Uchaguzi 2020 Kwa hii hotuba ya Tundu Lissu Segerea, amepotosha

Umejibu hoja bila weledi:

1) Unaulinganisha uwanja wa ndege wa Chato na airstrips! Hopless kabisa.

2) Ile barabara ya juu ya maji inayotembea sambamba na barabara ya nchi kavu, ni ngumu sana kuitetea. Unaweza kujenga barabara juu au chini ya maji lakini barabara hiyo iwe na msingi wa kutatua tatizo fulani. Hakukuwa na haja ya barabara ile.

3) Ni lazima mtu uwe mwendawazimu hasa kudharau FDI kwenye mchango wa maendeleo ya nchi. Nchi zote duniani zinatafuta FDI. China inapokea FDI kiasi cha $80 billion kwa mwaka kutoka Ulaya na America. Ni FDI ndiyo iliyoibadilisha China kwa kiasi kikubwa. Nchi za Uarabuni na nchi nyingine za Asia na America Kusini, zote, kila nchi inapigania namna ya kuvutia FDI. Halafu usivyoelewa hata unachoongelea - huku unaponda FDI huku unashangilia FDI kutoka Barrick!!

4) Kuhusu ndege - mtu mwenye akili, unapokuwa na limited resources, unaangalia kwanza uwekeze kwenye nini. Mwenye akili atawekeza kwenye projects zenye quick returns. Uwekezaji kwenye usafiri wa anga, kwa ujumla hauna tija. Hii ni miradi ya kuwekezwa zaidi na mataifa yenye surplus. Uwekezaji kwenye ndege, kwa hakika, hautatupatia faida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi tanesco wanaponunua nguzo mikataba unaenda bungeni? Tanroad wanaponunua mizani mikataba unaenda bungeni? Ukarabati wa mv victoria mikataba ulienda bungeni? Au ndege ndio mumeona nyara ya serikali? Hivi Ni njaa tu zinawasumbua
Pumbavu kwani tanesco hawakaguliwi na CAG?
 
Uongo huo Joka kuu. Mimi ninaishi hapa Canada hakuna kitu kama hicho.

..wewe utakuwa ni illegal immigrant huko Canada ndiyo maana huna bima ya afya ya serikali ya huko


All Canadians and permanent residents can apply for public health insurance. This means that you will not have to pay for medical expenses as this cost is covered by public tax. All Canadians and permanent residents can apply for public health insurance.

eddy
 
Kuna kitu hukijui. Uwanja wa Chato ulichepuliwa na Magufuli kutoka uwanja uliokuwa umepangwa kujengwa Omukajunguti, Kyaka Bukoba kwa ajili ya kuhudumia biashara ya kilimo cha mboga mboga na maua kutoka DR Congo Mashariki, Rwanda, Uganda kusini na mkoa wa Kagera kwenda soko la Ulaya.

Magufuli alichepua uwanja huo na kuujenga Chato pasipo mipango ya kiuchumi yoyote zaidi ya kumhudumia yeye na familia yake. Ni ubinafsi wa ahali ya juu. Ni kosa la matumizi mabaya ya madaraka (ofisi) ya urais.
 

" hivi jamani kuna tatizo gani kujenga ka uwanja ka kutua home".

Angejenga kauwanja wala tusingesemezana nae mkuu, ila kajenge uwanja wenye hadhi ya mwaliu NYERERE kitu ambocho ni ufujaji wa pesa.

JPM kama rais anayo ndege yake ya Rais

Mkuu sasa yeye ni Raisi na anandege na akistaafu ndege inakuwa sio yake na atakuwa mstaafu kama alivyo Jakaya Kikwete, umewahi jiuliza kiwanja kitatumikaje baada ya yeye kustaafu?

GGM wana ndege na wana uwanja wao, Buzwagi wana ndege wana uwanja wao, kesho Lissu anaenda kahama ataenda kupiga show kama zuchu atatua uwanja wa mtu binafsi wa Buzwagi, shida iko wapi? Hivi unaujua uwanja binafsi wa Trump? Cyril Ramaphonsa? Tuache roho ya umasikini hata Bhakresa akinunua ndege tutamjengea uwanja. Grumet game reserve wana uwanja wao, hata kule nzela Geita upo uwanja wa missionary Woolworth, kule murwagwanza ngara upo uwanja wa ndege wa wa missionary wa ki Anglicana.

Angetaka na yeye angesubili astaafu ajenge kiwanja chake kwa pesa zake na sio kwa pesa zetu sisi walipa kodi, hivyo viwanja unavyozungumzia vimejengwa kwa kodi za walipa kodi wa Tanzania?

Mnaongelea mtu kuwa na uwanja wa ndege ni jambo la ajabu ni mawazo ya kimasikini tu, zamani tulikuwa tunaambiwa usijenge nyumba ya bati kijijini utarogwa. Leo tunataka kumroga JPM kisa uwanja wa ndege, mbona tunadhalilisha nchi hivi? Hata world bank wakisikia tunabishania uwanja wa ndege watatucheka.

Tatizo sio mtu kuwa na kiwanja cha ndege mkuu, tatizo linakuja mtu kutumia pesa za uma kujinufaisha yeye mwenyewe binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…