GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Yaan mgeni akipata mapato mkae nae chini eti afikirie cha kuwapa kwa term zake na sio zemu nyie ila haya atakuja kichaa amekunywa maji ya bendera mtanyongwa wote na mama enu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kwa sasa kete za ngada mnauza sh ngapi kwa bei ya jumla ...na kima cha chini cha mzigo ni sh ngapi?Hakuna kurudi nyuma..
Rais asibabaishwe na makundi ya wanafiki..
Ni mkataba hivyo mnakuwa mkijua cha kwenu ni kipi. Cha muhimu ni kupunguza lawama zinazoletwa na utendaji mbovu na mambo mengi ya kizamani pale bandarini.Yaan mgeni akipata mapato mkae nae chini eti afikirie cha kuwapa kwa term zake na sio zemu nyie ila haya atakuja kichaa amekunywa maji ya bendera mtanyongwa wote na mama enu
Hakika baada ya bungeni kupita zilizobaki ni porojo mitaaniHakuna kurudi nyuma..
Rais asibabaishwe na makundi ya wanafiki..