Kwa hili alilofanya Maulid Kitenge naiomba TFF ichukue hatua kali haraka kwa Maulid Kitenge na EFM

Sky Eclat ukiona mpumbavu anakukubali ujue umemzidi🤣🤣. Usikubali hili lijitu likudhalilishe. Au nasema uwongo Asprin?!
Umeshajiuliza ni kwanini tokea Uandike huu Utumbo wako hapa hujapata hata tu Like Moja?

Jibu ni rahisi tu kuwa Umedharaulika na kuonekana ni Mpumbavu wa Kiwango cha Kimataifa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Sanaa Ana teseka na vitu vya kipumbafu Sana kila siku kutwa kuanzisha Uzi wa kulalamika husda ,wivu ,fitina

Dah hpn aise
Kwahiyo unataka niache kila Siku kuiandika Yanga SC yako na niwe naandika 'Unavyonukudiwa' ufurahi na uridhike?
 
Mkuu, umejiandaa kwa vita lakini?
Moto wangu wanaujua na ndiyo maana unaona Wameshanikimbia na wanachunguliwa haya Majibu yangu kwa kutumia Multiple ID's zao zilizo maarufu na zoeleka hapa JamiiForums kuliko hizi unazoona Wanazitumia Kujibizana nami.
 
Huyu Ni wa 95 live bila chenga Tena kasoma mass communication[emoji1787]
Nimesoma Mass Communication na Kubobea katika Print Media and PR nikiwa na Waandishi Nguli kama Rafiki yangu mkubwa na Kaka yangu Marehemu Haonga Lutengano aliyekuwa TBC Senior Journalist na Michael Baruti BBC Producer.

Na katika ngazi ( level ) ya Masters nilisoma ( nimesoma ) na Daily News Chief Editor Nicolaus Ikonko na TBC1 News Anchor ( sasa ni Boss Serikalini ) Rahel Mhando.

Sasa najiandaa kufanya PhD yangu.

Je, una lingine?
 
Huyu jamaa nadhani TCRA, TFF na EFM wameishamlea kwa kiasi cha kutosha. Kinachotakiwa sasa ni wanaSimba kujichukulia sheria mkononi tumtie adabu hadi akili zimrudie huyu umbwa!
 
Kwa mara ya kwanza nashuhudia mtifuano na vurugu apa Jf inasikitisha kwa kweli
Ukiona hadi Avatar yangu ina Picha ya Former Israel Premier Commando Benjamin BIBI Netanyahu nadhani utaelewa kuwa GENTAMYCINE hakuna wa Kuniweza kwa Vita ya Maneno nami kwani naimudu halafu naipenda vile vile.
 
Huwa nina allergy ya kujibu Maswali ya Kipumbavu yatokayo kwa Mpumbavu aliyeuliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…