Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Sisi ni Watanzania tuache kuwapangia saudia maisha yao, kama wao wameamua kum-invite 50 cent ni wao kwa uhuru wao Hela zao na Kila kitu chaoKenya ni saudia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ni Watanzania tuache kuwapangia saudia maisha yao, kama wao wameamua kum-invite 50 cent ni wao kwa uhuru wao Hela zao na Kila kitu chaoKenya ni saudia?
Waafrika mtatoka kwenye huu mtego lini yaani ulivyo jeusi alafu unashabikia uislam mpaka waarabu wenyewe wanakushangaaNdugu zangu ni Waislam, haijalishi anatokea wapi.
Anaeamrisha maovu na kukataza mema huyo kishqjiondowa kwenye Uislam.
Kwarabu mwenyewe wa nini?Waafrika mtatoka kwenye huu mtego lini yaani ulivyo jeusi alafu unashabikia uislam mpaka waarabu wenyewe wanakushangaa
Wewe kaombe mizimu yenu huko uislam sio kwaajili yako ww mwanamke wa kiafrikaKwarabu mwenyewe wa nini?
Mbona unajidogosha sana?
Homeboy [emoji23][emoji23]Ameona Saudia ikiendelea kuendeshwa kidini kama miaka ya mtume itaachwa nyuma kimaendeleo. Amezoom Dubai,Qatar, Abu Dhabi anaona vumbi tu,more than 60% ya wasaudia ni vijana under the age of 25.
Huwezi ukatawala kundi kubwa hivi la kisasa kwa Draconian religious laws,wape kazi,Uhuru wa kustarehe watakavyo na hawataisumbua serikali. Japo Islam ni political movement pia ila mwamba ameamua aitenganishe na serikali, Imani na dini ni Jambo la mtu binafsi.
Raia wa Saud Arabia ambaye hatavutiwa kwenda kwenye show ya 50 Cent hatanunua ticket kwenda kumuona,mnyakyusa mwenzangu wa kyela kitakuuma kitu gani?
Tunaitukuza sana US.Mwanasalman yuke bi Agent wa US kama ulikuwa hujui na Familia yake inaendelea kuongoza Saudia kwa Uwezo na Nguvu za US.
Many men 😂Wasaud wanataka kuisikia Candy Shop live
😂😂🥂Homeboy [emoji23][emoji23]
Hawa jamaa wanaichukulia kama saudi ni nchi takatifu sana. This is stupid beliefs 🚫😂
Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?
Seriously!!!
A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?
Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.
A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
Kule wanajua kuna maisha baada ya Mafuta,,,, na hayo maisha hayahitaji uislamu... yanahitaji Kufungua uchumi wao ualign na nchi nyingine za kibiashara kuonyesha kwamba wako open, tourist attraction na hizo entertainment kwamba kwao inawezakana.Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?
Seriously!!!
A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?
Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.
A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
Kwa hiyo MBS ni Myahudi?USilolijuwa ni usiku wa kiza.
Kwani yalikuwa yepi kabla?
Eti holy land!! My foot.Hata hizo pia ni filthy songs ambazo hazitakiwi kuwa performed in the holy land
Crown prince anawatesa moyo Sana😂Hawa jamaa wanaichukulia kama saudi ni nchi takatifu sana. This is stupid beliefs 🚫😂
Hili goma lazima mfalme avue kanzu 🔥Kuna disco inferno, ile ngoma nadhani hata mfalme mwenyewe anaitazama. Kuna 'neema za Allah' mule hatari.