Kwa hizi pesa wanazochezea CCM, Tanzania ni tajiri sana, westerns wafunge misaada kabisa.

Kwa hizi pesa wanazochezea CCM, Tanzania ni tajiri sana, westerns wafunge misaada kabisa.

Annunaki

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
2,042
Reaction score
3,674
Kwa jinsi CCM wanazovyotuona mazwazwa wananchi na walipa kodi wa taifa hili kwa kuchezea pesa zetu namna hili ni hali halisi Tanzania ni tajiri sana.

Hii nchi ina pesa nyingi sana.

Pesa za wananchi zinaishia kusombwa na kutumiwa hovyo hovyo na CCM kwenye mambo yao.

Angalieni deni la taifa linavyopaa juu mawinguni kwa sababu ya CCM.

CCM inaikamua nchi hii kwelikweli, ni huzuni tupu.

Wazungu wanatakiwa kusitisha misaada kabisa kwa hii nchi, nchi ijitegemee hii, hizi pesa wanatafuna na kuchezea ni nyingi muno ndugu zangu watanzania.

Watanzania hamkeni tufanye mageuzi ya kiutawala la sivyo tutaendelea kupiga yowe milele.
 
CCM ni JANGA la kitaifa
Kwa jinsi CCM wanazovyotuona mazwazwa wananchi na walipa kodi wa taifa hili kwa kuchezea pesa zetu namna hili ni hali halisi Tanzania ni tajiri sana.

Hii nchi ina pesa nyingi sana.

Pesa za wananchi zinaishia kusombwa na kutumiwa hovyo hovyo na CCM kwenye mambo yao.

Angalieni deni la taifa linavyopaa juu mawinguni kwa sababu ya CCM.

CCM inaikamua nchi hii kwelikweli, ni huzuni tupu.

Wazungu wanatakiwa kusitisha misaada kabisa kwa hii nchi, nchi ijitegemee hii, hizi pesa wanatafuna na kuchezea ni nyingi muno ndugu zangu watanzania.

Watanzania hamkeni tufanye mageuzi ya kiutawala la sivyo tutaendelea kupiga yowe milele.
 
Marekani inajibana kutumia pesa zao za kodi sisi tunazichukua na kutumia kwenye kununua magari na kulipa wasanii
Hiki chama kinaikamua nchi, waanachota hella tu wanavyojisikia na kutumia hovyo hovyo.

Wananchi wanatakiwa kuhamka, mambo ya kusombwa kwenye malori kama mihogo na kwenda kuwashingilia watu wanaofyonza kodi zao wanatakiwa kuacha kwa kufanya mabadiliko ya kiutawala haraka iwezekanavyo.
 
Hiki chama kinaikamua nchi, waanachota hella tu wanavyojisikia na kutumia hovyo hovyo.

Wananchi wanatakiwa kuhamka, mambo ya kusombwa kwenye malori kama mihogo na kwenda kuwashingilia watu wanaofyonza kodi zao wanatakiwa kuacha kwa kufanya mabadiliko ya kiutawala haraka iwezekanavyo.
Wananchi wepi? Hawa hawa
 
Issue sio kufunga misaada inapaswa sisi wananchi tupambane kuweka mambo sawa, misaada ikifungwa hawa watu hawawezi kuteseka bali bado wananchi ndio watateseka maana haya majamaa ni manyonya damu na kwao sio issue kuendelea kutunyonya damu.

Watanzania tunapaswa kuamka na kupambania usawa katika Taifa hili, hakuna wakutusaidia hapa zaidi ya sisi wenyewe kupigania maslahi yetu.
 
Kwa jinsi CCM wanazovyotuona mazwazwa wananchi na walipa kodi wa taifa hili kwa kuchezea pesa zetu namna hili ni hali halisi Tanzania ni tajiri sana.

Hii nchi ina pesa nyingi sana.

Pesa za wananchi zinaishia kusombwa na kutumiwa hovyo hovyo na CCM kwenye mambo yao.

Angalieni deni la taifa linavyopaa juu mawinguni kwa sababu ya CCM.

CCM inaikamua nchi hii kwelikweli, ni huzuni tupu.

Wazungu wanatakiwa kusitisha misaada kabisa kwa hii nchi, nchi ijitegemee hii, hizi pesa wanatafuna na kuchezea ni nyingi muno ndugu zangu watanzania.

Watanzania hamkeni tufanye mageuzi ya kiutawala la sivyo tutaendelea kupiga yowe milele.
Marekani wako makini.

Maskini anatumbua pesa kwa anasa huku wenzake hata kidima cha maji hawana.
 
Back
Top Bottom