Kwa hii mibinuko wake zetu watapona kweli kwenye hizo gym?

Kwa hii mibinuko wake zetu watapona kweli kwenye hizo gym?

Wewe muache mkeo abinuliwe na Bodaboda, hujakatazwa.

Madaktari wa magonjwa ya wanawake wengi ni wanaume, think wisely.
Boss heshimu taaluma, ugonjwa sio utani.
 
😂😂😂😂ila ma instructor wengi wanakuaga fresh men
 
Kuna jamaa kila akimpa stress mkewe basi kazi yangu ni kuziondoa hizo stress yaani napewa kama yoooote yaani hawa viumbe ni kuishi nao kwa akili
Kaoa kahaba
 
Gym trainer wengi michicha hata usiogope

Kama yule wa gongo la Mboto
Tusijipe moyo sio wote mchicha mwiba au wasengé maji moto, wengine wanatembeza moto kwa vidada vinavyoenda gym

Kama haitoshi wanaume wengine wanaenda gym kwa ajili ya kufanya mawindo na wanasuuza marungu kama kawa
 
Wanawake wengi akili hawana usimruhusu aende gym utaharibu ndoa mapema tu kwa kujitakia

Nunua min gym nyumbani msaidie kumpa home fitness
 
Wanawake wengi akili hawana usimruhusu aende gym utaharibu ndoa mapema tu kwa kujitakia

Nunua min gym nyumbani msaidie kumpa home fitness
Na hawa ndo wanapewa uongozi halafu utegemee matokeo chanya, haya mambo ya feminist, sijui haki sawa, hamsini kwa hamsini na takataka nyingine kama hizo yanapigiwa upatu na mabeberu kusukuma agenda za kishetani.....​
 
Back
Top Bottom