BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
busara yako umeipeleka wapi? Kama wewe DIAMOND anaweza akayumbisha msimamo wako kisa tu kaamua chamgua upande wake tena KIDEMOCRASIA ni ujinga mkubwa.
Angevunga tu kwa msanii mkubwa kioo cha jamii pale ni kua anaipigia debe ccm c kua kaonyesha upande wake na kuna hela anapata c bure. Kitu kingine m namkubali sana ila ajue athari za kutumika na wanasiasa ni mbaya sana kwa muziki wake mfano Marlaw Tz Jaguar Ke wakwapi hiv sasa.