Kwa hizi tofauti za wanasiasa wanaohamia CHADEMA kutoka CCM na wale wanaohamia CCM kutoka CHADEMA, CHADEMA kuna shida gani ?

Kwa hizi tofauti za wanasiasa wanaohamia CHADEMA kutoka CCM na wale wanaohamia CCM kutoka CHADEMA, CHADEMA kuna shida gani ?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Ukiachana na kuhama kwa miaka ya 90's na mwanzoni mwa 2000 kwa sasa

1.CCM hupokea wanasiasa wazalendo,wachapakazi na wasio na historia kutoka CHADEMA kama kina Kafulila ,Nasari na sasa Msigwa tofauti na waliowahi hamia CDM kutoka CCM wenye kashfa mbali mbali .

2.CCM huchukua na kupokea watu kutoka CDM kuongeza nguvu kisiasa huku CDM tunaangalia zaidi maslahi .

Kuna CHADEMA watu makini kuhama ? Ukiangalia safu ya viongozi unashindwa hata kuelewa tunatumia vigezo gani waendelee au wawe viongozi ?​
 
Hivi nani alihama CDM halafu akarejea tena kama wale kina Pro Mamvi wa CCM?
 
Ukiachana na kuhama kwa miaka ya 90's na mwanzoni mwa 2000 kwa sasa

1.CCM hupokea wanasiasa wazalendo,wachapakazi na wasio na historia kutoka CHADEMA kama kina Kafulila ,Nasari na sasa Msigwa tofauti na waliowahi hamia CDM kutoka CCM wenye kashfa mbali mbali .

2.CCM huchukua na kupokea watu kutoka CDM kuongeza nguvu kisiasa huku CDM tunaangalia zaidi maslahi .

Kuna CHADEMA watu makini kuhama ? Ukiangalia safu ya viongozi unashindwa hata kuelewa tunatumia vigezo gani waendelee au wawe viongozi ?​
Cdm soon watampokeaa shujaa wa sukari mpina

Una hoja nyingine
 
Watu walioko chadema hawana nis ya dhati ya kulipigania na kulijenga taifa. Wanatafuta shibe tu. Shibe kileta shida wanatimkia ccm kwenye vyeo lukuki.
Huu ndiyo ukweli sasa. Naunga mkono hoja.
 
..Ccm ina fedha nyingi sana.

..pia inasaidiwa na vyombo vya dola.

..mkitaka wapinzani wasirubuniwe na Ccm mnapaswa kukata mirija inayopeleka fedha Ccm.
 
Lowassa alivyokuwa ccm alitukanwa na Chadema, ila wakamsifia alivyohamia Chadema.

Msigwa alivyokuwa Chadema alisifiwa ila amehamia ccm anatukanwa

😂
 
Lowassa alivyokuwa ccm alitukanwa na Chadema, ila wakamsifia alivyohamia Chadema.

Msigwa alivyokuwa Chadema alisifiwa ila amehamia ccm anatukanwa

😂

..Ccm walikuwa wanamtukana Msigwa akiwa Cdm, leo wanamsifia kwasababu amehamia kwao.🤣🏃🏾‍♂️
 
Lowassa alivyokuwa ccm alitukanwa na Chadema, ila wakamsifia alivyohamia Chadema.

Msigwa alivyokuwa Chadema alisifiwa ila amehamia ccm anatukanwa

😂
Sijaona tusi alilotukanwa EL wala Msigwa.
Weka hapa ushahidi wa ukisemacho.
 
Uchaga ndio tatizo chadema yakiambiwa yanatoa povu balaa, Watanzania wengi siyo wajinga endeleeni tu na hizo mbio zenu za sakafuni .Hata lissu ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom