Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

Sasa hao un documented kwenye familia yako ni wangapi au majirani zako au wewe ukisikia Leo hii kwamba fulani kafa wewe kwako ni covid
I'm a medical practitioner, I don't raise things out of thin air. Nikiongeacho nakijua.

Wewe endelea kushupaza shingo.
 
I'm a medical practitioner, I don't raise things out of thin air. Nikiongeacho nakijua.

Wewe endelea kushupaza shingo.
Sasa wewe na umedical practice wako unaona solution ya covid ni hiyo chanjo ? so thrombosis inaweza kukabiliwa na chanjo ?? Na sio vitamin C , Zinc , n.k
Na zaidi ya hapo unaelewa nini ukiambiwa underliming condition ,
 
Wewe ni kajinga, nani kakuambia thrombosis ndio major complication ya Corona?
Alafu nani alikufundisha thrombosis, thrombosis inatibiwa kwa vitamin C?

Halafu "underliming" conditions nini? Ulitaka kuandika "underlying"?

Tuishie hapo husinipotezee muda.
Sasa wewe na umedical practice wako unaona solution ya covid ni hiyo chanjo ? so thrombosis inaweza kukabiliwa na chanjo ?? Na sio vitamin C , Zinc , n.k
Na zaidi ya hapo unaelewa nini ukiambiwa underliming condition ,
 
Wewe unajua chanjo inavyofanya kazi? Mpaka udhani solution ya Corona sio chanjo?
Sasa wewe na umedical practice wako unaona solution ya covid ni hiyo chanjo ? so thrombosis inaweza kukabiliwa na chanjo ?? Na sio vitamin C , Zinc , n.k
Na zaidi ya hapo unaelewa nini ukiambiwa underliming condition ,
 
hili sakata la corona kwa ujumla magufuli kacheza kama pele, ndo uzuri wa kua na president aliesoma science vizuri, ingekua tuna president kasoma HGE tungeficha wap sura zetu
Waweza kuta unaamini jiwe anamzidi baba yako maarifa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jiwe kwa Mataga ni mshindi wa kila kitu, Jiwe kakata chanjo yeye anazungumzia chanjo feki..... Mataga bhana
Ndio. Jiwe anaiagiza wizara ya afya isipokee chanjo bila kujiridhisha kama ni sahihi. Na waziri juzi kasisitiza hawataingiza wala kupokea chanjo mpaka watakapojiridhisha chanjo hiyo ni salama. Maana yakemhawataki kupokea chanjo fake. "Hivyo ameionya Wizara ya Afya kutokimbilia kuhalalisha kila chanjo inayotangazwa itumike na Watanzania kabla ya kujiridhisha"
Na taarifa ya Wizara inasema "Wizara ya Afya inayo taratibu za kufuata pale inapotaka kupokea bidhaa yoyote ya afya baada ya Serikali kujiridhisha hivyo kwa nia njema kabisa ni hadi tujiridhishe na si vinginevyo,”
 
"Watanzania tuwe makini, si kila chanjo ni salama kwetu, tutafanyiwa majaribio ya ajabu"- Rais Magufuli.
 
Sijasema ni major bali ni end result , na hiyo ya blood clot imekuwa ina wasumbua sana, na inayo saidia ni junior aspirin n.k
 
Kwakweli kuna mkanganyiko sana kwenye serikali ya jiwe,
 

Naweza kukubaliana na hilo.
Maana China ina uwezo wa kitaalam wa kuja na chanjo nzuri.
Ila kwenye propaganda dhidi ya magharibi, siyo saana.
 
Kwakweli kuna mkanganyiko sana kwenye serikali ya jiwe,
Mkanganyiko tunauleta sisi wapiga filimbi. Tusiojua kama kuna mamlaka kama TDA ambayo kazi yak ni kukagua na kuidhinisha dawa za binadamu. Taasisi inayotakiwa kufuatilia hata kutembelea kiwanda kinachotengeneza dawa yoyote MPYA inayotaka kuingizwa nchini. Kwa sababu za kisiasa hatutaki mamlaka kama hizi, zilizowekwa kishria, zifanye kazi yake.
 

Naweza kukubaliana na hilo.
Maana China ina uwezo wa kitaalam wa kuja na chanjo nzuri.
Ila kwenye propaganda dhidi ya magharibi, siyo saana.
 
hili sakata la corona kwa ujumla magufuli kacheza kama pele, ndo uzuri wa kua na president aliesoma science vizuri, ingekua tuna president kasoma HGE tungeficha wap sura zetu
Rais aliyeseoma sayansi vizuri lakini haamini katika sayansi na anaongozwa na ndumba
 
Rais aliyeseoma sayansi vizuri lakini haamini katika sayansi na anaongozwa na ndumba

uzuri wa kua mwanascience ni uwezo wa kuchambua kilicho bora, hata mm naweza kusaga parachichi nkaiweka kwenye sindano naksema ni dawa yya corona.
 
Waweza kuta unaamini jiwe anamzidi baba yako maarifa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

sasa cha kushangaza nn apo? mzazi wako amefika hata phd ya useremala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…