wa nchi yetu amekuwa na mamlaka makubwa sana kikatiba, kisheria na kisiasa.
Kwenye hili, Mwalimu Nyerere mwenyewe aliwahi kusema, mwaka 1967 na akarudia tena mwaka 1978, kwamba alikuwa na mamlaka, kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi yetu za wakati huo, ya kuwa dikteta.
.......... Katiba hii ya mwaka 1977 pia ina tatizo kubwa ........ si jingine bali ni lile linalohusika na kumpa Rais wa nchi mamlaka ya kifalme.
. Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliwahi kusema kuwa angetaka, angeweza kuwa dikteta kwa Katiba hii.