Kwa hili la Bandari nasimama na Rais Samia, tubinafsishe hata Halmashauri zetu

Kwa hili la Bandari nasimama na Rais Samia, tubinafsishe hata Halmashauri zetu

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Wakuu tunaibiwa Sana hiwezekani hata Rwanda na kibandari kikavu Chaowakusanye nusu yetu huu ni wizi wa miaka mingi sana tumeibiwa.

Tunaibiwa ruzuku za vyama, kilimo, ukusanyaji wa mapato tena na halmashauri zetu kila kona.

Mhe. Rais Samia tubinafsishe hata halmashauri zetu maana huko wizi ni zaidi ya bandari maana tunaibiwa tulicho kusanya tayari.

USSR.
 
Wakuu tunaibiwa Sana hiwezekani hata Rwanda na kibandari kikavu Chao wwakusanye nusu yatu huu ni wizi wa miaka mingi sana tumeibiwa .

Tunaibiwa ruzuku za vyama,kilimo,jeshini,ukusanyaji wa mapato tea na halmashauri zetu kila kona.

MH , Rais Samia tubinafsishe hata halmashauri zetu maana huko wizi ni zaidi ya bandari maana tuna ibiwa tulicho kusanya tayari


USSR
Wapumbavu by mkapatu mlishangilia he's Leo mko wapi kimya ,
 
Wakuu tunaibiwa Sana hiwezekani hata Rwanda na kibandari kikavu Chao wwakusanye nusu yatu huu ni wizi wa miaka mingi sana tumeibiwa .

Tunaibiwa ruzuku za vyama,kilimo,jeshini,ukusanyaji wa mapato tea na halmashauri zetu kila kona.

MH , Rais Samia tubinafsishe hata halmashauri zetu maana huko wizi ni zaidi ya bandari maana tuna ibiwa tulicho kusanya tayari


USSR
Ndoa ya lazima huamuliwa na mahoka[emoji419][emoji375]
20230610_013919.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa warabu mbona wamechelewa sana kwetu....maoni yangu waanze kazi mkataba utafuatia.
 
1-Bandari zetu hususani zilizopo ukanda wa bahari ni bandari muhimu toka enzi na enzi katika mustakabali na maswala ya kibiashara.

2-Ushindani, uhujumu na visa ni kati ya mataifa kadhaa makubwa wa kutaka kuitawala au kutawala bandari za ukanda huu.

3-Tanzania kwa sasa bado ina machaguo machache sana ya shetani gani wa kumchagua kati ya mashetani wengi wenye ngozi ya kondoo wanaowania kuendesha bandari lakini pia inakabiliwa na masheitwani wa karibu na mipaka yetu wanaotaka kuiangusha Tanzania na kutumia fursa za mashetani waliopo duniani kujineemesha.

4-Kimsingi tupo katikati ya mashetani(kutoka ughaibuni) na maishetwani (kutoka nchi jirani) ambao wana mipango ya kutuangamiza.

5-Hatuna mbadala wa kuangamizwa au kuwakwepa mashetani(labda wapo mbali nasi ) na masheitwani (wapo karibu yetu )

6-Masheitwani wanawategemea,wanawaogopa na wanaathiriwa na mashetani
7-Maisheitwani wameshawahi na wanaendelea kuwatumia mashetani kwa weledi mkubwa ila pia wana wasiwasi kama na sisi tutaanza kuwatumia mashetani kiweledi.

8-Hii ni battle of tactics ....naamini Rais Samia anaicheza vyema akiakisia maono ya wataalamu....

9-Wananchi wamehofu, wanesema na wameasa sana vita hii lazima iwe ya akili nyingi nyingi nyingi nyingi sana na hii ndio hoja ya wenye nchi kwa Rais samia.

Jingalao ameelewa with all possible cautions and scenarios.

Jingalao anaasa kuweka documentation vizuri ili kizazi chetu cha miaka 100 ijayo kitambue vyema mchezo huu.

"Wazo la kufikiri:mchina kaiendeleza Lamu na mchina aliitaka bagamoyo"

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!!
 
Rais Samia Suluhu Hassan anao upole wenye kuweza kumdanganya mtu akadhania kuwa hajui alitendalo. Ni haiba yake ya usikivu inayowadanganya wengi kiasi cha kuja na imani nyingi potofu juu ya kile anachokwenda kukiamua.

Ni sifa nzuri kwa Rais wa nchi kuwa nayo, kutoyumbishwa na mawazo pamoja na maoni mengi ambayo baadhi yake yanalengo au nia ovu zilizojificha. Kukaa kimya na kutafakari kinachoendelea ni jibu pia lenye busara nyingi kwa mtu mwenye nafasi ya juu kabisa ya maamuzi ya kitaifa.

Rais Samia ni mrithi wa JPM, kwani kisingetokea kifo cha JPM leo hii angeendelea kuwa makamu wa Rais. Hivyo hawa wanaokuja na mizigo ya lawama, kebehi na matusi wakumbuke kuwa Rais Samia na Hayati JPM ni kitu kile kile, wanashinda wakikariri namna mbalimbali za kutekeleza ilani ya CCM. Wanakabidhiwa na chama matarajio, maoni na malengo ya kutimiza katika kipindi fulani.

Ukimya wa Rais katika suala zima la uwekezaji wa DPW ni jibu tosha kabisa la kiongozi mkuu wa nchi. Kwani kipindi cha ukimya kinatumika katika kutafakari maamuzi atakayokuja kuyafanya siku za mbeleni na kutafakari faida na madhara yake kwa muda mrefu kwa Taifa letu.

Naamini ile kauli aliyoitoa siku anaongea na wafanyabiashara na ikapokelewa kwa makofi inakwenda kutekelezwa kwa vitendo. Kwamba ndani ya miezi sita atakuwa anasoma kile kinachofanyika bandarini, mifumo ya bandari na ile ya serikali ya mitandao itakuwa inasoma kitu kimoja.

Maana yake wale wote wanaofaidika kwa mgongo wa ufanisi mbovu pale TPA siku zao zinahesabika, watafute wataalam wa biashara ili waweze kupata ushauri juu ya mwenendo mzima wa biashara zao kuanzia kipindi cha baada ya miezi sita tangu kikao kile kifanyike.

Ile mirija ya wizi inakwenda kukatwa rasmi. Ile tabia ya maduka mengi ya mijini yanayouza bidhaa mbalimbali kuuza kitu kile kile kwa bei ndogo wakijivunia kutolipa kodi pale bandarini kwa kweli hali hiyo inakwenda kufikia ukomo.

Tabaka la wafanyabiashara linashindwa kuongezeka kwani wanashindwa kukuza mtaji wakiumizwa na kodi na wakati huo huo wachache kati yao wakifaidika na misamaha ya kodi pale TPA. Tabia hiyo ya uonevu kwa wafanya biashara inaleta ushindani usio wa haki katika soko la biashara.

Hao wachache wanaoneemeka kwa migongo ya wanasiasa wachache waliowahi kushika madaraka ya juu ya Taifa hili ni lazima wajipange upya na kuja na mikakati mipya wakati huu wa ufanyaji biashara tofauti kabisa na mazoea dhalimu yanayowabeba.

TPA inaingiza hazina trilioni 7 kwa mwaka, lakini kwa ufanisi wa mitambo mipya ya DPW inaweza kuja na ufanisi wa mpaka trilioni 26 hizo ni pesa nyingi zenye kuweza kuondoa shida nyingi za wakati huu. Hakuna sababu kwa mawaziri wetu kwenda Ulaya na kuanza kupigia magoti binadamu wenye vipaji kama sisi eti tunaomba misaada!.

Lazima nimpe maua yake hayati JPM aliyejenga SGR ili ije kuchukua mzigo mpana wa kutoka DRC na Rwanda ambao utaineemesha bandari yetu na kuongeza pato halisi la taifa. Aliona mbali licha ya kupigiwa makelele mengi ya matusi na dhihaka za kila aina, alikuwa ni kiongozi jasiri na mwenye akili pamoja na jeuri ya mwafrika halisi.


Hivyo Rais Samia aendelee tu na huu ukimya wake, hana haja ya kusikiliza sana kelele za madalali wa hawa matajiri wanaotajirikia bandari yetu kuwa kama ilivyo. Hana sababu ya kujiona anakwazwa kwa kuwa rais anayeletewa maneno mengi ya dharau na upuuzi wa ubaguzi kwamba yeye ni Mzanzibari pamoja na Waziri wake.

Tupo wengi wenye kuelewa tija yake haswa ni ipi na tupo wengi wenye kuridhishwa na maono anayoyasimamia ambayo ameyarithi kutoka kwa RIP JPM. Kebehi na shutuma nyingi za wanasheria na tabaka la wasomi ni sehemu tu ya uoga wa mabadiliko unaotusumbua watanzania, wengi wao wapo kwenye pay roll ya matajiri wakwepa kodi pale TPA.

Mheshimiwa Rais endelea na ukimya huo huo, unacho kishindo chenye neema nyingi kwa Tanzania ijayo.
 
Kujitegemea ni kumkabidhi mke wako jirani?
Nyie ndio mnaotombewa wake zenu na madereva wa bajaji
Uzi ni huo huo Mheshimiwa Rais, tangu sitini na moja tunapata uhuru kwanini mke tunamkabidhi kwa jirani kila siku sisi tu?.

Maneno ya kwenye kanga yanaitesa akili yako.
 
Kwa uvivu wake huo 'nkataba' nna uhakika hata yeye mwenyewe atakuwa hajausoma, ye alijisemea tu 'nendeni mkautazame'
Haya sasa ndio matunda yake!.
Anao wasomi wabobezi na mahiri na wazalendo wanaifanya kazi ya uhakika, kelele zote unazozisoma ni hofu ya kesho yao itakuwaje.
 
Back
Top Bottom