cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Mbona hata marekani wasanii uwa wanashabikia na maisha yanaendelea....na nyie fanyeni yenu nao wafanye yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitoacha kumpigia kura diamond wangu na sitoacha kumpa sapoti yeyote ile anayostahili kutoka kwangu kama shabiki wa damu.Natambua ni haki yake ya msingi kufanya hivyo na siwezi kumpangia cha kufanya.
Mashabiki wa diamond tupo na tutaendelea kuwepo
Nami nimejiondoa katika upigaji kura kwake na nimejiunnfollow kwenye page zake zote,,,to be honesty sipingani anachokiamini but kweli kakurupuka,,yaan kaingia kwenye siasa kupitia mlango wa nyuma
Haswa tutaendelea kuwepo
kwenye uzi huu naona wengi wanaomchukiaga kwa maandishi yao humu JF ndio wanapiga pizi haswa ili kuonyesha kuwa amefanya mabaya, wamuache aishi.
Agggh fans wa Diamond ni wengi sikujuaga maana leo wamepata la kumwandika hadi nimefurahi
Chubi yupo juu kama kawa leo ni Chibu Chibu Chibu mitandaoni
Siasa wao wajadili na washabikie chama ikija Diamond eti vibaya
Pesa apewe kwani wao wamepewa hapo sasa mmmhhhh
Kumpigia kura kama kawa tunaendelea
Hamna chochote hapa #MONDI Anajistukia menyewe hajakatazwa kupost lakini kwanini iwe baada ya hafla ya M.city na sio baada tu ya magufuli kuchagulia mgombea kwa tiketi ya CCM?...mbaya zaidi ni mwendelezo uleule wa wale waliohudhuria ile kwenye hafla ya M.City...sasa kwanini iwe hivyo??...yani KIBA naye akijichanganya tu sina ubia nae!
Diamond platnumz kaonesha wazi msimamomo wake katika mhonbea anayemtaka yeye. Sipingani na maamuzi yake, ila naona kama alikurupuka kufanya maamuzi hayo.
diamond angetambua kuwa washabiki wake wengi wanaompa sapport hawapo katika mrengo anaoushabikia yeye.
Nimepitia baadhi ya comments za followers wake nakugundua kuwa 90% wamekuwa disappointed sana na alichokionesha.
Halafu ukiangalia ni kama wametumwa hivi baada ya ile hafla yao na mheshimiwa. Maana baada ya pale wasanii kibao wamekurupuka kuonesha support kwa Magufuli.
Kinachoendelea saiv ni kwamba washabiki wameanzisha kampeni ya kutomsapport tena diamond kwa kuacha kumpigia kura katika tunzo anazoshindania.
namuonea huruma sana
Mkuu sawa unachosema na inawezekana ni kweli jamaa kavuta mkwanja lakini tambua mkwanja huo ni kama rushwa flani hivi maana anapiga kampeni tena kabla ata ya muda wake na ungekuwa mkwanja kwa ajili ya KUTUMBUIZA JUKWAANI KWA KAZI YAKE YA MUZIKI ILIBIDI ATANGAZE TAREHE ZA SHOW ZAKE KATIKA KAMPENI ZA CCM NA SIO KUSHAWISHI WATU JUU YA MAGUFULI.
Kwanza huyu pimbi ni hater ambaye tupo nae hapa daily? Hyo ni id fake. Akahareee mbeleee,
Diamond platnumz kaonesha wazi msimamomo wake katika mhonbea anayemtaka yeye. Sipingani na maamuzi yake, ila naona kama alikurupuka kufanya maamuzi hayo.
diamond angetambua kuwa washabiki wake wengi wanaompa sapport hawapo katika mrengo anaoushabikia yeye.
Nimepitia baadhi ya comments za followers wake nakugundua kuwa 90% wamekuwa disappointed sana na alichokionesha.
Halafu ukiangalia ni kama wametumwa hivi baada ya ile hafla yao na mheshimiwa. Maana baada ya pale wasanii kibao wamekurupuka kuonesha support kwa Magufuli.
Kinachoendelea saiv ni kwamba washabiki wameanzisha kampeni ya kutomsapport tena diamond kwa kuacha kumpigia kura katika tunzo anazoshindania.
namuonea huruma sana
Umeona eenh!!hao wala sio mashabiki wa diamond,mashabiki wake wa ukweli tupo na wala hatuwezi kumu-unfollow eti kisa anampigia kampeni Magufuri hio haipo.
Piga kura kwa unayemtaka fullstop!kunya anye bata akinya kuku kaharisha?alaaaaaah!!!tena Wasituzingue kabisaa asiyempenda platnumz rukhsa kuanfollow
Sasa hiyo kura moja ya Diamond itabadilisha nini? Kwani yeye ana kura ya veto? Mbona Oprah alimpa support Obama, ndo kusema republicans waliacha kuangalia show zake?
#wamuache mtoto wa mwenzao.
Hata obama alisapotiwa na takribani wanamuziki wote wa America so sioni ajabu diamond kumpigia debe Mh J.P Maguu Full.Uhuru wa kuamua jambo pasipo kuvunja sheria lazima uzingatiwe.Lakini kumbukeni kuwa Diamon Platz hajaanza leo kutumika na ccm katika shughuli za kichama kwa hiyo kikubwa nikumsapoti kama mwanasanaa lakini asitupotoshe katika msimamo wetu wa kumchagua tumtakae..
Eti kuna watu walikuwa wanasema iweje awe ICON wa taifa haya ndo majibu, mitandao na magazeti yote pamoja na radio na tv zote habari ni kwann DIAMOND kaonyesha mapenzi yake kwa CCM wakina Profesa jay,Afande Sele,Sugu na Wolper na wengine wengi hawaonekani ila kwanini hafanye DIAMOND??????Haswa tutaendelea kuwepo
kwenye uzi huu naona wengi wanaomchukiaga kwa maandishi yao humu JF ndio wanapiga pizi haswa ili kuonyesha kuwa amefanya mabaya, wamuache aishi.
Agggh fans wa Diamond ni wengi sikujuaga maana leo wamepata la kumwandika hadi nimefurahi
Chubi yupo juu kama kawa leo ni Chibu Chibu Chibu mitandaoni
Siasa wao wajadili na washabikie chama ikija Diamond eti vibaya
Pesa apewe kwani wao wamepewa hapo sasa mmmhhhh
Kumpigia kura kama kawa tunaendelea