Kwa hili la 50 Cent, King Mohamed Salman wa Saudi Arabia hayupo sahihi hata kidogo

Mpaka anaalikwa ina maana ana mashabiki. Afukuze na mashabiki wote.

Tatzo mnaichukulia Saudi kama taifa takatifu wakati wenzenu on ground wanaishi kawaida na kuponda raha za dunia.

Ni sawa na baadhi ya wakristo kuiona Israel ni taifa la Mungu wakati on groubd mambo ni tofauti.

MSIJIPE UMUHIMU KWENYE MAISHA YA WATU.
 
Saudi Arabia wanakata watu vichwa kila siku. Huyo MBS alituma watu wakamuue Jamal Khashoggi. Sasa anayeimba kuua na anayeua yupi ana afadhali?
 
By the way, Mohammed Bin Salman is not the King, his father is ...
 
Mwanasalman yuke bi Agent wa US kama ulikuwa hujui na Familia yake inaendelea kuongoza Saudia kwa Uwezo na Nguvu za US.
 
Hakuna "King Mohamed" Saudi Arabia.

Kwa ufupi uongozi wa Saudi Arabia ni wanafik wa kwanza. Hao ni mazayuni
Kweli Bi Faiza ungepinga na hili ningekushangaa na ningekuweka kwenye kundi lile unaloita wanaenda shule kupilia Ujinga.

Kwa Sasa Middle East iko kwenye transformation ya Umagharibi.......Walianza na UAE.

Mdogo mdogo watafika tu.
 
Hakuna "King Mohamed" Saudi Arabia.

Kwa ufupi uongozi wa Saudi Arabia ni wanafik wa kwanza. Hao ni mazayuni
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Duuh mara hii ushawageuka tena
 
Usichanganye Mtume na hao nadhalim mazayuni, kama huuelewi ukweli ni heri uulize.
Sasa Saudia huko si ndo wanaufaham uislamu kuliko? We unaufaham kuliko alikozaliwa mtume? Sisi weusi watu wa kujipendekeza mpaka kupitiliza. Kama wao wameona sawa na ndo waanzilishi wa dini halafu tu kanjanja mmoja wa huku Nanjilinji anakosoa inaonesha bongo zetu haziko sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…