Kwa hizi pesa wanazochezea CCM, Tanzania ni tajiri sana, westerns wafunge misaada kabisa.

Kwa hizi pesa wanazochezea CCM, Tanzania ni tajiri sana, westerns wafunge misaada kabisa.

Kwa jinsi CCM wanazovyotuona mazwazwa wananchi na walipa kodi wa taifa hili kwa kuchezea pesa zetu namna hili ni hali halisi Tanzania ni tajiri sana.

Hii nchi ina pesa nyingi sana.

Pesa za wananchi zinaishia kusombwa na kutumiwa hovyo hovyo na CCM kwenye mambo yao.

Angalieni deni la taifa linavyopaa juu mawinguni kwa sababu ya CCM.

CCM inaikamua nchi hii kwelikweli, ni huzuni tupu.

Wazungu wanatakiwa kusitisha misaada kabisa kwa hii nchi, nchi ijitegemee hii, hizi pesa wanatafuna na kuchezea ni nyingi muno ndugu zangu watanzania.

Watanzania hamkeni tufanye mageuzi ya kiutawala la sivyo tutaendelea kupiga yowe milele.
Bado Yale magoli ya mama anayoyanunua kwa milioni 5 kila 1. Yaani Siku yanga au simba wakifanikiwa kufunga goli 10 ndio watanzania wanapata hasara ya milioni 50.
Mapikipiki yalijaa nchi nzima yakimnadi mama...
Wakati mwingine unaweza kuona Bora Mobutu seseseko, kuliko hawa ccm.
 
Kwa jinsi CCM wanazovyotuona mazwazwa wananchi na walipa kodi wa taifa hili kwa kuchezea pesa zetu namna hili ni hali halisi Tanzania ni tajiri sana.

Hii nchi ina pesa nyingi sana.

Pesa za wananchi zinaishia kusombwa na kutumiwa hovyo hovyo na CCM kwenye mambo yao.

Angalieni deni la taifa linavyopaa juu mawinguni kwa sababu ya CCM.

CCM inaikamua nchi hii kwelikweli, ni huzuni tupu.

Wazungu wanatakiwa kusitisha misaada kabisa kwa hii nchi, nchi ijitegemee hii, hizi pesa wanatafuna na kuchezea ni nyingi muno ndugu zangu watanzania.

Watanzania hamkeni tufanye mageuzi ya kiutawala la sivyo tutaendelea kupiga yowe milele.
Ni pesa zao usiwapangie matumizi
 
Back
Top Bottom