mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
Mkuu,umeongea kwa hasira sana,kunywa maji kwnza[emoji3][emoji3]We ndo mwanaume sasa. Ungekuwa karibu tushee hata Kili 2. Una akili sana. Laki 1??? Nzima nzima? Mganga wake tapeli. Siku tatu tu,anaomba hela? Maamae. Alikuwa ameshapanga out na wahuni wenzake,wanaenda kula kitimoto, pengine ameanza kupiga simu kwamba anajaziajazia. Ila,angekupata,andekuchoma visu
DahJusi nimemnunulia single mama mmoja viatu vya mwanae hata kusema Asante huksema nilitamani ningie chumbani nivitoe hvyo viatu nirudi navyo
Leo ananipigiaa simu pezaza birthday na gauni
Nimemuambia nitamtumia
Ntayanywa hata ya bomba aise. Bora huyu alifikilia akaona amefanya ujinga.Mkuu,umeongea kwa hasira sana,kunywa maji kwnza[emoji3][emoji3]
Piga chinii. Ukiona hivyo,ujue we ni wa pesa tu. Ndo wale utaambiwa ebu maliza nilale mi nimechokaJusi nimemnunulia single mama mmoja viatu vya mwanae hata kusema Asante huksema nilitamani ningie chumbani nivitoe hvyo viatu nirudi navyo
Leo ananipigiaa simu pezaza birthday na gauni
Nimemuambia nitamtumia
Nafikiri mama anaweza kuwa best friend na siyo girl friendhujaelewa watu wakufafanulie?
Umeongea kwa uchungu sana mkuu,tuheshimu tu kila mtu maana hatujui kesho yetu.sister nadhani una elimu ya kuunga unga halafu haija kamilika. siku ukiachwa ulee mwanao peke yako ndo utaelewa haya unayoyasema yakoje. bahati nzuri nimelelewa na wazazi wote lakini nikikuta mwanamke anale mtoto peke yake namweshimu pia. wewe leo unaongea haya sababu una mumeo. subiri uje uwe peke yako.
Wengine hata tukipewa pipi tu ya 200 tunashukuru maana hatukua nayoAsiyejua kushukuru kwa kidogo hata kikubwa pia hawezi kushukuru.
Wanawake wengi hawana shukrani.
ExactlyThe term "girlfriend" does not necessarily imply a sexual relationship, but is often used to refer to a girl or woman who is dating a person she is not engaged to without indicating whether she is having sex with them.
Nyie ndio wanawake tunaowahitaji sio hao ambao wanatuchukulia poa.Wengine hata tukipewa pipi tu ya 200 tunashukuru maana hatukua nayo
Ndoa za Ndugu hizi sijui kama zilikuwa na madhara zamani, zina utani wa Babu na Mjukuu/ bibi na mjukuuIliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"
Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.
Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?
Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.
Utamu unao mwenyewe K catalyst tu.Ntayanywa hata ya bomba aise. Bora huyu alifikilia akaona amefanya ujinga.
Haya majitu basi tu. Sema na wanaotoa wanakuwa hawajielewi. Kwani ana nini wengine hawana? Si bora ukanunue ya buku 5 huyo hata namba ya simu hakuombi!
Wakati anaomba anakuita honey,akishapokea,unaitwa mtoto wa mbwa,unasumbua,mara unakela, na linaongea hadhalani.
Alichokifanya bora aise. Hata wengine wangekuwa kama yeye
Subira yake ndo iliyomponza. Ngoja ngoja anaonekana zoba🎼🎶🎶🔉Utamu unao mwenyewe K catalyst tu.
Mkuu naona umetuwekea miguu mipya😍Pole na hongera kwa kumjali mama yako
DemiWaelimishe hawa kuku
Sawa sawa mkuuDemi
Tartibu bana.
Aisee... Wanawake wengi sana inaonekana wamejeruhiwa na haya maisha kiasi cha kupoteza hisiaIliniumiza sana msichana tumeanza naye mahusiano siku tatu tu akaniambia ana changamoto anahitaji tsh 150,000. Nikamwambia sina yote nina tsh 100,000 nikamtumia. hakusema hata amepokea. akanyamaza tu. ikabidi nimpigie simu kujua kama amepokea au laah. akapokea simu nikamuuliza
"umeona kuna pesa kidogo nimekutumia tsh 100,000". akasema
"nimeona."
nikasubiri hata aseme asante hakusema. akaniambia
" nipo natafuta hiyo 50,000 kwa rafiki zangu waniongezee maana nilitaka tsh 150,000 na nilikuambia hivyo"
Nikasema sawa nisamehe sikuwa nayo yote.akanijibu "basi baadaye"
Nikaingia kwenye menu yangu ya tigo pesa nikaomba kuirudisha ile pesa. nashukuru haikuchelewa sana ikarudishwa. nikamshukuru Mungu.
Nikamtumia mama yangu tsh 20,000. Nikanyamaza. akapiga simu dk hiyo hiyo akishukuru sana na kunitakia mibaraka mingi mingi, nikamwambia mama hiyo kidogo. akasema hapana. hakuna pesa kidogo. akashukuru na kuniombea pale nilipopungua parudishwe. Basi alivyokata tu simu nikammalizia na ile nyingine 80,000. akanipigia simu tena this time nikamwambia mama naingia kwenye kikao. nashukuru Mungu akubariki.
Niliona angenishukuru sana mpaka nakuwa najisikia vibaya. siku zote mama yangu yupo hivyo umtumie 10,000 ya voucher umtumie 200,000 ya matumizi shukrani zake zipo pale pale. nikawaza sana kuwa hawa wanawake wa sasa hivi wanakwama wapi kuwa that much cold?
Yule msichana mpumbavu akanipigia simu kuwa mbona tena ile pesa nimeichukua. nikamwambia niliona ni ndogo sana nimeichukua nimemtumia mama yeye asubiri nikipata nyingi nitamtumia. nikakata simu. mpaka leo hatuna tena mawasiliano. nime mblock.