mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Chipo kidaliGym trainer wengi michicha hata usiogope
Kama yule wa gongo la Mboto
[emoji1]
Hawa wabeba vyuma kweli weng ni wali nazi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chipo kidaliGym trainer wengi michicha hata usiogope
Kama yule wa gongo la Mboto
kuna 1.marathonGym ya nini, mpe stress ndio gym tosha
Acha kupigia chapuo upumbafu,usifananishe mambo ya lazima km ugonjwa au Safari na ishu za mazoezi,peleka mkeo awe anabinuliwa hivyo.Wewe muache mkeo abinuliwe na Bodaboda, hujakatazwa.
Madaktari wa magonjwa ya wanawake wengi ni wanaume, think wisely.
😂 😂Aina nyingine ya danguro..
Mtengenezee "mini gym" nyumbani
Jamaa anafaidi kinoma.
du!!!!!......ushuzi style!!!Kwa namna hii wake zetu watakuwa wanaliwa sana. Nini kifanyike, maana imeshakuwa ni tatizo kubwa mno, mwanaume unamruhusuje mke wako akabinuke hivyo, eti mazoezi?
View attachment 2349066
kitambi choko kilo ngapii mkuu?Chipo kidali
[emoji1]
Hawa wabeba vyuma kweli weng ni wali nazi
Ova
Unaijua physiotherapy inafanyikaje chief, au unajua leseni ya kufanya physiotherapy inatolewa tu na MCTKwahiyo Gym siyo taaluma? Unafahamu physiotherapy?
Unajua indications na sababu za kufanya physiotherapy na recommendations gani za mazingira, wizara ya afya imetoa kwaajili ya physiotherapy kufanyika. Tafadhali usikariri, wewe ukishasikia physiotherapy basi nimazoezi tu. Unajua physotherapist anahudumia wagonjwa wa ngapi na every visit ni clinical vist sio mazoezi tu. Ndio maana nikakwambia heshimu taaluma usitaje kitu usichokijua sababu tu umeambiwa in simple terms kipo hivi. Centre ya kufanyia physiotherapy sio gym area utafungiwa.Kwahiyo Gym siyo taaluma? Unafahamu physiotherapy?
Huyu wa kwanza ndio kasinzia kabisaa kama anasikilizia jamboKwa namna hii wake zetu watakuwa wanaliwa sana. Nini kifanyike, maana imeshakuwa ni tatizo kubwa mno, mwanaume unamruhusuje mke wako akabinuke hivyo, eti mazoezi?
View attachment 2349066
[emoji1787][emoji1787] jamaa na misuli yote anakalia chupaChipo kidali
[emoji1]
Hawa wabeba vyuma kweli weng ni wali nazi
Ova
Mkunje kunjekw staili yoyote unayotaka ukiwa unafanya nae mapenzi. Mbona mwanamke Hana haha ya gymAina nyingine ya danguro..
Waalimu wa gym wanafanya makusudi, mazoezi gani hayo!!!
Mtengenezee "mini gym" nyumbani
Jibu lenye mapana na marefu hili, labda akaishia sayari nyingineWewe muache mkeo abinuliwe na Bodaboda, hujakatazwa.
Madaktari wa magonjwa ya wanawake wengi ni wanaume, think wisely.
Bwana wee.. ni balaaHasa ukioa malaya