Uchaguzi 2020 Kwa hii hotuba ya Tundu Lissu Segerea, amepotosha

Uchaguzi 2020 Kwa hii hotuba ya Tundu Lissu Segerea, amepotosha

Mkuu SGR serikali hata leo hii hadaiwi kit
Hao waturuki na waarabu wa stigler gorge wanalipwa hela wao hawawalipi wanafanyakazi, supplier na subcontractors wao

Ni kama wanazizungusha hela kwenye mabenk yao wapate faida


Pole lakini, naona JPM kakukamata, atakukamata na kwenye maisha Penda kuwa positive
najua wewe ni mnufaika wa mfumo kandamizi lakini jaribu kuwa na Utu kidogo maana wanaotaabika kule SGR ni ndugu zako, hakuna pesa imelipwa SGR na Serikali ya CCM tokea mwezi wa nne, kuna njaa Hatari na mda wowote watagoma kufanya kazi ndipo mtapata Aibu ya mwaka endelea kuutetea usumbufu wa malipo tokea Serikali ya CCM mpaka mje kuumbuka.
 
Mkuu Bora umenisaidia anadhani humu jf hakuna mtu anayeishi canada, Hawa cdm waongo sana
Wewe ndiyo muongo unatengeneza propaganda kusaka uteuzi kwa njia haramu
 
Mkuu SGR serikali hata leo hii hadaiwi kit
Hao waturuki na waarabu wa stigler gorge wanalipwa hela wao hawawalipi wanafanyakazi, supplier na subcontractors wao

Ni kama wanazizungusha hela kwenye mabenk yao wapate faida


Pole lakini, naona JPM kakukamata, atakukamata na kwenye maisha Penda kuwa positive
Umeandika kishabiki tu. Huna info zozote kuhusu malipo ya sgr wala stiglazi. Endelea kumlamba miguu huyu dikteta wa kihutu.
 
najua wewe ni mnufaika wa mfumo kandamizi lakini jaribu kuwa na Utu kidogo maana wanaotaabika kule SGR ni ndugu zako, hakuna pesa imelipwa SGR na Serikali ya CCM tokea mwezi wa nne, kuna njaa Hatari na mda wowote watagoma kufanya kazi ndipo mtapata Aibu ya mwaka endelea kuutetea usumbufu wa malipo tokea Serikali ya CCM mpaka mje kuumbuka.
Minyoo
Huyu sio mnufaika wa chochote. Ni shabiki maandazi tu. Namfahamu tangu kitambo.
 
Miradi mingi ya CCM inaenda kusimama kutokana na Serikali ya CCM kuchukua pesa zote kupeleka chato na zingine kwenye kampeni watapata Aibu kubwa mda si mrefu.
 
Lisu mwongo usione akitoa mimacho daraja la salender linajengwa kwa pesa ya msaada wa wakorea hatujakopa popote

Pili Raisi akisema tunajenga kwa pesa zetu wenyewe kakosea wapi kwani hata ukijenga kwa mkopo si unaulipa kwa pesa zako mwenyewe .Ukijenga nyumba kwa mkopo si unaulipa kwa pesa zako mwenyewe

Lisu anacheza tu na maneno Hana hoja .Gari alilokopa bungeni kwani kalilipa kwa pesa zipi si za kwake mwenyewe

Sasa akisema Hili gari nimelinunua kea pesa zangu anakuwa sahihi

Lisu uelewa wake mdogo mno he is not a presidential material .

Ukikopa shilingi 10 ukalipa shilingi 10 kweli unaweza kusema mkopo ule ni hela yako

Lakini ukikopa shilingi 10 ukalipa shilingi 25 sababu ya riba, ile shilingi 15 ya ziada si yako ni cha mkopeshaji hicho

Serikali hii inakopa pesa matrilioni kwa riba kubwa sana ambayo yatazaaa mizigo ya mabilioni mengi ya riba ambayo tutayabeba.

kwa hiyo kwa mikopo hii yenye masharti ya riba za kunyonga uchumi wa Nchi hayatufai hata kidogo. Magufuli aondoke atupishe mikopo yake ni kitanzi kwetu na watoto wetu
 
Mbona hakuna ulichomjibu

1. Ameuliza uwanja wa chato umeshakamilika mbona ATCL haiendi huko kuna shida gani hujajibu,

2. Ameuliza tender ya kununua ndege ilitangazwa wapi na nani ameona mikataba yake na kuna masharti gani ndani yake hujajibu chochote

3. Ameuliza mbona deni la taifa limeongezeka kwa kasi ya ajabu na huku tunajinafasi kuwa tunatekeleza miradi kwa pesa zetu za ndani hakuna jibu

4. Amekuuliza tanzania imefikia uchumi wa kati iweje wafanyakazi hawaongezewi mishahara hakuna jibu

sasa ni hoja gani umemjibu katika hilo andiko lako
Nikusaidie kujibu maswali yako,
1.Sio kila uwanja wa ndege ATCL wanatua, kule musoma wanatua? Arusha je? uwanja wa GGM? Sopa Lorge kule ngorongoro? Ras Kutani kule kilwa? mbona atcl wanaenda comoro tumejenga uwanja kule? haimaanishi kila uwanja nchi hii unatumiwa na atcl.

2.kwani kila tender ya manunuzi hutangazwa? ulishasikia tender ya kusupply landcruiser? hivi vitu tunavinunua kwa manufacturer unataka kushindanisha na nani? tunanunua toyota kiwandani tunashindanishaje?

3.hili la deni nimeshajibu au unataka maelezo gani tena?

4.Ulishasikia marekani japan sweden tunisia wanaongeza mishahara? kuwaza nyongeza ya mishahara ni mawazo ya kimasikini watu wanawaza kupata promotion sio nyongeza ya mshahara, tunacho angalia ni purchasing power ya wananchi wetu.

Zimbabwe kima cha chini ni 3m kwahiyo mshahara unatosha? Kenya kima cha chini ni elfu 4 kwahiyo mshahara wao ni mdogo? uingereza wanalipwa pound 40 mbona hawajadai nyongeza ya mshahara,

Lissu hajawahi kuwa mtumishi wa umma wala hajawahi kuwa mjumbe wa TUGHE na hakuwepo nchini miaka mitatu huo muwashowasho wa nyongeza anautoa wapi? si awaache wafanyakazi wadai wenyewe, isitoshe katibu mkuu utumishi ameshalitolea ufafanuzi kasomeni kwanza ndio muje
 
Nimesikiliza hotuba ya Lissu leo Segerea, naona lissu ana improve safi sana, tatizo bado iko palepale japo limepungua kidogo katumia muda mwingi kumshambulia jpm kulipo kuelezea yeye na serikali yake watafanya nini, machache aliyo yaelezea nayo ni kama ifuatavyo.

1. Ujenzi wa barabara ya Salender Bridge; anashangaa hizo pesa nyingi hivyo zinatumika kwa ajili ya watu wachache, kwanza sio kweli kuwa salender bridge hutumiwa na matajiri na vip only, hiki ni kiungo cha kutokea mwenge mbezi ununio mbweni hadi bagamoyo, kusema ni pesa nyingi ni mawazo ya kimasikini tu

Sweden wanajenga barabara ya US$47B barabara ya chini ya maji leo sie kamchepuko tu mtu anaona aghali eti fedha zingetumika kuchimba mitaro vingunguti, naona huyu hakuwepo nchini muda mrefu sasa hivi vingunguti ni lami tupu sivyo alivyo acha.

2. Kuhusu country credit rating; Hivi ni vipimo vya unyonyaji vinavyotumiwa na wazungu kupima urahisi wa kunyonya, hatuwezi kujisifu eti sisi ni watu rahisi kunyonywa rasilimali zetu hapana hata yeye Lissu anajua ngosha hayuko hivyo, hizo FDI sio hela za shangazi zetu hawaji kuwekeza eti sisi ni masikini wanataka watuinue tuendelee kama wao hapana.

Sasa hivi chini ya JPM tunakaa tunazungumza biashara kama hailipi tunaachana nayo, kwa taarifa yako billionea tajiri wa kwanza duniani Jeff Bezos kanunua hisa Barrick za usd 686m na sehemu ya hizo pesa zitawekezwa Tanzania kupitia ubia wetu wa Twiga hayo aliyotumiwa kwenye whasap aka google apate ukweli

3. Kelele za uwanja wa chato; hivi jamani kuna tatizo gani kujenga ka uwanja ka kutua home, kwa taarifa yake hivi viwanja kanda ya ziwa viko vingi kipo Mugumu Serengeti Musoma Mwadui Ibadakuli Nyashimo mission GGM Bulyanhulu Buzwagi Tulawaka Rwamgasa, hiyo runway isimtishe Lissu, nimkumbushe uwanja wa kwanza kujengwa africa mashariki ulikuwa wa Williamson Diamond Mwadui na ndege ya kwanza kutua ilimleta mwana mfalme wa uingereza haya ni mambo ya kawaida sana yasimpe presha.

Na kwanini ujengwe chato? chato ni tambarare ukilinganisha na Geita Bukombe na Katoro ni Giographia tu ndiyo inaruhusu, isitoshe hiyo pesa angeweza kuitumia kuzurura ulaya kama kwenda WEF davos sullivan UN EU AU au hata kwenda kunywa chai na trump ka serve hela na sehemu ya hiyo hela kajijengea kakiwanja shida iko wapi? Kuna waziri mkuu aliwahi kusafiri na msafara wa watu 70 kwenda kwenye graduation ya mwanae marekani na huyuhuyu Lissu akiwa mbunge hakuhoji.

4. Kuhusu bei ya ndege huyu bwana anamatatizo gani? alishaenda atcl akauliza bei ya ndege akakosa jibu? alishaenda Boeng kuuliza bei ya ndege akanyimwa? anauliza bei ya ndege mbona haulizi bei ya nguzo za umeme? mbona haulizi bei ya Youtong za Shabiby? mbona haulizi bei ya mabehewa ya SGR? atcl ina management yake ina muundo na taratibu za uendeshaji tuiache ifanyekazi zake. kwahiyo anataka wabunge waanze kwenda boeng airbus beachcraft jumbojet kukusanya quotation?

5. Uhuru wa kuamua, kwahili bora angeanza kutuambia ruzuku ya chadema ya miaka mitano iko wapi, atuambie zile 500m kila mwezi wanazopokwa wabunge wa chadema ziko wapi? Kila mbunge wazamani analia hana hela za kampeni na juzi wamelipwa 200m kilamtu wamepeleka wapi? kama ni unyanganyi basi basi upo cdm.

6. Hili la NHIF mfumo anaotaka kuleta sio mgeni kule marekani alitaka kuuanzisha Obama ukapewa jina la "Obama care" kama wamarekani uliwashinda na Lissu ataufanikisha basi atakuwa mtu mwnye akili sana. na kwa taarifa yake Bima ya afya sio ya bure ni huduma unalipia kama unavyokata bima ya gari kuwa litakapopata ajali liweze kutengenezwa, unaposema kila mtu awe na bima maana yake kila mtu alipie matibabu kwa lazima uwe mzima mgonjwa lipa tu, ni sawa na mtu kumwambia kila mtu alipe bima ya gari uwe huna unalo lipa tu utajiju, hapana, wenye uwezo wacha walipe bima na ambao hawana uwezo wapate huduma bure.

7. Deni la Taifa, Lissu anasema tunajenga miradi kwa pesa zetu deni linatoka wapi? kwanza hawa contractors wanalipwa pesa ya kigeni sie tunakusanya pesa za kitanzania tunahitaji dola za kuwalipa hawa wakandarasi, pesa iko bank lakini yakitanzania na hawa Arab Contractors Yepi wanataka dola, lazima tukope na kukopa sio dhambi na zipo kanuni za kukopa. Ukioa kwa msomali anakuuliza kuna mtu anakudai ukisema hapana anakufukuza maana yake kuna siku mwanae atalala njaa kisa umeogopa kukopa.
Mwanzo nilikuamini sasa nimekuelewa nakukumbusha elewa humu jf 80% ni waelewa hawalishwi fikra unaoneka ni msomi mzuri sana ila mahaba yamekuzidi kila mtu anauweze wa kusikiliza, kuchambua, kutafakari na kutoa uamuzi ulio sahihi
 
1. Lissu ameelezea vizuri sana na hapo hoja yake ilikuwa uhuru ,hakuna mtu mwenye uhuru na fedha zake zitumikaje ,ni mtu mmoja tu ndiye anaamua fedha zitumike wapi na huo ndio lissu hataki na serikali ya chadema itafuta huo upuuzi wa kila kitu anaamua mtu mmoja.......Nani alikwambia "Daraja la Tanzanite aka salenda" ndio kiunganisho cha Mwenge ,Ununio,Mbweni,Bagamoyo? Ubongo wako unafanya kazi kweli? Daraja lingeishia Ufukweni Bahari beach au ununio hapo kidogo ungeeleka ila daraja ninaishia oysterbay kwa "WASHUA aka WANENE" tu haliwezi kutataua foleni yoyote maana mwananchi wa kawaida akishafika oyester bay atakuja kutokea Mikocheni Tanesco bado atapambana na foleni ya kutoka hapo Mikocheni Tanesco hadi Kunduchi Njia panda Mataa hapo ndio ale kulia ndipo foleni inakwisha.

2. Acha upoyoyo juzi juzi mlikuwa mnasema uchumi wa kati wa Z umekuwa rated na WB(Vyombo vya Nje ,Mabebebu) na mlikuwa mnasifia sana ila vyombo vya nje vikitoa takwimu ambazo hazifavor TZ mnasema kwamba zinatumiwa na mabebru ,itoshe kusema tu Moody wameongea ukweli kiwango cha kuaminika kwa TZ kimeshuka sana,TZ haimaniki kimataifa kama wakipewa loan wanaweza kurudisha.

3. Itoshe kusema kwamba Chato ndio Gbadolite,kila kitu kinajengwa chato,Lissu ametoa maelezo ya kutosha ,hauwezi kujenga uwanja wa ndege ambao hakuna shughuli zozote za kiuchumi zinazoendelea ,uwanja umejengwa kwa ajili ya "JIKONO JANDAMA" kwenda kula sikuku ya pasaka na xmas tu na hakuna ndege yeytote inayotua huko chato zaidi ya yeye tu JIKONO JANDAMA.

4.Kwanini aende ATCL kuuliza? Kwanini ununuzi wa ndege haujapitia manunuzi ya umma? Kwanini Bunge hawakujadili? ZIngefuata hizo proceess wananchi kupitia bunge wangepata taarifa zote ,miradi ya kuficha ficha ni ya kifisadi na wizi,ndege JIKONO JANDAMA amepiga karibia 50% ya manunuzi eg Terrible Teen(Dream Liner) tumeuziwa karibu usd 200m wakati bei halisi ni Usd 98m kwahiyo jamaa kapiga 102m usd.

5.Kweli wewe ni POYOYO na ni BOYA ,hivi unajua kwamba chadema imeenea nchi nzima? Hivi mil 300 inaweza kuhudumia viongozi wa chadema kuanzia ngazi ya tawi,kata,mtaa,jimbo,wilaya,mkoa hadi taifa? Hivi unajua Chadema ina viongozi wangapi? Je unajua matumizi ya kuendesha chama kwa mwezi? Ulijaribu kupitia report ya CAG amabyo ipo mitandaoni kujua matumizi ya chama? Fanyeni reasearch kabla ya kupayuka ,hata kama mnalipwa na CCM jaribuni kutumia ubongo ili muendelee kuwashawishi kina bashiru na Dr zack muendelee kulipwa.

6.Kweli vijana wa lumumba vichwa ni empty ,amasema wazi kwamba Bima za Kibongo Bongo sio Bima halisi ,ukiwa na mgonjwa makubwa Bima hawakutibu ,Bima zinatibu malaria,UTI,kichwa etc Ukipaa magonjwa makubwa bima haikutibu sasa ndio ameuliza nini sasa faida ya Bima kama haikusadii endapo umepata ugonjwa mkubwa? Haya mambo ya kusema sijui mbona marekani wameshindwa ni Uzwazwa,kwani sisi tunafatisha marekani? Mbona marekani kuna uhuru wa kujieleza sasa mbona hatufuati tumeshindwa?

7.Kwenye Uchumi wewe ni Mweupe sana ,Yaani una mafedha/AKiba kwenye BOT kwakuwa hauna dolla ndio maana unaenda kukopa Hahaha upo serious kweli? Kampuni ya yapi ipo nchini na ina operate nchini ukitaka kuilipa unailipa humu humu nchi kwenye account zao za nchini na siku hizi kuna visa ,aacount yako ukilipa kwa Tsh shilling ukienda nchi nyingine inakuwa converted kwenda thamani ya Usd.....Haiwezekani deni liongezeka karibu Trilioni 20 kwasababu ya hatuna Dolla nchini,je zile tambo kwamba tuna akiba ya dolla za kutosha zilikuwa za nini?
Akikujibu Mkuu ni tag
 
Umeandika kishabiki tu. Huna info zozote kuhusu malipo ya sgr wala stiglazi. Endelea kumlamba miguu huyu dikteta wa kihutu.

Looser bado upo?

Mwenzako ni mhandisi, niko kwenye hiyo miradi.info gani unazo?

Certificate gani zinadaiwa???😂😂😂😂😂
 
Nimesikiliza hotuba ya Lissu leo Segerea, naona lissu ana improve safi sana, tatizo bado iko palepale japo limepungua kidogo katumia muda mwingi kumshambulia jpm kulipo kuelezea yeye na serikali yake watafanya nini, machache aliyo yaelezea nayo ni kama ifuatavyo.

1. Ujenzi wa barabara ya Salender Bridge; anashangaa hizo pesa nyingi hivyo zinatumika kwa ajili ya watu wachache, kwanza sio kweli kuwa salender bridge hutumiwa na matajiri na vip only, hiki ni kiungo cha kutokea mwenge mbezi ununio mbweni hadi bagamoyo, kusema ni pesa nyingi ni mawazo ya kimasikini tu

Sweden wanajenga barabara ya US$47B barabara ya chini ya maji leo sie kamchepuko tu mtu anaona aghali eti fedha zingetumika kuchimba mitaro vingunguti, naona huyu hakuwepo nchini muda mrefu sasa hivi vingunguti ni lami tupu sivyo alivyo acha.

2. Kuhusu country credit rating; Hivi ni vipimo vya unyonyaji vinavyotumiwa na wazungu kupima urahisi wa kunyonya, hatuwezi kujisifu eti sisi ni watu rahisi kunyonywa rasilimali zetu hapana hata yeye Lissu anajua ngosha hayuko hivyo, hizo FDI sio hela za shangazi zetu hawaji kuwekeza eti sisi ni masikini wanataka watuinue tuendelee kama wao hapana.

Sasa hivi chini ya JPM tunakaa tunazungumza biashara kama hailipi tunaachana nayo, kwa taarifa yako billionea tajiri wa kwanza duniani Jeff Bezos kanunua hisa Barrick za usd 686m na sehemu ya hizo pesa zitawekezwa Tanzania kupitia ubia wetu wa Twiga hayo aliyotumiwa kwenye whasap aka google apate ukweli

3. Kelele za uwanja wa chato; hivi jamani kuna tatizo gani kujenga ka uwanja ka kutua home, kwa taarifa yake hivi viwanja kanda ya ziwa viko vingi kipo Mugumu Serengeti Musoma Mwadui Ibadakuli Nyashimo mission GGM Bulyanhulu Buzwagi Tulawaka Rwamgasa, hiyo runway isimtishe Lissu, nimkumbushe uwanja wa kwanza kujengwa africa mashariki ulikuwa wa Williamson Diamond Mwadui na ndege ya kwanza kutua ilimleta mwana mfalme wa uingereza haya ni mambo ya kawaida sana yasimpe presha.

Na kwanini ujengwe chato? chato ni tambarare ukilinganisha na Geita Bukombe na Katoro ni Giographia tu ndiyo inaruhusu, isitoshe hiyo pesa angeweza kuitumia kuzurura ulaya kama kwenda WEF davos sullivan UN EU AU au hata kwenda kunywa chai na trump ka serve hela na sehemu ya hiyo hela kajijengea kakiwanja shida iko wapi? Kuna waziri mkuu aliwahi kusafiri na msafara wa watu 70 kwenda kwenye graduation ya mwanae marekani na huyuhuyu Lissu akiwa mbunge hakuhoji.

4. Kuhusu bei ya ndege huyu bwana anamatatizo gani? alishaenda atcl akauliza bei ya ndege akakosa jibu? alishaenda Boeng kuuliza bei ya ndege akanyimwa? anauliza bei ya ndege mbona haulizi bei ya nguzo za umeme? mbona haulizi bei ya Youtong za Shabiby? mbona haulizi bei ya mabehewa ya SGR? atcl ina management yake ina muundo na taratibu za uendeshaji tuiache ifanyekazi zake. kwahiyo anataka wabunge waanze kwenda boeng airbus beachcraft jumbojet kukusanya quotation?

5. Uhuru wa kuamua, kwahili bora angeanza kutuambia ruzuku ya chadema ya miaka mitano iko wapi, atuambie zile 500m kila mwezi wanazopokwa wabunge wa chadema ziko wapi? Kila mbunge wazamani analia hana hela za kampeni na juzi wamelipwa 200m kilamtu wamepeleka wapi? kama ni unyanganyi basi basi upo cdm.

6. Hili la NHIF mfumo anaotaka kuleta sio mgeni kule marekani alitaka kuuanzisha Obama ukapewa jina la "Obama care" kama wamarekani uliwashinda na Lissu ataufanikisha basi atakuwa mtu mwnye akili sana. na kwa taarifa yake Bima ya afya sio ya bure ni huduma unalipia kama unavyokata bima ya gari kuwa litakapopata ajali liweze kutengenezwa, unaposema kila mtu awe na bima maana yake kila mtu alipie matibabu kwa lazima uwe mzima mgonjwa lipa tu, ni sawa na mtu kumwambia kila mtu alipe bima ya gari uwe huna unalo lipa tu utajiju, hapana, wenye uwezo wacha walipe bima na ambao hawana uwezo wapate huduma bure.

7. Deni la Taifa, Lissu anasema tunajenga miradi kwa pesa zetu deni linatoka wapi? kwanza hawa contractors wanalipwa pesa ya kigeni sie tunakusanya pesa za kitanzania tunahitaji dola za kuwalipa hawa wakandarasi, pesa iko bank lakini yakitanzania na hawa Arab Contractors Yepi wanataka dola, lazima tukope na kukopa sio dhambi na zipo kanuni za kukopa. Ukioa kwa msomali anakuuliza kuna mtu anakudai ukisema hapana anakufukuza maana yake kuna siku mwanae atalala njaa kisa umeogopa kukopa.
Lissu ni mbaguzi sana, hatuhitaji Rais wa Tanzania aliye mbaguzi. kawabagua wana Chato na Kanda ya Ziwa waziwazi kana kwamba Kanda ya Ziwa siyo sehemu ya Tanzania, anadhanimkiradi yote mikubwa ikijengwa Dar ndo Uzalendo. Tunahitaji maendelea ya vitu ambayo yanareflect maendeleo ya watu moja kwa moja kama anayofanya Magufuli na siyo kubagua baadhi ya maeneo kwa ajili ya kulifurahisha kundi fulani akidhani atapigiwa kura kumbe Watanzania tulikwishaamua kitambo kwamba NI MAGUFULI TENA 2020-2025
 
... eti fedha zingetumika kuchimba mitaro vingunguti, naona huyu hakuwepo nchini muda mrefu sasa hivi vingunguti ni lami tupu sivyo alivyo acha.
Kwa hiyo barabara zenye lami hazihitaji mitaro?
 
Mnitangaze na mimi!
Nyumbani kulikuwa kukavu watoto wanalia njaa!
Ktk mishe mishe nikapata buku!
Badala ya kununua uka lobo wapoze, nikawanunulia maputo!
Tangazeni!
 
Mkuu SGR serikali hata leo hii hadaiwi kit
Hao waturuki na waarabu wa stigler gorge wanalipwa hela wao hawawalipi wanafanyakazi, supplier na subcontractors wao

Ni kama wanazizungusha hela kwenye mabenk yao wapate faida


Pole lakini, naona JPM kakukamata, atakukamata na kwenye maisha Penda kuwa positive

Msimamizi wa maslahi ya wafanyakazi nchi hii ni nani kama sio serikali kupitia vyama vya wafanyakazi? Kwahiyo serikali yako imewalipa Contractors, na Contractors hawataki kuwalipa wafanyakazi wao kisa wanaizungusha hiyo pesa katika mabank yao kutengeneza faida zaidi na serikali yako imekaa kimya! Kama ni kweli huoni serikali imebariki huu unyonyaji unaofanywa na wenye tenda.

Yaani unatuambia kuwa wafanyakazi wanaweza kunyonywa nchi hii halafu serikali isiwe na lakufanya? Team magu akili huwa mnapeleka wapi jamani, kuna hoja sio za kuzitetea hapa JF, JF watu walio wengi wa akili timamu.
 
Back
Top Bottom