Kwa hili la chanjo ya UVIKO Rais Magufuli ataibuka kidedea

Kwani sura yako nani anihitaji, ongea kitu cha maana basi kama una akili.Kwa hiyo Wa HGE wao hawafai.Akili yako imejaa maji ndio maana unajipendekeza,kwani kuna uwanja hapa acheze kama Pele.Hapa ni upupu tu.

pumba!
 
sasa cha kushangaza nn apo? mzazi wako amefika hata phd ya useremala?
Kuwa na PhD siyo kuwa na maarifa, mifano iko mingi ya wenye PhD na maarifa hawana ukianza na Jiwe, Yule aliyetolewa anakojua yeye, Lipum na etc. Sasa mimi baba yangu ana PhD pamoja na maarifa.
 
Kuwa na PhD siyo kuwa na maarifa, mifano iko mingi ya wenye PhD na maarifa hawana ukianza na Jiwe, Yule aliyetolewa anakojua yeye, Lipum na etc. Sasa mimi baba yangu ana PhD pamoja na maarifa.

at high level he is just another literate, phd maaana yake vitendo zaidi, so tunaweza sema phd ya magufuli ndo yenye maarifa zaidi kwa sababu ndo iko kwenye maono na ina maamuzi hio ya mzee wako imeishia wap mbna haina umuhimu wowote hii nchi,
 
at high level he is just another literate, phd maaana yake vitendo zaidi, so tunaweza sema phd ya magufuli ndo yenye maarifa zaidi kwa sababu ndo iko kwenye maono na ina maamuzi hio ya mzee wako imeishia wap mbna haina umuhimu wowote hii nchi,
Tuishie hapo mkuu.
 
Hivi kwanini iwe lazima kuchanjwa kwenye hilo suala la kusafiri?
 
Hawana fedha za kulipia,watatakaje chanjo
Unamfahamu BOJO? Usiparamie vitu ambavyo hufahamu ... .... .... .... .... Boris Johnson the British Prime minister.
 
Hivi kwanini iwe lazima kuchanjwa kwenye hilo suala la kusafiri?
Hakuna lolote ni ujinga mtupu, hawa wazungu wanatafuta pesa kwa nguvu baada ya chumi zao kudorora na lock-downs. Chanjo sio lazima, kama ukipenda unapiga kama hutaki shauri yako lakini haina 100% guarantee.
 
Hawataki uende ukawaachie hivyo vimelea vya gonjwa huko kwao na wakaanza kazi ya kuvieradicate upya
Ila waliyochanjwa hizo chanjo nao si wanaambukiza pia endapo wakiwa na hivyo vimelea?
 
Your browser is not able to display this video.
 
China ndio nchi inayoongoza kwa bidhaa zilizo chini ya ubora. Bidhaa za China tunazinunua kwa sababu ya unafuu na kukosa mbadala, lakini bidhaa zake karibu zote ni uchafu kama uchafu mwingine.
Bidhaa za china ni ghali mno kuliko ya mataifa mengine jaribu kufikilia kwa kina utaujua ughali wa vifaa vya china.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…