Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #101
Hali ya Congo na Gaza NI tofauti Mkuu.Kufa wanakufa watu wote ila kwa sababu ya udhaifu wa wanawake na watoto mara nyingi wao ndiyo huathirika zaidi hata hapo Congo tu hali ni hiyohiyo.
Mwanzoni alijinasib kama mtu wa logic na vitu kama ivyo, but as you, one can hide but not too longUlichokiandika kinatosha kujua kwamba ni mfuasi wa dini za kuletwa
Ulikua unaonekana smart kumbe ni kichaa
1. Kwenye vita wanawake na watoto ndio wanahesabiwa ni victims, sio kua wanaume hawafi huko Gaza
2. Hakuna mtu anaependa kufa, gaza imezingirwa kila kona, ndio mana kwa sasa wengi wamekusanyika Rafaa, wapo wanaotaka hata kuhonga ili familia zao zitoke nje ya gaza.
3. Tumia akili usitumie mihemko, wale wanaokufa ni binadamu, wanafanya kila wawezalo waishi, acha ujuaji
wanaume, wanawake na watoto wote wanauawa kwenye hiyo vita wawe Hamas au siyo, sema wanawake na watoto wanatumika Ili kupata public sympathy kwa sababu wao huangaliwa kama kundi dhaifu linalohitaji kulindwa vile vile ni propaganda ya kuonesha jinsi wayahudi walivyo makatili na upande ulio against naoWakuu kwema!
Kuna jambo huwaga najiuliza kila siku kwenye hivi vita vinavyoendelea huko Mashariki ya kati baina ya Israel na Hamas.
Wakati wanawake na watoto wanapouliwa huko Gaza, Wanaume zao wanakuwa wapo wapi?
Je, wanakuwa wanapigana?
Je, wamekimbia na kuacha familia yao?
Je, wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ya mashambulizi?
Yaani vita imeanza, mnajua kabisa maeneo yatakayoshambuliwa ni yapi inakuwaje familia îachwe maeneo hayo?
Mbona viongozi wao wanawake na watoto wao hawauliwi? Nazungumzia watoto wadogo.
Je, Hamas inashindwa kuficha au kuhamisha na kupeleka wanawake na watoto wao sehemu salama kisha vita iendelee?
Bado hainiingii akilini. Yaani kweli wewe mwanaume unajua kabisa kesho au Wiki ijayo kutafanywa mashambulizi mji wenu alafu uache familia yako eneo hilo. Kweli.
Mbona watawala wao hawakubali familia zao ziwe sehemu isiyo salama? Kwa nini Watu maskini na wajinga ndio huwa wahanga wakwanza kwenye vita?
Karibuni kwa mjadala
Wanapambana na haramia Nyau na kuzipatia familia mahitajiWakuu kwema!
Kuna jambo huwaga najiuliza kila siku kwenye hivi vita vinavyoendelea huko Mashariki ya kati baina ya Israel na Hamas.
Wakati wanawake na watoto wanapouliwa huko Gaza, Wanaume zao wanakuwa wapo wapi?
Je, wanakuwa wanapigana?
Je, wamekimbia na kuacha familia yao?
Je, wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ya mashambulizi?
Yaani vita imeanza, mnajua kabisa maeneo yatakayoshambuliwa ni yapi inakuwaje familia îachwe maeneo hayo?
Mbona viongozi wao wanawake na watoto wao hawauliwi? Nazungumzia watoto wadogo.
Je, Hamas inashindwa kuficha au kuhamisha na kupeleka wanawake na watoto wao sehemu salama kisha vita iendelee?
Bado hainiingii akilini. Yaani kweli wewe mwanaume unajua kabisa kesho au Wiki ijayo kutafanywa mashambulizi mji wenu alafu uache familia yako eneo hilo. Kweli.
Mbona watawala wao hawakubali familia zao ziwe sehemu isiyo salama? Kwa nini Watu maskini na wajinga ndio huwa wahanga wakwanza kwenye vita?
Karibuni kwa mjadala
wanaume, wanawake na watoto wote wanauawa kwenye hiyo vita wawe Hamas au siyo, sema wanawake na watoto wanatumika Ili kupata public sympathy kwa sababu wao huangaliwa kama kundi dhaifu linalohitaji kulindwa vile vile ni propaganda ya kuonesha jinsi wayahudi walivyo makatili na upande ulio against nao
Sheria hizo hizo zinataka maeneo ya kiraia yasitumike kuweka zana za kivita na kuandaa mashambulizi. Ukiweka vifaru shuleni na makombora sokoni tiyari hayo siyo makazi ya kiraia.Vita pia ina utaratibu wake. Hutakiwi kupiga sehemu za makazi. Israel hawachagui pa kupiga. Wanapiga hadi kambi za wakimbizi ndio maana unaona kuna vifo vingi vya wanawake na watoto.
mf Idf ilisema itavamia Rafah lkn hakuna mwanaume wa Gaza anafikiria kuipeleka familia yake sehem salamaKatika majanga yoyote makubwa wanawake na watoto huwa waathirika wa kwanza hii ni kawaida haijalishi mtakuwa makini kiasi gani ila waathrika wakubwa watakuwa wanawake na watoto Cha msingi tuombe amani ipatikane haraka
Nishaachana na hii thread baada ya kuelimishwa kuwa vita haina sheria.Sheria hizo hizo zinataka maeneo ya kiraia yasitumike kuweka zana za kivita na kuandaa mashambulizi. Ukiweka vifaru shuleni na makombora sokoni tiyari hayo siyo makazi ya kiraia.
Mara ngapi misafara ya watu kuhama inapigwa? Wale wa central kitchen ambao walitoa hadi taarifa waliouliwa nao ni wazembe? Nyie wote kundi moja, hata hata kinyesi cha myahudi kwenu ni scarred one.Wewe kama sio kichaa ungepaswa kujiuliza kwa nini nimeichagua vita ya Gaza na Israel na sio vita zingine.
Vita ya Gaza na Israel NI tofauti na vita zingine katika suala la taarifa.
Israel inatoa taarifa kabisa kuwa Watu wa eneo fulani wahame kwa sababu itashambulia eneo hilo. Hivyo raia na wasio wanajeshi wahame ili kuepukana na vifo.
Sasa wewe kwa vile unaakili nyingi zilizokuzidi(kichaa promax) huoni hilo, umekimbilia kuandika.
Sasa turudi kwenye uzi. Kama unamàjibu ya swali nililouliza waweza kujibu. Kama huna basi unauhuru wa kuandika chochote kadiri ya akili yako inavyokuendesha
S
Robert Heriel Mtibeli hayupo sahihi. Vita zina sheria na kuzuia vitu kama kushambulia vyanzo vya maji, kulipua mabwawa, treatment ya POWs, utaratibu wa retreat, kushambulia raia, n.k. Ila kwenye sheria hizo huwa kuna kuzingatia mazingira kama casualties of war na mengine.Nishaachana na hii thread baada ya kuelimishwa kuwa vita haina sheria.