Kwani sura yako nani anihitaji, ongea kitu cha maana basi kama una akili.Kwa hiyo Wa HGE wao hawafai.Akili yako imejaa maji ndio maana unajipendekeza,kwani kuna uwanja hapa acheze kama Pele.Hapa ni upupu tu.
Ukiambiwa Jiwe Mungu utasema "tawireee"
So sad aisee
Kuwa na PhD siyo kuwa na maarifa, mifano iko mingi ya wenye PhD na maarifa hawana ukianza na Jiwe, Yule aliyetolewa anakojua yeye, Lipum na etc. Sasa mimi baba yangu ana PhD pamoja na maarifa.sasa cha kushangaza nn apo? mzazi wako amefika hata phd ya useremala?
Kuwa na PhD siyo kuwa na maarifa, mifano iko mingi ya wenye PhD na maarifa hawana ukianza na Jiwe, Yule aliyetolewa anakojua yeye, Lipum na etc. Sasa mimi baba yangu ana PhD pamoja na maarifa.
Tuishie hapo mkuu.at high level he is just another literate, phd maaana yake vitendo zaidi, so tunaweza sema phd ya magufuli ndo yenye maarifa zaidi kwa sababu ndo iko kwenye maono na ina maamuzi hio ya mzee wako imeishia wap mbna haina umuhimu wowote hii nchi,
Hakuna corona mkuuMlisema korona hakuna mkaibatiza jina jipya la newmonia.
Nenda MNH...nenda KCMC.... MAWENZI...ukawape pole wenye newmonia.
Tuishie hapo mkuu.
Hivi kwanini iwe lazima kuchanjwa kwenye hilo suala la kusafiri?Utapimwa tu (God forbid isiwe kile kipimo cha wachina) na Utachanjwa tuu. Huna pa kukimbilia.
Labda wewe sio msafiri na kama unasafiri, basi ni kutumia Yutong za akina Shabiby. Kama safari zako ni za kuvuka mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, utachanjwa tu😊
Unamfahamu BOJO? Usiparamie vitu ambavyo hufahamu ... .... .... .... .... Boris Johnson the British Prime minister.Hawana fedha za kulipia,watatakaje chanjo
Hakuna lolote ni ujinga mtupu, hawa wazungu wanatafuta pesa kwa nguvu baada ya chumi zao kudorora na lock-downs. Chanjo sio lazima, kama ukipenda unapiga kama hutaki shauri yako lakini haina 100% guarantee.Hivi kwanini iwe lazima kuchanjwa kwenye hilo suala la kusafiri?
Hivi nyie wapinga kristo bado mpo?Sio unajipostia tu. ukiulizwa kivipi si salama utajibu nini. ukiulizwa eleza usalama wa machanjo mengine yoote ya wazungu utajibu nini.
Hawataki uende ukawaachie hivyo vimelea vya gonjwa huko kwao na wakaanza kazi ya kuvieradicate upyaHivi kwanini iwe lazima kuchanjwa kwenye hilo suala la kusafiri?
Wapi ambako hayuko sahihi?Katika hili Rais Magufuli yuko sahihi kabisa!
Ila waliyochanjwa hizo chanjo nao si wanaambukiza pia endapo wakiwa na hivyo vimelea?Hawataki uende ukawaachie hivyo vimelea vya gonjwa huko kwao na wakaanza kazi ya kuvieradicate upya
Ndugu zangu, tukaeni mkao wa kula. Kwenye hili la chanjo uwezekano wa Tanzania kuibuka kidedea chini Rais Magufuli ni mkubwa sana ili iwe fundisho.
Kitendo Cha watu huko China kukamatwa wakifyatua chanjo bandia imezidisha hofu duniani kuhusu usalama wa chanjo wa Ugonjwa wa Virusi vya Korona, UVIKO.
Hii ni kutokana kwamba halijulikani "wajanja" hao wameshasambaza kiasi gani "sokoni" maana nchi kadhaa zikiwemo Algeria, Rwanda, SA, Ghana nk wameshapokea mashehena ya chanjo na mengi yametokea China.
"Watanzania tuwe makini, si kila chanjo ni salama kwetu, tutafanyiwa majaribio ya ajabu"- Rais Magufuli.
"Watanzania tupingane mambo mengine lakini suala la chanjo tumuunge mkono Rais wetu Magufuli, hachanjwi mtu hapa"- Bollen Ngetti (Tahuri).
#HachanjwiMtuHapa!
Nyungu Na HOPECA mdudu hafui dafuNi mwendo wa nyungu tu hakuna namna
Bidhaa za china ni ghali mno kuliko ya mataifa mengine jaribu kufikilia kwa kina utaujua ughali wa vifaa vya china.China ndio nchi inayoongoza kwa bidhaa zilizo chini ya ubora. Bidhaa za China tunazinunua kwa sababu ya unafuu na kukosa mbadala, lakini bidhaa zake karibu zote ni uchafu kama uchafu mwingine.