Siwezi acha kwasababu ninayemuabudu ni Mungu wa kweliTukiachana na hayo ya miungu.
Hivi wewe una mke na watoto unajua kabisa kesho au Wiki ijayo mji unaoishi patashambuliwa. Utaacha familia yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi acha kwasababu ninayemuabudu ni Mungu wa kweliTukiachana na hayo ya miungu.
Hivi wewe una mke na watoto unajua kabisa kesho au Wiki ijayo mji unaoishi patashambuliwa. Utaacha familia yako?
Vita pia ina utaratibu wake. Hutakiwi kupiga sehemu za makazi. Israel hawachagui pa kupiga. Wanapiga hadi kambi za wakimbizi ndio maana unaona kuna vifo vingi vya wanawake na watoto.
Wanaume wa Gaza wako vitani,
Ulitaka wanaume waende vitani na family?
Siwezi acha kwasababu ninayemuabudu ni Mungu wa kweli
Sawa.Vita hazinaga utaratibu mkuu.
Mwenye nguvu ndio hupanga utaratibu wa uongo ilikuwazi wanyonge.
Vita ikishakuwa na utaratibu haiwi vita tena bali shindano au pambano.
Vita kama vita haina sheria wala taratibu. Vita haina macho.
Wakristo mnafurahia mahuaji yanayofanyika huko gaza,hivi nyie mazuzu mnapata faida gani na vifo vya watu na vita?!Wakuu kwema!
Kuna jambo huwaga najiuliza kila siku kwenye hivi vita vinavyoendelea huko Mashariki ya kati baina ya Israel na Hamas..
Wakati wanawake na watoto wanapouliwa huko Gaza, Wanaume zao wanakuwa wapo wapi?
Je wanakuwa wanapigana?
Je wamekimbia na kuacha familia yao?
Je wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ya mashambulizi?
Yaani vita imeanza, mnajua kabisa maeneo yatakayoshambuliwa ni yapi inakuwaje familia îachwe maeneo hayo?
Mbona viongozi wao wanawake na watoto wao hawauliwi? Nazungumzia watoto wadogo.
Je Hamas inashindwa kuficha au kuhamisha na kupeleka wanawake na watoto wao sehemu salama kisha vita iendelee?
Bado hainiingii akilini. Yaani kweli wewe mwanaume unajua kabisa kesho au Wiki ijayo kutafanywa mashambulizi mji wenu alafu uache familia yako eneo hilo. Kweli.
Mbona watawala wao hawakubali familia zao ziwe sehemu isiyo salama? Kwa nini Watu maskini na wajinga ndio huwa wahanga wakwanza kwenye vita?
Karibuni kwa mjadala
Kambi zao ziko kwenye mashimo kama ya panya au fuko, Mashimo ya Hamas,Yao yameongezwa ukubwa!!Vitani ni wapi?
Kambi zao ziko wapi?
Laiti Mngejua hao wayahudi wasivyowapenda nyie wagalatia wa buzaTukiachana na hayo ya miungu.
Hivi wewe una mke na watoto unajua kabisa kesho au Wiki ijayo mji unaoishi patashambuliwa. Utaacha familia yako?
Kambi zao ziko kwenye mashimo kama ya panya au fuko, Mashimo ya Hamas,Yao yameongezwa ukubwa!!
TUKO RADHI KUCHUKIWA, KUTENGWA NA KUTEMEWA MATE NA WATEULE WAYAHUDI KWANI NI BARAKA KULIKO KUPENDWA NA KUKUBALIKA NA MIARABU KWANI NI LAANA.Laiti Mngejua hao wayahudi wasivyowapenda nyie wagalatia wa buza
Laiti Mngejua hao wayahudi wasivyowapenda nyie wagalatia wa buza
Kwakua HAMAS Haina mamlaka kamili ya kua na jeshi basi kwa gaza hata akifa mwanaume wa kawaida huchukukiwa yeye ni HAMAS
Wakristo mnafurahia mahuaji yanayofanyika huko gaza,hivi nyie mazuzu mnapata faida gani na vifo vya watu na vita?!
Wakuu kwema!
Kuna jambo huwaga najiuliza kila siku kwenye hivi vita vinavyoendelea huko Mashariki ya kati baina ya Israel na Hamas..
Wakati wanawake na watoto wanapouliwa huko Gaza, Wanaume zao wanakuwa wapo wapi?
Je wanakuwa wanapigana?
Je wamekimbia na kuacha familia yao?
Je wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ya mashambulizi?
Yaani vita imeanza, mnajua kabisa maeneo yatakayoshambuliwa ni yapi inakuwaje familia îachwe maeneo hayo?
Mbona viongozi wao wanawake na watoto wao hawauliwi? Nazungumzia watoto wadogo.
Je Hamas inashindwa kuficha au kuhamisha na kupeleka wanawake na watoto wao sehemu salama kisha vita iendelee?
Bado hainiingii akilini. Yaani kweli wewe mwanaume unajua kabisa kesho au Wiki ijayo kutafanywa mashambulizi mji wenu alafu uache familia yako eneo hilo. Kweli.
Mbona watawala wao hawakubali familia zao ziwe sehemu isiyo salama? Kwa nini Watu maskini na wajinga ndio huwa wahanga wakwanza kwenye vita?
Sasa mkuu nyie vianaume vya kutaka "kusaidiwa maisha" na wanamake wewe mwenyewe included na daily unabwatuka hapa kua "maisha kusaidiana" mambo ya 50/50 niambie vita ikitokea unashindwaje kukimbia umuache mwanamke "akusaidie" kupambana na adui. Ebo !!Karibuni kwa mjadala
Gaza imezidiwa population, hivyo ondoa picha ya huku na kule.Hayo mashimo yapo wapi Mkuu?
Kambi za jeshi si zinafahamika.
Au ndio kambi ipo Uraiani?
Sawa.
Ulichokiandika kinatosha kujua kwamba ni mfuasi wa dini za kuletwaUnaleta udni kwenye vita visivyo vya kidini. Kwa nini?