Kwa hii mibinuko wake zetu watapona kweli kwenye hizo gym?

Kwa hii mibinuko wake zetu watapona kweli kwenye hizo gym?

Sasa mazoezi kama hayo anashindwa nini kufanyia chumbani,
 
Kwa namna hii wake zetu watakuwa wanaliwa sana. Nini kifanyike, maana imeshakuwa ni tatizo kubwa mno, mwanaume unamruhusuje mke wako akabinuke hivyo, eti mazoezi?
Hapa hadi ubongo una mwaga!
 
Sasa mazoezi kama hayo anashindwa nini kufanyia chumbani,
Pombe mzuri kunywea bar, sio chumbani.
 
ukiona huko gym anabinuliwa mnunulie vifaa mtengenezee garden awe anapiga tizi hapo home sio umepanga nyumba haina nafas alaf unaleta wivu na ma trainer
 
IMG-20220907-WA0001.jpg
 
Kwa namna hii wake zetu watakuwa wanaliwa sana. Nini kifanyike, maana imeshakuwa ni tatizo kubwa mno, mwanaume unamruhusuje mke wako akabinuke hivyo, eti mazoezi?
Hizo ni Danguro hakuna cha GYM hapo, kama mke wako ni mwanachama wa GYM basi kubali matokeo tu
 
Samahanini Sana.
Hii ndio inaitwa "MEDITATION" ?
 
uyu wa kwaza atakua dada wa kitanga,alafu kuna yule wa mwisho kule mstari wa nyuma mweye kiuno kigumu atakua dada wa kichaga.
 
Kwa namna hii wake zetu watakuwa wanaliwa sana. Nini kifanyike, maana imeshakuwa ni tatizo kubwa mno, mwanaume unamruhusuje mke wako akabinuke hivyo, eti mazoezi?
Hapa ndo unaweza gundua nani ni KIDAWA nani ni MANKA
 
Back
Top Bottom